Marekani kuhakikisha Pelosi anatua salama Taiwan

Itakuwa funzo kwa Africa kuanza kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji
 
Aisee...
Yaani huyu mchina tunaebananae kariakoo kwenye viduka vya spea za pikipiki amdindishie Mnyamwezi.....
Wazungu wanasema , "Mpishi anajua fasi yake ni jikoni"....
Hebu tuangalie takwimu za silaha za maangamizi....

 
Umesikia? Katua, salama.
Na ktika hali yoyote ile China isingeweza kushambulia msafala wa maafisa wa marekani. Kwasababu marekani imetaka kjtumia nguvu mahali pa kutumia akili, basi ajenda yake juu ya Taiwan zitakuwa ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…