Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

Tetesi: Marekani Kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

Umeongea pumba..hivi duniani Kuna nchi yenye rasilimali za Kila aina so mafuta,madini na mazao kuizidi urusi?
Kwnn haijavamiwa na marekani?
Wewe ndiyo umeandika pumba. Kama ana rasimali nyingi mbona kiuchumi yupo nyuma kushinda Marekani? Mrusi anaweza kuwa navyo lakini hana akili kama Marekani ndiyo maana Marekani kamzidi kila kitu kiufupi Mrusi ana ugonjwa wa akili ndiyo maana ameungana na Mchina wamuangushe Marekani.
Urusi na Mchina ni takataka kwa Marekani ndiyo maana anawekewa vikwazo, nao wanakubali.
Mfano mdogo tu. China na Mrusi wamekataza kutumia dola lakini marekani wanatumia pesa za kichina na za kirusi unafikiri nani mgonjwa hapo?
Wewe utakuwa shoger kweli na mrusi wako.
UNASEMA ANAKILA KITU HALAFU ANAZIDIWA UCHUMI NA MTU AMBAYE HANA UTAKUWA UNAAKILI KWELI? FICHA UPUMBAVU WAKO. URUSI KWA MMAREKANI ATASUBIRI SANA.
 
Mwarabu akitawala hii dunia kutakuwa na machafuko mengi sana yaani wote watalazimishwa wawe waislamu, ukikataa unauwawa. Mfano mdogo angalia Zanzibar yaani mtu anakatazwa kula hata kama siyo imani yako. Yaani funga yako inanihusu nini mimi? Umefunga kutubu dhambi au umefunga kula?. Mimi naombea Iran ale kichapo cha mbwa koko yaani taifa lolote la kiarabu likija juu lifutiliwe mbali kabisa maana warabu ni watu wa ovyo sana na wameendekeza dini sana.
hivi Tanganyika lote huna mahali pa kula mpaka uje uudhi watu Zanzibar wakati wa Ramadhani ?? Hata hujui Irani ni nani na waarabu ni nani unameza ulicholishwa na Mchungaji wako tu bila kuuliza , KONDOO KAZI
 
Wewe ndiyo umeandika pumba. Kama ana rasimali nyingi mbona kiuchumi yupo nyuma kushinda Marekani? Mrusi anaweza kuwa navyo lakini hana akili kama Marekani ndiyo maana Marekani kamzidi kila kitu kiufupi Mrusi ana ugonjwa wa akili ndiyo maana ameungana na Mchina wamuangushe Marekani.
Urusi na Mchina ni takataka kwa Marekani ndiyo maana anawekewa vikwazo, nao wanakubali.
Mfano mdogo tu. China na Mrusi wamekataza kutumia dola lakini marekani wanatumia pesa za kichina na za kirusi unafikiri nani mgonjwa hapo?
Wewe utakuwa shoger kweli na mrusi wako.
UNASEMA ANAKILA KITU HALAFU ANAZIDIWA UCHUMI NA MTU AMBAYE HANA UTAKUWA UNAAKILI KWELI? FICHA UPUMBAVU WAKO. URUSI KWA MMAREKANI ATASUBIRI SANA.


Ni kweli Marekani ana akili nyingi sana na ndio wakawa wanaoana wanaume na wanaume makanisani
 
NASKIA KANISANI MNATIBUANA MITARO, MNAAMBIWA NDIO KONDOO WA BWANA ATAENDA MBINGUNI
HAYO MBONA YANATENDEKA HATA KWENYE MADRASA. HAUJASIKIA YULE SHEKH ALIYEMLAWITI MTOTO WA KIUME WA MIAKA 5? MUDI MWENYE ALIOA MTOTO MWENYE MIAKA 12 AMBAPO KWA SHERIA YA SASA ANGEFUNGWA MIAKA 30 JERA.
 
Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.

Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.

Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.

Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.

Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Taarifa za siri za marekani uzipate wewe...haya bhana uendelee kutuletea siri nyingine
 
hivi Tanganyika lote huna mahali pa kula mpaka uje uudhi watu Zanzibar wakati wa Ramadhani ?? Hata hujui Irani ni nani na waarabu ni nani unameza ulicholishwa na Mchungaji wako tu bila kuuliza , KONDOO KAZI
Nawaonea bure hao wachungaji
 
MOSSAD na CIA wametisha sana asee yani hii mission wamejua kuisuka kitaalamu,kitakachofata nadhani watasuka mpango mwingine ambapo meli ya kivita ya Marekani itashambuliwa (kwa mines,etc) zigo ataangushiwa Iran halafu hapo ndo picha litaanza.

Hii movie naona inafanana na ile ya Operation praying mantis

Jamhuri ya Iran ipigwe tu hadi ianguke then uwekwe utawala mwingine
 
Ni kweli Marekani ana akili nyingi sana na ndio wakawa wanaoana wanaume na wanaume makanisani
Mbona Mombasa, pemba na zanzibar ambapo kuna waislamu wengi kuna mashoga? Mbona kuna mashoga wenye majina ya kiarabu wengi tu hata ukienda uarabini utawakuta. Nchi za kiarabu wanafirana sana mfano mdogo ni zanzbar wanawake wanafirwa sana, na wanaume. Sema wanafanya kisiri siri ila huu mchezo ulianza uarabuni ambapo wanawake walitakiwa waolewe wakiwa na bikira. Sasa mashekh na maustadh wakawa wanatumia mlango wa nyuma ili kulinda bikira za wanawake zao.
 
Mbona Mombasa, pemba na zanzibar ambapo kuna waislamu wengi kuna mashoga? Mbona kuna mashoga wenye majina ya kiarabu wengi tu hata ukienda uarabini utawakuta. Nchi za kiarabu wanafirana sana mfano mdogo ni zanzbar wanawake wanafirwa sana, na wanaume. Sema wanafanya kisiri siri ila huu mchezo ulianza uarabuni ambapo wanawake walitakiwa waolewe wakiwa na bikira. Sasa mashekh na maustadh wakawa wanatumia mlango wa nyuma ili kulinda bikira za wanawake zao.

Hivi lile kanisa la mashoga la Pentecoste kule Mbeya ulishawahi kufika ?? Mashoga wanaowana makanisani . Vipi uliwahi kupeleka maombi kwa watakatifu mashoga ???

https://www.advocate.com/religion/2017/6/02/30-lgbt-saints
 
Ndio misa ya leo hio kanisani
Hapo ulipo nikikuambia uisome hiyo Quran utabaki unatumbua macho siyo wewe hata wenzako kwa sababu hujui kilichoandikwa. Kama hujui kilichoandikwa utajua kinachofundishwa? Juzi nilikuwa nasikiliza DW, wakaripot habari za ndugu zako waislam wa nchi Senegal. Kwenye Madrasa watoto wanalazimishwa walete hela, yaani usipofikisha kiasi ulichopangiwa harudi madrasa. Na kuna mmoja alipigwa mpaka kuawawa kwasabbu hajafikisha amount yanayotakiwa aipeleke kwa shekh. Wananchi wakawa wanalalamika hizi madrasa zisiwepo maana zimeanza kuwa hatari kwa jamii yao.
 
Jamhuri ya Iran ipigwe tu hadi ianguke then uwekwe utawala mwingine
Mkuuuu...
Kuiangusha Iran sio rahisi kama unavyofikira wewe .

USA, ISRAEL ,SAUDI ARABIA na karibia watawala wa uarabuni wengii wao wanataka Iran ianguke, kwa miaka takriban arobaini 40 sasa wanahangaika kutwa kucha lakini bado inashindikana .

Ukianzisha vita na Iran jua kua middle East yoote itawaka moto . Kuanzia Mediterranean Sea , Indian ocean mpaka Persian gulf kutakua hakukaliki.

Usione Marais wa marekani wanasita kuishambulia Iran kuwa Ni wajinga bali wanajua kuwa hatari iliyopo Ni mbaya sana na haitabiliki.
 
MOSSAD na CIA wametisha sana asee yani hii mission wamejua kuisuka kitaalamu,kitakachofata nadhani watasuka mpango mwingine ambapo meli ya kivita ya Marekani itashambuliwa (kwa mines,etc) zigo ataangushiwa Iran halafu hapo ndo picha litaanza.

Hii movie naona inafanana na ile ya Operation praying mantis
Kuwa na akili basi mkuu, alieshambulia meli ni haothi, Acha avivu fuatilia habari vizuri thn jiongeze, IRANI ANAOFANYA ANAVYOTAKA MASHARIKI YA KATI NA AKUNA NGURUE WA KUMGUSA
 
Mkorea anatengeneza nuclear. Hilo ni tishio kwa marekani na nchi nyingine duniani. Sasa mbona anashindwa kumzuia. Issue sio mafuta tu kama unavyofukiria. Afghanistan kuna mafuta? Mbona alishambulia
UKIMUULIZA KWANI US KAENDA KUCHUKUA NN JAPAN AU SOMALIA ATABAKI KUBWABWAJA TU
 
Back
Top Bottom