Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

Napenda jibu lako, kuwa ukishakuwa maskini na omba omba utababaishwa tu. Hii ndiyo maana Trump ambaye kwao hasheshimiki na haamini kuhusu demokrasia/uchaguzi huru anataka kuifundisha TZ eti kwa sababu ni maskini. Inabidi TZ kwa makusudi tusikubali kuyumbishwa eti kwa vile tunaonyeshwa kikaroti.....
Achana na hadithi za kijinga, miradi gani imegharamiwa na pesa za ndani?

Wajunga kama nyie ndio mtaji wa ccm, kwa kua hamsomi hata taarifa ya serikali yenu dhaifu na ccm inajua hamjui kusoma hivyo hata ikiwadanganya waziwazi mnachekelea tu.

Eti pesa za ndani, upumbavu bado ni tatizo kubwa sana Tanzania.
 
Hizi ndizo akili za Mataga
Halafu eti na wewe unasubiri uteuzi [emoji23]
Wewe jiulize wewe Una athirika na kitu gani akati raisi wao anaapishwa na wanajeshi elfu 15............hapo Nani kapata aibu au Nani mataga kama sio wewe sokwe demu
 
Ni vema mataifa yote wapenda demokrasia, haki na uhuru wa watu, wachukua hatua kama hizi au zinazofanana na hizo.

Haki na maamuzi ya watu ni lazima viheshimiwe. Kuwa kiongozi haimaanishi kupoka haki za watu wako eti kwa sababu tu una polisi na jeshi.

Asante sana US.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema kijana wa Tanzania. Halafu lijamaa God Mushi litakua either halijielewi au ni kada la CCM maana sote tumeshuhudia uchaguzi ulivyo vurugwa na ccm
Uchaguzi gani uliovurugwa? Hivi wewe na akili yako uliona lile tobo sijui tundu ni la kuchukua nchi? Kabisaa?
 
Mjinga wewe na ukoo wako wote! Una akili ya kitumwa hamia kwa hao mabwana zako. Hawatufanyi chochote hao mabwana zako.
Jamaa hujiewi wewe....yan
Nimejua baada ya acc ya Trump ambayo anayotumia,kwani kwakufanya hivyo ni sawa umeminya UHURU WA KUJIELEZA na kwa kuminya uhuru huo manake,immeenda kinyume na KATIBA .

Au Kwani acc ya Trump imefungwa au haijafungwa?

Wewe kama unamjua niambie ni nani ambaye yupo juu ya KATIBA
Mkuu usikute kwenu unaitwa ndo kichwa Cha familia😂😂😂...asa USA ndo imeifu ingia account ya Twitter ya Trump..,???
 
Hawa kina Mushi wanazaa watoto wanawaacha huko porini ndio wanakuwa kama huyu. Hawezi kuwa mchaga huyu
 
Hivi Mtu akiwekewa vikwazo kama hivi anabanwa maeneo gani haswa, yaani anaumiaje maana lengo hapa ni kutoa adhabu.

1. Huendi kwao hivyo misaada hupati
2. Baadae wanakuwekea vikwazo vya kiuchumi mf bidhaa zako haziuzwi nje
3. Wanaushawishi umoja wa mataifa ukutenge hivyo nao unakuwekea vikwazo
 
Katika hao kuna atakaeathirika na kukosa ugali mezani kwake sababu kazuiwa kwenda USA kweli?
Wewe ambaye hujawahi kwenda hata Kenya huwezi kuona madhara yake, lkn kwa wanaotegemea kufanya biashara nje, kusomesha watoto wao nje, kutibiwa nje, walio na marafiki nje athari ni kubwa.

Elewa ukipigwa ban sio wewe peke yako na familia yako watoto wako mke wako na hata marafiki zako wanaotegemea kusafiri wataogopa kujihusisha nawe, muulize Makonda.
 
Back
Top Bottom