Marekani Kujitoa WHO ni vita vya kiuchumi na China

Marekani Kujitoa WHO ni vita vya kiuchumi na China

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Marekani kujiondoa WHO ni kama kete ya kuiachia mzigo wa gharama China inayotaka kujipanua kiuchumi duniani.

Wakati marekani ina watu milioni 400 , China ina watu 1.5 bilioni lakini inachangia kidogo zaidi katika WHO kuliko Marekani.

Marekani inaona kama inabeba mzigo mkubwa pekee wakati China ikitamba kama Taifa kubwa kiuchumi wakati haitoi pesa ya maana katika jumuiya za kimataifa.

Ngoja tuone China kama ataingia kwenye huu mtego wa kubeba gharama ili kulinda heshima yake.
 
Bw Trump ana moyo wa kushtukashtuka kama baadhi ya viongozi wetu.

He doesn't care kwamba mchango wa Marekani huko WHO unazifikia nchi za dunia ya tatu ie Tanzania.

Kujiuliza, je zile dawa kama za HIV na Malaria are we going to get them free?, and what's impact if we didn't get it?

Trump kasema hata watoto wa wakimbizi au walowezi wa huko Marekani hawatapata uraia, it's bad news pia.

Kwa Trump dunia itamshangaa

Mchina ana uchumi mkubwa, mchina anatibia raia wake with local medicines, hajali kitu.
 
Ni sawa hadithi za kujenga ukuta wa Mexico border.

Mambo mengine inatakiwa msome jinsi taasisi zinavyofanya kazi.

US senior servants wake sio kama Tanzania (unga-unga), hawawezi jitoa WHO miaka 800 kama unajua shughuli za WHO in depth.

Hiyo taasisi yenu inayotoa misaada ya dawa za ukimwi na WHO ni watu wawili tofauti.
 
Marekani kujiondoa WHO ni kama kete ya kuiachia mzigo wa gharama China inayotaka kujipanua kiuchumi duniani.

Wakati marekani ina watu milioni 400 , China ina watu 1.5 bilioni lakini inachangia kidogo zaidi katika WHO kuliko Marekani.

Marekani inaona kama inabeba mzigo mkubwa pekee wakati China ikitamba kama Taifa kubwa kiuchumi wakati haitoi pesa ya maana katika jumuiya za kimataifa.

Ngoja tuone China kama ataingia kwenye huu mtego wa kubeba gharama ili kulinda heshima yake.
Huyo marekani kisha elemewa kiuchumi, kila mwaka serikali inafikia kufunga shughuli zake kwa upungufu wa bajeti mpaka congress ikubali wapandishe zaidi kiwango Cha deni lao Ili wakope.
Mchina Hana mambo ya kijinga ya ushindani au siku zote kujiingiza kwenye vita. Yeye ni kazi tu na biashara.
 
Huyo marekani kisha elemewa kiuchumi, kila mwaka serikali inafikia kufunga shughuli zake kwa upungufu wa bajeti mpaka congress ikubali wapandishe zaidi kiwango Cha deni lao Ili wakope.
Mchina Hana mambo ya kijinga ya ushindani au siku zote kujiingiza kwenye vita. Yeye ni kazi tu na biashara.
Wacha weeeeeh.......🤣🤣
 
Huyo marekani kisha elemewa kiuchumi, kila mwaka serikali inafikia kufunga shughuli zake kwa upungufu wa bajeti mpaka congress ikubali wapandishe zaidi kiwango Cha deni lao Ili wakope.
Mchina Hana mambo ya kijinga ya ushindani au siku zote kujiingiza kwenye vita. Yeye ni kazi tu na biashara.
Kazi za WHO has nothing to with US and China politics.

80% (based on my assumption) kutokana na kuandika maswala ya afya directive za health policies msingi wa ni WHO, health intervention approach msingi wake ni WHO, health management at services policies zake msingi wake ni WHO, social services intervention approaches msingu wake ni WHO.

Elewa kwanza majukumu ya WHO Ndio ujue US kujitoa ni kujitikwa majukumu ambayo ni improbable kufanya wenyewe.
 
Bw Trump ana moyo wa kushtukashtuka kama baadhi ya viongozi wetu.

He doesn't care kwamba mchango wa Marekani huko WHO unazifikia nchi za dunia ya tatu ie Tanzania.

Kujiuliza, je zile dawa kama za HIV na Malaria are we going to get them free?, and what's impact if we didn't get it?

Trump kasema hata watoto wa wakimbizi au walowezi wa huko Marekani hawatapata uraia, it's bad news pia.

Kwa Trump dunia itamshangaa

Mchina ana uchumi mkubwa, mchina anatibia raia wake with local medicines, hajali kitu.
Marekani kwa sasa ina upungufu wa watu wanaofaa kuwaongoza.

Trump sio aina ya watu wanaofaa kuwa Rais.

Ataumiza watu wengi mno.
 
Watanzania wengi wana kashifu USA, nadhani ni wale Watz vilaza!

Sasa Kila nchi isaidiwe na rafiki zake kununua hizo ARV , China atupe sisi Watz

Maana hata manguo ya kichina yamejaa tz; mpaka mitumba ya kichina imefubaaa
 
Yaani China ikagharamie uendeshaji wa NGO iliyoanzishwa na USA..?
 
Kuna namna Trump anatukumbusha, mtegemea cha nduguye ufa maskini.

Nawashangaa member humu kukasirishwa na hatua za trump kujitoa WHO. Yeye kaona nchi yake haifaidki, na ni baden kwa taifa ndio maana kajitoa, alafu wewe unakasirika na kuongea hadi unarusha mate! Seriously

Wakati Tanzania hii kuna watu wanakufa na njaa, huku wengine wana utajiri wa kutisha. Tuanze kwanza wenyewe kwa wenyewe kabla ya kumpigia kelele bwana Donald
 
Back
Top Bottom