Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NASKIA KANISANI MNATIBUANA MITARO, MNAAMBIWA NDIO KONDOO WA BWANA ATAENDA MBINGUNIUshoga ni tabia hata warabu mashoga utawakuta. Mashoga wengi wanapatikana katika nchi ambazo zinawaislamu wengi. Zanzibar, Mombasa, Pemba na Unguja utawakuta. Kuna mashoga wengi sana yenye majina ya kiarabu. Huko Uarabuni mwanamke anatakiwa aolewe akiwa bikira sasa ili kulinda bikira zao wanatumia Tigo ndiyo maana michezo ya kufirana Zanzibar imekisiri sana hasa kwa watoto wa kike. Hii tabia za kishoga zipo kwenye nchi za kikristu na za Kiislamu.
Ukumbuke hakuna dini ya Mungu. Mungu hana dini japo Warabu wanawapotosha watu waamini na wasijue kuwa Mungu hana dini ndiyo maana wanatumia lugha ya kiarabu kuwapumbaza na kuwadanganya watu na kweli wamefanikiwa katika hilo na ndiyo maana Muislam yoyote anamini mungu wake ni Allah na akifa atapewa makibikra 12 na juisi na kipindi anazikwa anachinjwa halafu anageuzwa shingo ili asife kibudu. Huwa wanafunika shuka juu wakiwa wanafanya yao kaburini.
USHOGA SIYO UKRISTO WALA UGAIDI SIYO UISLAMU ILA WATU WENYE AKILI NDOGO HUSISHA MATENDO YA MTU NA DINI. WATU WOTE WANGEKUWA WANAENDA MBIGUNI KWA SABABU YA DINI BASI INGEKUWA HAKUNA HAJA YA KUHUBIRIWA KUACHA KUTENDA DHAMBI.
DINI ZILIANZISHWA NA WANADAMU KWA AJILI YA KUMTAFUTA MUNGU NDIYO MAANA KWENYE DINI UTAWAKUTA WAFIRAJI, WAFIRWAJI, WEZI, WALAFI, WAZINZI N.K
Ww ni Shoga sema ukweli wako
Mtanzania wa chato ndo anazungumza haya.wenzio ulayA magharibi yote wamejaza base za America kuiogopa Russia we huku uswahilini unaongea utadhani Russia Ni capeverde.Urusi hana ubavu mbele ya USA/// Urusi ni ka-nchi kadogo kanategemea vimauzo vya silaha zake but all in all hawez kushindana na USA na washirika wake
Umeongea pumba..hivi duniani Kuna nchi yenye rasilimali za Kila aina so mafuta,madini na mazao kuizidi urusi?Vita vina gharama ndugu. Huyo mrusi wako hawezi kushindana na Marekani. Kwa upeo mdogo unaweza kusema unapigana na Marekani kumbe unapigana na nchi 21 bila wewe kujua. Marekani akisimama kuna nchi 12 zipo naye. Mrusi au mchina hana ubavu kwa Marekani. Ulitambue hilo mpaka keshokutwa
MAREKANI HAPIGANI VITA VYA OVYO OVYO YEYE HUPIGANA VITA VYA FAIDA. HAPO KUNA MAFUTA LAZIMA VITA IPIGWE NA MAREKANI LAZIMA ACHUKUE MAFUTA. AKIPIGANA NA URUSI, CHINA NA KOREA KASKAZINI ATACHUKUA NINI? HUYO MRUSI NA MCHINA YUPO CHINI YA MAREKANI
Kibaraka wa al saudi.magaidi wavaa sando na AK-47 migo ngoni.Inabidi Iran ndio aanze kuanguka kwanza
Kama nyie mnavyoombea Saudia ianze kuanguka na mimi ninaiombea Iran ianze kuanguka kabla ya zingine
Mtanzania wa chato ndo anazungumza haya.wenzio ulayA magharibi yote wamejaza base za America kuiogopa Russia we huku uswahilini unaongea utadhani Russia Ni capeverde.
Huyo ni msemaji wa Ikulu hana ukubwa wowote ule zaidi ya kutoa habari kwa ummaWhite House Press Secretary Sarah Sanders to leave her post at the end of June, US President Donald Trump says
![]()
Sarah Sanders: White House press secretary resigns
The president praises her as a "warrior" and she says the job "has been the honour of a lifetime".t.co
KUNA KIONGOZI MKUBWA WHITE HOUSE AMESHAJIUZULU SASAIVI HUKO
Mkuu chanzo cha taarifa tafadhali kama hutajali.Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.
Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.
Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.
Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.
Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Mungu akuweke mahali pema peponiEti urusi ni kanchi kadogo we jinga kweli
Una sababu mkuu au chuki tu. Marekani washenzi sana wameshbilia ka nchi kama libyaHii dola ya Iran inatakiwa iangushwe, wasiicheleweshe
Mkorea anatengeneza nuclear. Hilo ni tishio kwa marekani na nchi nyingine duniani. Sasa mbona anashindwa kumzuia. Issue sio mafuta tu kama unavyofukiria. Afghanistan kuna mafuta? Mbona alishambuliaSiyo mbwa koko kama unavyofikiri. Marekani anatumia akili sana katika kupigana vita. Marekani siyo kama alimshindwa Mkorea ila hana cha kuchukua. Atachukua nini Korea wakati Marekani anapigana vita vya faida? kumuelewa Marekani inatakiwa uwe na akili kubwa. MAREKANI HAPIGANI VITA ILI MRADI VITA. ANAJUA NIKISHAMPIGA IRAQ NINATACHUKUA MAFUTA YA KUTOSHA. NDIYO MAREKANI ANACHOFANYA.
VITA VINA GHARAMA SANA. MAREKANI ANAPOSIMAMA KUNA NCHI KAMA 12 NYUMA YAKE.
Urusi haongei chochote juu ya amerika Kaka Iran alishapigwa akiwa Syria na Israel urusi alikaa kimya mwisho Irani aliishia kulalamikaWajaribu kuishambulia Ndio watamjua urusi ni nani.
Pompio mzee ndio kasema hiyo sio maneno yake huyo jamaaTaifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.
YANI HAPO UMENICHEKESHA SANA. WEWE CIA ??? Ata CIA wenyewe haya mambo hawayajui uko vizuri.
Kuna hali tete ndani ya jumba jeupe na wakuu wa usalama wa Taifa la marekan CIA pamoja na Mossad wanafanya analysis za mwisho tayari kuishambuli taifa la Iran.
Taifa za siri ambazo hazijawa rasm inasemeka waziri mkuu wa Japan yupo Iran na kama tunavyojuwa leo mwli mbil za mafuta zimeshambuliwa na moja wapo ni meli ya Japan. Inasemekana toripido zilizokuwa chini ya Bahari ndio zimeleta majanga na Iran waliwahi kama kufuta ushahidi.
Hata hivyo makomando wa Marekan walipata taarifa nakuwasuta Iran as if wanatoa msaada. Ila inasemekana kuna kazi walikuwa wakifanya. Ikumbukwe kuwa Iran walisha Sema vikwazo walivyo wekewa hawato kubali waumie wenyewe.
Tayari Rais wa Marekan Amesha pewa taarifa na lolote laweza kutokea kuanzia sasa. Inasemekana wanasubiri waziri mkuu wa Japan aondoke ndipo walianzishe pia tayari mataifa rafiki ya marekan kama Saud, na Eur bila msahau Israel wamesha nyanyuwa vichwa vya nyuklia kuelekea Iran.
Tuombee dunia maana yajayo ni mazito. Na Uwenda yakapandisha bei za mafuta kwa kiwango kikubwa sana.
Venezuela kuna mafuta mengi sana kama hujuiHuko hakuna faida
Safii sana mkuu, umemjibu kwa factsMkorea anatengeneza nuclear. Hilo ni tishio kwa marekani na nchi nyingine duniani. Sasa mbona anashindwa kumzuia. Issue sio mafuta tu kama unavyofukiria. Afghanistan kuna mafuta? Mbona alishambulia
Mkuu je una his Iran itavamiwa kijeshi?MOSSAD na CIA wametisha sana asee yani hii mission wamejua kuisuka kitaalamu,kitakachofata nadhani watasuka mpango mwingine ambapo meli ya kivita ya Marekani itashambuliwa (kwa mines,etc) zigo ataangushiwa Iran halafu hapo ndo picha litaanza.
Hii movie naona inafanana na ile ya Operation praying mantis