Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Siyo mbwa koko kama unavyofikiri. Marekani anatumia akili sana katika kupigana vita. Marekani siyo kama alimshindwa Mkorea ila hana cha kuchukua. Atachukua nini Korea wakati Marekani anapigana vita vya faida? kumuelewa Marekani inatakiwa uwe na akili kubwa. MAREKANI HAPIGANI VITA ILI MRADI VITA. ANAJUA NIKISHAMPIGA IRAQ NINATACHUKUA MAFUTA YA KUTOSHA. NDIYO MAREKANI ANACHOFANYA.
VITA VINA GHARAMA SANA. MAREKANI ANAPOSIMAMA KUNA NCHI KAMA 12 NYUMA YAKE.
Acha kupotosha!Trump bana,kumbe ziara ya japan ilikuwa kwenda kumwomba PM akaongee na iran ili warudi mezani,ujue Netanyau anampotosha sana Trump,halafu likisanuka Netanyau anakaa pembeni,sasa Trump anajiuliza yuko tayari aruhusu vita na iran wakati pale gulf kila siku lazima yapite mafuta pipa miliopni kumi ama laa ulaya itakosa mafuta na kubaki kumtegemea mrusi?
Wakijiondoa wamekwisha maana ndo kitu Marekani inataka ili ipate kisingizio. Nakumbuka Putin aliisihi sana Iran isije kujaribu kutaka kujiondoa kwenye huo mkataba.Hivi mkuu hali ya vikwazo vya Iran vikiendela hivyo na ikafikia hatua ya kujiondoa kabisa, je hawatoweza kuunda silaha za Nuclear...?
Wakijiondoa wamekwisha maana ndo kitu Marekani inataka ili ipate kisingizio. Nakumbuka Putin aliisihi sana Iran isije kujaribu kutaka kujiondoa kwenye huo mkataba.
Hahahaha!!! Unanikumbusha issue za North Korea.
Siku hizi Marekani ni kama mbwa koko.
Security council ya UN imekubali kwa resolution gani? hata hivyo trump ni nyoka wa mashineni.
Dah umeandika kama mtu wa darasa la tano F
Russia na Iran hawana mkataba wa ulinzi hivyo basi Russia hawezi kuingilia huo ugomvi labda saana atamuuzia silaha ndogo ndogo iran
Mrusi anapewa ukubwa sana lakini naona hana msaada kwa marafiki zake anasubili mpaka apigwe au akaushe referrence ni libya na syria
Hii dola ya Iran inatakiwa iangushwe, wasiicheleweshe
Vipi Libya alikuwa mshirika wa Urusi,alisaidiwa?
We unajuaje au umekua waziri wa ulinzI pale kremlin?
Hehehe njoo nikukojoleeKojoa ulale kesho uwahi namba shule sawa
Acha kupotosha!
Huyo Abe hakutumwa na Trump,alitaka mwenyewe kwenda Iran na nakumbuka Trump akasema anampa baraka zote. Pia Japan na Iran wamekua na uhusiano mzuri kwa muda mrefu, na Japan ni moja ya nchi inayonunua mafuta kwa kiasi kikubwa sana toka Iran
Abe pia anataka kukutana na Kim
Nilijua mapema tu kuwa una akili finyu saanaHehehe njoo nikukojolee
Nilijua mapema tu kuwa una akili finyu saana
Have nice dreams
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Na kiduku yuko mkweli hataniwi anafanya kweliPRO US NA US YENYEWE MNA MBWEMBWE SANA MARA OOH KIDUKU WANALALA NA NJAA MWAKA HUU HAWAKUVUNA MAHINDI TUTAMPIGA ASUBUHI TU, OOH YALE MADUDE ANAYOONYESHA SIYO MAKOMBORA NI MIDOLI YA MAPIPA KWELI TUKAONA MELI NA AIRCRAFT CARRIER ZIKIELEKEA KWA KIDUKU, MARA TUKAMSIKIA KIDUKU AKISEMA KUWA ATAKAEGUSA BAHARI YETU TUTAMCHAKAZA NA KAMA HAAMINI AGUSE MARA TUKASIKIA MELI ZA US ZIMEPIGA RIVASI ZIMEELEKEA SOUTH KOREA KUPIGA JALAMBA.
[emoji23] [emoji23] ujuaji mwingine bhn Urusi ana kila kitu gesi mafuta na madini mbn marekani hasogez pua