Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bm ni ballistic missile mkuu.Herufi BM kwani zinasemaje
Kumbe kwa masafa yale hakukuwa na umuhimu wa kutumia hiyo aina ya juu zaidi.Bm ni ballistic missile mkuu.
Ballistic missile zipo za aina tatu kulingana na masafa na uwezo.
Alilotumia Houthi ni medium range ballistic missile.
Sio ICBM.
Hahahahahaha malizia mgeni naniPole sana Zebedayo mwana wa Zefania wa Nazareti ya Mbagala kuu
Mifumo mingi ya ulinzi wa anga ipo kwa ajili ya kukabiliana na tactical ballistic na short range ballistic missile. Medium range ballistic inaruka umbali mrefu sana kwenda juu hivyo ni vigumu sana mifumo ya ulinzi wa anga kukabiliana nayo.Kumbe kwa masafa yale hakukuwa na umuhimu wa kutumia hiyo aina ya juu zaidi.
Mnashambulia nyasi mnasema ni vital infrastructure 🤣🤣🤣
Houth wameweza kuipiga chenga hiyo mifumo.Si mchezoMifumo mingi ya ulinzi wa anga ipo kwa ajili ya kukabiliana na tactical ballistic na short range ballistic missile. Medium range ballistic inaruka umbali mrefu sana kwenda juu hivyo ni vigumu sana mifumo ya ulinzi wa anga kukabiliana nayo.
Asijali ataolewa tu bado angali binti mbichiMumeo kasalimika kwenye hilo shambulizi? Kwa hiyo umeachwa mjane?
Kama hujui kwanini unasema wanaficha?!Hamna anayejua hata Mimi sijui au wewe unajua?
Tuwekee na chanzo cha habari. Tunachokijua ni kuwa vipande fragments ndizo zilizofika baada ya interception, poleni sana.Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora yamesafiri Kilomita 2000 toka Yemen Hadi kwenda kuichakaza TelAviv.. Netanyahoo mavi yanagonge kyupi mda huu..😝
🚨 BREAKING
The Yemeni Armed Forces Successfully attacked a vital facility in Tel Aviv with a Ballistic Missile type Hatem-2.
The Israeli Air Defense Systems weren't able to intercept it. The missile reportedly traveled 2,000 kilometers in 15 minutes, impacting around 06h30 am
View attachment 3096208View attachment 3096209
Wanaficha kwasababu hatuoni au we umeona?Kama hujui kwanini unasema wanaficha?!
Na wao wanajua mtajibu tu.Mifumo ya israel ina intercept missile ambazo zinatagert maeneo muhimu tu. Missile hiyo imeanguka porini ina impact gani? Hata ivyo wasubiri majibu
Tatizo hawataki kuelewa wamepapaswa na chuma cha muirani kimoja tu nchi nzima mafichoni vikishuka hamsini hapoIran sio nchi ya kawaida tena. Yaani siku ikikiwasha middle east itakuwa moto.
Proganda za magharibi zimekuathiri. Uko chanika mwituni unaangalia mitandao ya magharibi unakuja na comments za kitoto. Wenzio Isreal wamepigwa huko. Wakiristo wa jf mnamashaka sana“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
Proganda za magharibi zimekuathiri. Uko chanika mwituni unaangalia mitandao ya magharibi unakuja na comments za kitoto. Wenzio Isreal wamepigwa huko. Wakiristo wa jf mnamashaka sana
Wakiristo jf mnaumia sana mkisikia neno islamSijaona vifo wala kusikia,mmewasha moto.
Nikupe elimu ndogo sanaa,Israel wakristu ni wachache sanaaa
Huoni nini?Wanaficha kwasababu hatuoni au we umeona?
Aibu Meli za Kivita za Marekani zimeshindwa kuzuia Makombora 😂😂😂