Marekani kuondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko yake ya hisa kwa kukiuka masharti ya CAG wa Marekani

Nimatatizo yenu yeye haya muhusu

SAUDIA inafadhiliwa nanani
QATAR inafadhiliwa nanani
UAE inafadhiliwa nanani

Hamjui hata mnachokipinga kumbe ...
 
Huku Mmarekani akileta demokrasia yake makini kabisa kule Libya,Iraq,Syria na kwa sasa kuna amani kuliko kipindi chochote kile tangu mataifa hayo yaumbwe.
 
Nimatatizo yenu yeye haya muhusu

SAUDIA inafadhiliwa nanani
QATAR inafadhiliwa nanani
UAE inafadhiliwa nanani

Hamjui hata mnachokipinga kumbe ...
... hapo ndipo unapokosea.
 
Vikwazo vya makampuni
Zengwe Hong Kong
Zengwe South China Sea
Kweli marekani kaamua, mchina Kila siku anasema atalipa kisasi Ila yupo kimya mpaka anatukera sisi wapenda vurugu
Nalog off
 
Dunia nzim atungefanya kampeni ya kimkataa mchina maana anaishi kwa janja na ukandamizaji especially kwenye nchi za Africa
Huo ubavu wakumkataa UCHINA hatahaonwanaojiona mabanwa wadunia hawawezi itakua wewe wahuko kusini mwajangwa lasahara MKUU ?!.
 
China inanyongwa na kufa aiseee.. Chinese businesses inside & outside US zitadorora sana, maana Huawei imepigwa ngeu kubwa mbaya sana worldwide, US akiamua utapotea aisee, unaona Iran pamoja mafuta yooote na Natural Gas bado wanalia lia kila siku, wanahitaji soft loans toka WB & IMF hawapati, sanctions bite hardest, US baba lao
 

Mimi siiipendi China kwa sababu amekuwa Mkoloni hatari na Muuwaji
 
IRAN wanaolia lia kwasababu ya US mmewazidi kipi ?!


UCHINA hasimamishiki tena suala lamuda tu tuuombe uzima na uhai wake.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…