Marekani kupeleka Ulaya Cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia ile waliyokuwa wananunua Urusi

Marekani kupeleka Ulaya Cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia ile waliyokuwa wananunua Urusi

Mchina uwanja ni wake.......gharama za uzalishaji kwa viwanda vya ulaya itakua kubwa sana kuliko kwa wavimba macho
Mkuu kila bidhaa itapanda bei mno.
Hata nauli za Tax tu na usafiri wa umma.

Serikali za ulaya tutegemee kupata wakati mgumu dhidi ya wananchi, wanaokwenda kuumia ni wananchi.

Hali ni mbaya, Putin ameona bora amwage na yeye mboga kama wamemwaga ugali, chakula hakiliki.

Nchi za ulaya pasipo shinikizo la US wangetii matakwa ya Russia, tatizo ni US, ndio maana anajikakamua kuhakikisha anawapatia kile wanachokosa ili wasimgeuke, cause mwisho wa siku ni maslahi.
 
Niaje niaje........kweli marekani hatari Sana. ...watu wanapigana yeye Yuko busy na biashara .......mrusi Hana chake tena ulaya tuone SASA Nani atanunua hiyo mihera yake yenye rangi kama batiki....nawasilisha Uzi tayari
 
Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma

Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.

Source: BBC
Tuliwambia humu Putinism marekani amewekeza katika hii dunia muda mrefu sanaa., hizo takataka za russia sasa hazina maana tn
 
Marekani ndio nchi inayoongoza duniani kwa uzalishaji wa gesi Ikifuatiwa na Urusi

Hata ku Google umeshindwa kabla kubishiaR
Russia ndio nchi yenye reserve kubwa ya gesi duniani, uzalishaji unategemea reserve uliyonayo. Muda si mrefu reserve ya Marekani itashuka kwa kulazimisha supply wasiyoweza kuimudu hapo ndio ulaya watarudi kwa Putin mikono nyuma wakisema TUMEKOSA TUMEKOSA SANA TUHURUMIE
 
Russia ndio nchi yenye reserve kubwa ya gesi duniani, uzalishaji unategemea reserve uliyonayo. Muda si mrefu reserve ya Marekani itashuka kwa kulazimisha supply wasiyoweza kuimudu hapo ndio ulaya watarudi kwa Putin mikono nyuma wakisema TUMEKOSA TUMEKOSA SANA TUHURUMIE
Hiyo reserve ya US kwisha ni baada si chini ya Miaka 400 ijayo kwa kupiga current production ya sasa ikihusisha na hiyo wanayouzia Ulaya

Kwa hiyo waweza fidia hiyo gap ya Russia kwa Miaka 400 ijayo labda useme baada ya hiyo miaka 400
 
Russia ndio nchi yenye reserve kubwa ya gesi duniani, uzalishaji unategemea reserve uliyonayo. Muda si mrefu reserve ya Marekani itashuka kwa kulazimisha supply wasiyoweza kuimudu hapo ndio ulaya watarudi kwa Putin mikono nyuma wakisema TUMEKOSA TUMEKOSA SANA TUHURUMIE
Kwahiyo ulaya na marekani hayo hawayajui?
 
Hiyo reserve ya US kwisha ni baada si chini ya Miaka 400 ijayo kwa kupiga current production ya sasa ikihusisha na hiyo wanayouzia Ulaya

Kwa hiyo waweza fidia hiyo gap ya Russia kwa Miaka 400 ijayo labda useme baada ya hiyo miaka 400
Na wataongeza uzalishaji, ATA kuiba gesi nchi za watu
 
Back
Top Bottom