Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

Marekani kashindwa kuikinga Israel dhidi ya ICBM

Sishabikii vita, ila hilo bomu inawezekana limeruhusiwa litue Israel kimchongo.
Bomu limesafiri km 1800 alafu limeangukia porini bila kuleta madhara yoyota, inafikirisha sana.
Huu utakuwa ni mtego.
Inanikumbusha hili ya October 7
 
Herufi BM kwani zinasemaje
Bm ni ballistic missile mkuu.
Ballistic missile zipo za aina tatu kulingana na masafa na uwezo.
Alilotumia Houthi ni medium range ballistic missile.
Sio ICBM.
 
Bm ni ballistic missile mkuu.
Ballistic missile zipo za aina tatu kulingana na masafa na uwezo.
Alilotumia Houthi ni medium range ballistic missile.
Sio ICBM.
Kumbe kwa masafa yale hakukuwa na umuhimu wa kutumia hiyo aina ya juu zaidi.
 
Kumbe kwa masafa yale hakukuwa na umuhimu wa kutumia hiyo aina ya juu zaidi.
Mifumo mingi ya ulinzi wa anga ipo kwa ajili ya kukabiliana na tactical ballistic na short range ballistic missile. Medium range ballistic inaruka umbali mrefu sana kwenda juu hivyo ni vigumu sana mifumo ya ulinzi wa anga kukabiliana nayo.
 
Mifumo ya israel ina intercept missile ambazo zinatagert maeneo muhimu tu. Missile hiyo imeanguka porini ina impact gani? Hata ivyo wasubiri majibu
 
Mifumo mingi ya ulinzi wa anga ipo kwa ajili ya kukabiliana na tactical ballistic na short range ballistic missile. Medium range ballistic inaruka umbali mrefu sana kwenda juu hivyo ni vigumu sana mifumo ya ulinzi wa anga kukabiliana nayo.
Houth wameweza kuipiga chenga hiyo mifumo.Si mchezo
 
Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora yamesafiri Kilomita 2000 toka Yemen Hadi kwenda kuichakaza TelAviv.. Netanyahoo mavi yanagonge kyupi mda huu..😝

🚨 BREAKING

The Yemeni Armed Forces Successfully attacked a vital facility in Tel Aviv with a Ballistic Missile type Hatem-2.

The Israeli Air Defense Systems weren't able to intercept it. The missile reportedly traveled 2,000 kilometers in 15 minutes, impacting around 06h30 am
View attachment 3096208View attachment 3096209
Tuwekee na chanzo cha habari. Tunachokijua ni kuwa vipande fragments ndizo zilizofika baada ya interception, poleni sana.
 
Mifumo ya israel ina intercept missile ambazo zinatagert maeneo muhimu tu. Missile hiyo imeanguka porini ina impact gani? Hata ivyo wasubiri majibu
Na wao wanajua mtajibu tu.
 
Iran sio nchi ya kawaida tena. Yaani siku ikikiwasha middle east itakuwa moto.
Tatizo hawataki kuelewa wamepapaswa na chuma cha muirani kimoja tu nchi nzima mafichoni vikishuka hamsini hapo
 
“Minor Injuries to Five people” kweli makobasi na shule ni maji na mafuta.
Proganda za magharibi zimekuathiri. Uko chanika mwituni unaangalia mitandao ya magharibi unakuja na comments za kitoto. Wenzio Isreal wamepigwa huko. Wakiristo wa jf mnamashaka sana
 
Proganda za magharibi zimekuathiri. Uko chanika mwituni unaangalia mitandao ya magharibi unakuja na comments za kitoto. Wenzio Isreal wamepigwa huko. Wakiristo wa jf mnamashaka sana

Sijaona vifo wala kusikia,mmewasha moto.

Nikupe elimu ndogo sanaa,Israel wakristu ni wachache sanaaa
 

Attachments

  • IMG_20240916_034737.jpg
    IMG_20240916_034737.jpg
    76.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom