Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

SIJUI Mkuu, muda ndo utaongea japo sidhani kwa utawala huu maana Trump alishasema tangu kwenye kampeni kwamba hataki tena Marekani ipigane Vita za ovyoovyo hasa hapo middle East
Naona wenye meli zao wanadai ilipigwa na kitu kutoka juu!! Wna pingana na US!
 
Siyo mbwa koko kama unavyofikiri. Marekani anatumia akili sana katika kupigana vita. Marekani siyo kama alimshindwa Mkorea ila hana cha kuchukua. Atachukua nini Korea wakati Marekani anapigana vita vya faida? kumuelewa Marekani inatakiwa uwe na akili kubwa. MAREKANI HAPIGANI VITA ILI MRADI VITA. ANAJUA NIKISHAMPIGA IRAQ NINATACHUKUA MAFUTA YA KUTOSHA. NDIYO MAREKANI ANACHOFANYA.
VITA VINA GHARAMA SANA. MAREKANI ANAPOSIMAMA KUNA NCHI KAMA 12 NYUMA YAKE.
[emoji23] [emoji23] ujuaji mwingine bhn Urusi ana kila kitu gesi mafuta na madini mbn marekani hasogez pua
 
TRAMP ANATAKA MAZUNGUMZO YARUDI KWENYE MEZA HUKO BAADA YA MELI ZA MAFUTA KUCHOMWA [emoji23][emoji23][emoji23], KUFELI KWENGINEView attachment 1127622
Ananichekesha huyu kichaa




Log in
Sign up


Conversation

In order to get elected,
@BarackObama
will start a war with Iran.
11:48 pm · 29 Nov 2011 · TweetDeck
9.9K
Retweets

6K
Likes







STOP tRumpnado




2old4games
#VetsResistSupportSquadron

·
18 Jan 2018

it is sad...and lately maddening. I am sick and freaking tired of this mess. #IllegitimatePOTUS and #IllegitimateGOP because #IllegitimateElection!!! #TheResistance

7

32

141



Yolanda Fenstermache
@YFenstermache

·
18 Jan 2018

True it's mentally and physically tiring. Trump is destroying our Democracy he's pitting Americans against each other and I think this was his plan all along.


2old
 
Mwarabu akitawala hii dunia kutakuwa na machafuko mengi sana yaani wote watalazimishwa wawe waislamu, ukikataa unauwawa. Mfano mdogo angalia Zanzibar yaani mtu anakatazwa kula hata kama siyo imani yako. Yaani funga yako inanihusu nini mimi? Umefunga kutubu dhambi au umefunga kula?. Mimi naombea Iran ale kichapo cha mbwa koko yaani taifa lolote la kiarabu likija juu lifutiliwe mbali kabisa maana warabu ni watu wa ovyo sana na wameendekeza dini sana.
Wewe hapo unaendekeza umarekani kwakuwa wanalazimisha ushoga
 
Ushoga ni tabia hata warabu mashoga utawakuta. Mashoga wengi wanapatikana katika nchi ambazo zinawaislamu wengi. Zanzibar, Mombasa, Pemba na Unguja utawakuta. Kuna mashoga wengi sana yenye majina ya kiarabu. Huko Uarabuni mwanamke anatakiwa aolewe akiwa bikira sasa ili kulinda bikira zao wanatumia Tigo ndiyo maana michezo ya kufirana Zanzibar imekisiri sana hasa kwa watoto wa kike. Hii tabia za kishoga zipo kwenye nchi za kikristu na za Kiislamu.
Ukumbuke hakuna dini ya Mungu. Mungu hana dini japo Warabu wanawapotosha watu waamini na wasijue kuwa Mungu hana dini ndiyo maana wanatumia lugha ya kiarabu kuwapumbaza na kuwadanganya watu na kweli wamefanikiwa katika hilo na ndiyo maana Muislam yoyote anamini mungu wake ni Allah na akifa atapewa makibikra 12 na juisi na kipindi anazikwa anachinjwa halafu anageuzwa shingo ili asife kibudu. Huwa wanafunika shuka juu wakiwa wanafanya yao kaburini.
USHOGA SIYO UKRISTO WALA UGAIDI SIYO UISLAMU ILA WATU WENYE AKILI NDOGO HUSISHA MATENDO YA MTU NA DINI. WATU WOTE WANGEKUWA WANAENDA MBIGUNI KWA SABABU YA DINI BASI INGEKUWA HAKUNA HAJA YA KUHUBIRIWA KUACHA KUTENDA DHAMBI.
DINI ZILIANZISHWA NA WANADAMU KWA AJILI YA KUMTAFUTA MUNGU NDIYO MAANA KWENYE DINI UTAWAKUTA WAFIRAJI, WAFIRWAJI, WEZI, WALAFI, WAZINZI N.K
Hayo yatakuwa mahubiri ya leo uliyoyapata kwa nabii Tito.
Ulivyo bwege hujui kuwa hilo ni tendo takatifu kwa mapadri
 
Dunia imepuuza madai ya marekani kuwa Iran imeshambulia meli za mafuta katika bahari ya oman.
Na ushahidi wa video iliyotolewa na US NAVY kuwa IRGC walikua wanaondoa un exploded mine katika moja ya izo meli kama kuficha ushahidi bado haujaweza kushawishi dunia kuamini madai hayo dhidi ya IRAN.

Ngoja tuone what next.....
 
Hahahaha..

Iran kaliteka eneo la Kagera na kulitangaza kuwa ni sehemu yake, Marekani anataka kulikomboa eneo hilo kwasababu 'NIA ANAYO, SABABU ANAYO NA UWEZO ANAO'..
Ahahaha

Msafwa

Umefuata nn majukwaa haya [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Trump bana,kumbe ziara ya japan ilikuwa kwenda kumwomba PM akaongee na iran ili warudi mezani,ujue Netanyau anampotosha sana Trump,halafu likisanuka Netanyau anakaa pembeni,sasa Trump anajiuliza yuko tayari aruhusu vita na iran wakati pale gulf kila siku lazima yapite mafuta pipa miliopni kumi ama laa ulaya itakosa mafuta na kubaki kumtegemea mrusi?
 
Nachukia sana vita maana watakaoumia ni watu wengi wasio na hatia yoyote.
Ila kama Iran inamtegemea mrusi, pole zao. Mtegemea cha dugu hufa maskini
NDUGU YANGU HABARI ZA KUOMBANA MAKOPA YA MIHOGO NA CHUMVI YA MAWE USIILETE KWENYE VITA, UNAFIKIRI VITA YA KAGERA BILA MSAADA WA CHINA NA URUSI TUNGECHOMOKA? MBONA US HANYANYUKI BILA UK NA UFARANSA? ULIONA ALICHOFANYA ASSAD WA SYRIA BAADA YA KUWAONA US, UK NA FRANCE MLANGONI KWAKE? ALIKWENDA KWA PUTIN NA KUOMBA MSAADA ZIKAPIGWA HADI WA UK, US NA FRANCE WAKAAMUA KURUDI HOME NA KUWAACHA ASSAD NA PUTIN.
POLE YAKO UNAPOFANANISHA KUOMBANA MBOGA NA MIOTO NA VITA
 
PRO US NA US YENYEWE MNA MBWEMBWE SANA MARA OOH KIDUKU WANALALA NA NJAA MWAKA HUU HAWAKUVUNA MAHINDI TUTAMPIGA ASUBUHI TU, OOH YALE MADUDE ANAYOONYESHA SIYO MAKOMBORA NI MIDOLI YA MAPIPA KWELI TUKAONA MELI NA AIRCRAFT CARRIER ZIKIELEKEA KWA KIDUKU, MARA TUKAMSIKIA KIDUKU AKISEMA KUWA ATAKAEGUSA BAHARI YETU TUTAMCHAKAZA NA KAMA HAAMINI AGUSE MARA TUKASIKIA MELI ZA US ZIMEPIGA RIVASI ZIMEELEKEA SOUTH KOREA KUPIGA JALAMBA.
 
Hahahahahaha
PRO US NA US YENYEWE MNA MBWEMBWE SANA MARA OOH KIDUKU WANALALA NA NJAA MWAKA HUU HAWAKUVUNA MAHINDI TUTAMPIGA ASUBUHI TU, OOH YALE MADUDE ANAYOONYESHA SIYO MAKOMBORA NI MIDOLI YA MAPIPA KWELI TUKAONA MELI NA AIRCRAFT CARRIER ZIKIELEKEA KWA KIDUKU, MARA TUKAMSIKIA KIDUKU AKISEMA KUWA ATAKAEGUSA BAHARI YETU TUTAMCHAKAZA NA KAMA HAAMINI AGUSE MARA TUKASIKIA MELI ZA US ZIMEPIGA RIVASI ZIMEELEKEA SOUTH KOREA KUPIGA JALAMBA.
 
Hivi mkuu hali ya vikwazo vya Iran vikiendela hivyo na ikafikia hatua ya kujiondoa kabisa, je hawatoweza kuunda silaha za Nuclear...?
Trump bana,kumbe ziara ya japan ilikuwa kwenda kumwomba PM akaongee na iran ili warudi mezani,ujue Netanyau anampotosha sana Trump,halafu likisanuka Netanyau anakaa pembeni,sasa Trump anajiuliza yuko tayari aruhusu vita na iran wakati pale gulf kila siku lazima yapite mafuta pipa miliopni kumi ama laa ulaya itakosa mafuta na kubaki kumtegemea mrusi?
 
Kusema ukweli Marekani ni mbwa koko.
Anabwekabweka tu na anachagua nyumba za kuiba mboga sio kila nyumba anaingia.
Aingie na sehemu ambayo mrusi na mchina wapo tuone.
 
Back
Top Bottom