Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Mipango ya Mungu (Allah) hiyo ili kutoa ujumbe wa kwa mayahudi.Aibu Meli za Kivita za Marekani zimeshindwa kuzuia Makombora 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipango ya Mungu (Allah) hiyo ili kutoa ujumbe wa kwa mayahudi.Aibu Meli za Kivita za Marekani zimeshindwa kuzuia Makombora 😂😂😂
Maisha wa Waisrael yamekuwa magumu kidogo maana kila baada ya mda manakimbilia shimoni kama Kenge.Hii inaleta ujumbe kuwa kama watu wakiamua kuichakaza hiyo nchi ya kizayuni wanaichakaza vibaya sana.
Ila USA,UK na Germany wanaibeba sana hii nchi.
Ngojea tusikie watasemaje.
Itakuwa na yeye alishiriki HOUTHI JOGGING apungunge kitambi,maana umekaa zako unatizama tamthilia mara ghafla unaambiwa "Mzee kimbilia shimoni ukajifiche"Nasikia Netanyahu amelazwa BP Iko 390 haitaki kushuka
Usitake kutudanganya huongei na watoto hapa.Mifumo ya israel ina intercept missile ambazo zinatagert maeneo muhimu tu. Missile hiyo imeanguka porini ina impact gani? Hata ivyo wasubiri majibu
Unamuongopea nani wewe!?Tuwekee na chanzo cha habari. Tunachokijua ni kuwa vipande fragments ndizo zilizofika baada ya interception, poleni sana.
Chuki kwa wayahudi kama aliyokuwa nayo bwana mwamediHii inaleta ujumbe kuwa kama watu wakiamua kuichakaza hiyo nchi ya kizayuni wanaichakaza vibaya sana.
Ila USA,UK na Germany wanaibeba sana hii nchi.
Ngojea tusikie watasemaje.
Unasema hakuna MUNGU isipokuwa allah halafu unamwita mwenzio kafiri.Kati yako wewe na yeye nani kafiri?Young kaffir
Sasa sheikh Ina maana huo ndio uharibifu uliosababishwa na hilo kombora la hao Houth? Baada ya hapo IDF anaenda kuimalizia Ile bandari vitega uchumi vingine huko Yemen sasa nani atakuwa amepoteza zaid?🚨🇾🇪🇮🇱 The Iron Dome missile, after failing to intercept the Yemeni missile, fell on a shopping mall and a train station in occupied Tel Aviv.
The Yemeni missile was able to bypass 22 Zionist air defense points, and no missile was able to shoot it down.
Hatuna chuki na mtu bali tunaeleza uhalisia.Chuki kwa wayahudi kama aliyokuwa nayo bwana mwamedi
Mkuu usichokijua ni kwamba hakuna nchi hata moja mashariki ya kati na waarabu wengine wanaofurahia uwepo wa Israel wote wanatamani kuifuta kwenye uso wa Dunia ila wameshindwa kwahiyo uwepo wao sio wa bahati mbaya Bali uimara walionao kupambanbana na maadui zao na kadti anavyopambana na kushinda ndio wanakuwa imara zaidi na zaidiHii inaleta ujumbe kuwa kama watu wakiamua kuichakaza hiyo nchi ya kizayuni wanaichakaza vibaya sana.
Ila USA,UK na Germany wanaibeba sana hii nchi.
Ngojea tusikie watasemaje.
Huo uimara kaka haujaja kwa hivi hivi.Mkuu usichokijua ni kwamba hakuna nchi hata moja mashariki ya kati na waarabu wengine wanaofurahia uwepo wa Israel wote wanatamani kuifuta kwenye uso wa Dunia ila wameshindwa kwahiyo uwepo wao sio wa bahati mbaya Bali uimara walionao kupambanbana na maadui zao na kadti anavyopambana na kushinda ndio wanakuwa imara zaidi na zaidi
Anayesemekana ni Supapawa Putin himself anaomba msaada sembuse Israel!! Vita vya siku hizi bila kuwa na allies na wewe kuwa ngangari hutoboi.Huo uimara kaka haujaja kwa hivi hivi.
Msaada wa magharibi unasaidia sana wao ku survive.
Wana mikono yenye nguvu kutoka Ulaya na Marekani ndio inawafanya wasalimike.
Ndio maana hata vita ya Gaza ilipoathiri uchumi wao financial aids zilitoka USA ku sustain economy yao.
Putin anapigana na Ukraine ambayo inapewa misaada na NATO bro.Anayesemekana ni Supapawa Putin himself anaomba msaada sembuse Israel!! Vita vya siku hizi bila kuwa na allies na wewe kuwa ngangari hutoboi.
Israel naye anapambana na Iran kupitia Hamas, Hizbullah na Houth usimchukulie poa piaPutin anapigana na Ukraine ambayo inapewa misaada na NATO bro.
Usifananishe na Israel ambaye anapigana na waarabu wasiokua na muelekeo kina Lebanon na Yemen.
Putin amewekewa hadi vikwazo vya kiuchumi ili adhohofishwe.
Na waliomuwekea na ni wababe wa dunia.
Tuache utani.
Kwahiyo kaka Iran ni taifa sawa na USA,UK, Germany??Israel naye anapambana na Iran kupitia Hamas, Hizbullah na Houth usimchukulie poa pia
MayahudiUnasema hakuna MUNGU isipokuwa allah halafu unamwita mwenzio kafiri.Kati yako wewe na yeye nani kafiri?
Nyie watu wa mashambani mliokijulia kiswahili shuleni,mna tabu saanaUnasema hakuna MUNGU isipokuwa allah halafu unamwita mwenzio kafiri.Kati yako wewe na yeye nani kafiri?
Iran ni taifa kubwa huoni pamoja na vikwazo vya magharibi ila bado ni tishio mpaka anafikia hatua ya kugawa silaha kwa supapawa wa mchongo.Kwahiyo kaka Iran ni taifa sawa na USA,UK, Germany??
Umeshinda mkuu🙌🙌🙌🙌🙌🙌.Iran ni taifa kubwa huoni pamoja na vikwazo vya magharibi ila bado ni tishio mpaka anafikia hatua ya kugawa silaha kwa supapawa wa mchongo.