STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Mm sinywi bia, nakuambia ukweliAkili za Pombe
Hapo ulipo unafikiria leo unywe beer gani na weekend uende kwenye show ya rapper gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sinywi bia, nakuambia ukweliAkili za Pombe
Hapo ulipo unafikiria leo unywe beer gani na weekend uende kwenye show ya rapper gani
Anamuuzia Nani?! CHINA,leta ushahidi tuone?!IRAN KWA SASA HAWEZI KUFUNGA MLANGO WA HORMUZ COZ BADO ANAENDELEZA BIASHARA YA KUUZA MAFUTA KAMA KAWAIDA, JUZI CHINA [emoji630] KAENDA KUCHUKUA MAFUTA NA MMELI WAKE UMEONEKANA, HUYO IRAN USIFANANIZE NA UPUUZI, HAO IZRAILI WAWAMALIZE HAMAS KWANZA
Anamuuzia Nani?! CHINA,leta ushahidi tuone?!
Wakati nchi zote zile 8 zilizositishiwa msamaha wa kununua mafuta ya Iran zimesitisha,labda unaizungumzia Tanzania ndo mnunuzi
Unaweza kunipa ushahidi kwamba China alikataa kumsaidia marekani? Marekani na China hazivii hata siku mmoja kama ulikmbia shule hautanielewa. Angalia kwenye Vita vya dunia 1 na 2 ndiyo utajua. nina zungumzia nini
Marekani hawezi kutoswa kama unafikiri Marekani anaakili sana na vita vyake anapigana kwa akili sana. Na Marekani ana marafiki wengi sana karibu dunia nzima.
Mwarabu akitawala hii dunia kutakuwa na machafuko mengi sana yaani wote watalazimishwa wawe waislamu, ukikataa unauwawa. Mfano mdogo angalia Zanzibar yaani mtu anakatazwa kula hata kama siyo imani yako. Yaani funga yako inanihusu nini mimi? Umefunga kutubu dhambi au umefunga kula?. Mimi naombea Iran ale kichapo cha mbwa koko yaani taifa lolote la kiarabu likija juu lifutiliwe mbali kabisa maana warabu ni watu wa ovyo sana na wameendekeza dini sana.
Sjui unataka nn tena mkuu, ushahidi huo apo, alaf pia India na Turkey [emoji1250] wanaendelea kununua hukoAnamuuzia Nani?! CHINA,leta ushahidi tuone?!
Wakati nchi zote zile 8 zilizositishiwa msamaha wa kununua mafuta ya Iran zimesitisha,labda unaizungumzia Tanzania ndo mnunuzi
We Mzee Baba unaachaje kuniita sehemu tamu kama hizi[emoji848][emoji4]Teh ....
Wanapigania nini...
mwenye meli kasema wafanyakazi waliona 'flying objects' kabala kulipuka...na hakuna mines,machoko wa marekani wanang'ang'ania ni mines na video yao waliyoedit adobeHouthi ndo watege sea mine bila kuonekana hata na satellite?! Watege katikati ya bahari!!! Na ile Boti ya IRGC Je?!
Halafu Iran ina uhusiano mzuri na Japan unadhani wangekubali hao Houthi washambulie meli za Japan wakati Shinzo yupo Iran.
Na kwann shambulio litokee wakati Abe yupo ziarani tena kwa meli ya Japan?!
Endelea kua gizani
Wafia dini hao wasikuumize kichwaKwahiyo Zanzibar ni waarabu.
Wewe nawe wawapi?
[emoji28][emoji28][emoji28]We Mzee Baba unaachaje kuniita sehemu tamu kama hizi[emoji848][emoji4]
Habari ya tarehe 17 May,vikwazo vimeanza May 1,kwa akili ya kawaida tu huo mzigo ulinunuliwa kabla ya vikwazo kuanza.Sjui unataka nn tena mkuu, ushahidi huo apo, alaf pia India na Turkey [emoji1250] wanaendelea kununua hukoView attachment 1127614
[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani huwezi kuchangia bila matusi?!mwenye meli kasema wafanyakazi waliona 'flying objects' kabala kulipuka...na hakuna mines,machoko wa marekani wanang'ang'ania ni mines na video yao waliyoedit adobe
Tafuta pesa Mtanzania, hizi habari za kahawani hazitakusaidia.Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.
Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.
Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.
Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.
Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
marekani tunapiga popote tunapotaka