Marekani Kujitoa WHO ni vita vya kiuchumi na China

Marekani Kujitoa WHO ni vita vya kiuchumi na China

Bw Trump ana moyo wa kushtukashtuka kama baadhi ya viongozi wetu.

He doesn't care kwamba mchango wa Marekani huko WHO unazifikia nchi za dunia ya tatu ie Tanzania.

Kujiuliza, je zile dawa kama za HIV na Malaria are we going to get them free?, and what's impact if we didn't get it?

Trump kasema hata watoto wa wakimbizi au walowezi wa huko Marekani hawatapata uraia, it's bad news pia.

Kwa Trump dunia itamshangaa

Mchina ana uchumi mkubwa, mchina anatibia raia wake with local medicines, hajali kitu.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
 
WhatsApp Image 2025-01-23 at 1.45.31 PM.jpeg
 
Hii ndio shida ya kukaa tu na kutegemea vya bure halafu mtu asipokusaidia unaanza kumponda kama vile ni lazima akusaidie.

Waafrika kadri tutakavyo endelea kuwa na watawala wa hovyo kama hawa tulionao, maana yake ni kwamba tutaendelea kuteseka sana katika dunia hii na tutaendelea kulaumu watu kama Trump kwa ujinga wetu wenyewe.
 
Back
Top Bottom