Marekani kupeleka Ulaya Cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia ile waliyokuwa wananunua Urusi

Marekani kupeleka Ulaya Cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia ile waliyokuwa wananunua Urusi

Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma

Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.

Source: BBC
Anataka kuwapelekea gesi kutoka mbali kote huko wakati iko huku kwetu ya kumwaga,hii fursa inabidi tuichangamkie ili tuuage umasikini...
 
Ni vema pia tukatambua mambo mawaili hapa:

Mosi) Mkataba alioingia Sleepy Joe jana wa kutoa hizo 15 billion cubic metres za Liquified Natura Gas (LNG) utaweza kucover asilimia 10% tu ya kile kiwango anachotoa Russia kwa ulaya nzima. Hivyo Urusi bado ataendelea kutoa hio 90%. US anafanya hivi huku mataifa makubwa ya Ulaya yakiwa na mpango wa kukomesha kabisa matumizi ya energy kutoka Urusi kufikia mwaka 2030, yaani miaka 7 kutoka sasa.

Pili) Na pia kila siku tunaskia mataifa yaliyoendelea chini ya Mwavuli wa UN na EU yakipiga kelele juu ya swala la Climate Change na Global shift in energy from Fossil fuel to Cleaner forms of energy. Wanafanya hivi wakiwa na mpango maalumu zaidi ya huu wanaopigia kelele wa kitunza mazingira. Hivyo unaona ni kwa namna gani campaigns hizi zinavokua Engineered chini ya US governemnt na kuhakikisha malengo yanatimia.

Tukisema US ana plan 50 years or maybe a century ahead juu ya nafasi yake duniani tunaonekana tunawasiafia sana lakin huo ndo ukweli na kama utataka kuprove unaweza kuangalia jinsi dunia ya leo inavyoenda inakua facilitated na plans na contracts zilizoingiwa zaidi ya miaka 30 nyuma; mipango hii imeota sana mizizi kiasi kwamba kuikwepa unahitaji msuli mnene sana kitu ambacho ni almost impossible kutimiza.
Uko sahihi somo la long term planning linafundishwa kila chuo hata kama cha kata Tanazania kiwe cha diploma au degree.Mimi huwa nashangaa mtu akisema elimu yetu iko chini sidhani.Kaulize hata mtu aliyesoma chuo cha kata na aliyepata low class anajua long term planning ni kitu gani atakueleza vizuri kwa ufasaha hasa!!

Cha ajabu ni USA pekee ndio huwa serious kwenye issue ya long term plans na implementation.Sisi kila siku long term plans hubadilika inategemea Raisi gani au bosi gani yuko madarakani kwa wakati huo!! Kuna succession plan ya kupokezana uongozi sio long term plans za nchi.Marekani wana zote succession plan za uongozi na long term plans na wako serious nazo
 
Unafkiri US na Europe wakiamua wanashindwa kuhusu hilo bomba kuliweka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekua rahisi wangeweka toka mwaka 1960, Pengo aliloliacha Russia unafikiri US anaweza kuliziba, kumbuka Russia alikuwa ana supply 40%, US anatarajia kupeleka only 10 per given time kwa gas aliyokuwa anapeleka Russia, na hapo US unaambiwa wamefika mwisho kabisa wa uzalishaji, yaani kama unakula wali basi unaokoteza mpaka na punje za chini ili kusudi tu ushibe.

Norway, Algeria n.k ni moja ya nchi zinazopeleka gas Ulaya.


US haiwezi kuziba pengo aliloacha Russia, ni kauli za kibingwa tu za kisiasa.
 
Mataifa mengi makubwa ya Ulaya hasa Ulaya magharibi ni vigumu sana kumkatalia US matakwa yake kutokana na mchango wake mkubwa aliowapa kufufua uchumi wa nchi zao baada ya WW 2 kupitia European Recovery Project (Marshall Plan) chini ya Rais Harry Truman.

Ikumbukwe pia kuwa mpango huu wa kufufua Uchumi wa ulaya ulipokua proposed mwaka 1947 ulikua na masharti yasiyoweza kukataliwa (Non Negotiable Terms).
Umeongea kifupi ila umeeleweka, umeongea kisomi. Kwa hoja hiyo, basi tusiilaumu ulaya kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema pia tukatambua mambo mawaili hapa:

Mosi) Mkataba alioingia Sleepy Joe jana wa kutoa hizo 15 billion cubic metres za Liquified Natural Gas (LNG) utaweza kucover asilimia 10% tu ya kile kiwango anachotoa Russia kwa ulaya nzima. Hivyo Urusi bado ataendelea kutoa hio 90%. US anafanya hivi huku mataifa makubwa ya Ulaya yakiwa na mpango wa kukomesha kabisa matumizi ya energy kutoka Urusi kufikia mwaka 2030, yaani miaka 7 kutoka sasa.

Pili) Na pia kila siku tunaskia mataifa yaliyoendelea chini ya Mwavuli wa UN na EU yakipiga kelele juu ya swala la Climate Change na Global Shift in energy from Fossil Fuel to Cleaner Forms of Energy. Wanafanya hivi wakiwa na mpango maalumu zaidi ya huu wanaopigia kelele wa kitunza mazingira. Hivyo unaona ni kwa namna gani campaigns hizi zinavokua Engineered chini ya US governemnt na kuhakikisha malengo yanatimia.

Tukisema US ana plan 50 years or maybe a century ahead juu ya nafasi yake duniani tunaonekana tunawasiafia sana lakin huo ndo ukweli na kama utataka kuprove unaweza kuangalia jinsi dunia ya leo inavyoenda inakua facilitated na plans na contracts zilizoingiwa zaidi ya miaka 30 nyuma; mipango hii imeota sana mizizi kiasi kwamba kuikwepa unahitaji msuli mnene sana kitu ambacho ni almost impossible kutimiza.

US tunaweza kuwachukia kwa uonevu wao na ukoloni wao, lakini hatuwezi kuwachukia na kuwadharau kwa umakini wao na uwezo wao wa kufikiri na kuweka mipango thabiti juu ya ustawi wa taifa lao. In fact inabidi tuwapongeze na kutamani kujifunza juu ya umakin wao wa kuwaza mbele.

In the end hio ndio maana ya halisi ya Capitalism; kwamba mwenye akili nyingi na nguvu nyingi ndo atakula na kuneemeka.
Asiyekuelewa atakuwa ni mpumbavu mno. Hata ktk hii vita, niliwahi kuzungumza kuwa, Russia alikosea kuingia Ukraine, alikosea sababu anashutuku serikal ya Ukraine ina mkono wa magharibi. Sasa nikauliza swali, ikiwa shutuma hizo ni za kweli, yeye Russia alishindwa nini kuweka mtu wao hapo ili kuhakikisha usalama wake?

Leo tutengane na Zanzibar, kisha Rwanda aje aweke pandikizi serikali ya mpya ya Zanzibar. Je sisi Tanganyika tulikuwa wapi kuweka mtu wetu ili kulinda maslahi ya Taifa letu ambapo sana sana ni usalama wa nchi yetu?

Hapa ndipo unapoona licha ya uovu wote wa US, na kila mtu anafahamu hili, ila jamaa wana akili nyingi mno, wakati ambao sisi tunawaza miaka 10 mpaka 20 au 30 mbelez wao wapo 50 na zaidi. Na wana confidence ya ajabu ktk kutimiza matakwa yao. Hawayumbishwi kirahisi au kukata tamaa kirahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gas itasafirishwa kwa meli, hii ni kupunguza tatizo lakini inabidi waiuze kwa gharama ili kupata faida.

Usafirishaji wa gas kwa njia ya meli ni gharama, gas itapanda bei mno, huwezi shindana na mtu ana bomba.

Uchumi wa ulaya unakwenda kudorora, gas ya Russia ni nafuu.

US itanyoosha mikono tu, hii vita ni ngumu.

Kuweka bomba la gas kutoka USA sijui itachukua karne ngapi.
Mwenzio anapeleka maji kwa bomba wewe kwa boza tutaona mwisho wake
 
wanazitolea wapi basi kumiliki vyombo vya habari tutadanganywa mpaka tukome,


Wingereza ilivyo collapse wale wazungu waliokua british ndio hao walio marekani ndio maana jambo la marekani na Uk huwa ni moja.

wanaonyesha russia c kitu ila toka kitambo russia anajitosheleza kwa kila kitu hana shida hata ya kufanya exploitation au kushawishi mataifa yawe upande wake kama marekani.
Hiyo gesi USA ataitoa popote duniani

Hata Kwa kumwaga damu
 
Asiyekuelewa atakuwa ni mpumbavu mno. Hata ktk hii vita, niliwahi kuzungumza kuwa, Russia alikosea kuingia Ukraine, alikosea sababu anashutuku serikal ya Ukraine ina mkono wa magharibi. Sasa nikauliza swali, ikiwa shutuma hizo ni za kweli, yeye Russia alishindwa nini kuweka mtu wao hapo ili kuhakikisha usalama wake?

Leo tutengane na Zanzibar, kisha Rwanda aje aweke pandikizi serikali ya mpya ya Zanzibar. Je sisi Tanganyika tulikuwa wapi kuweka mtu wetu ili kulinda maslahi ya Taifa letu ambapo sana sana ni usalama wa nchi yetu?

Hapa ndipo unapoona licha ya uovu wote wa US, na kila mtu anafahamu hili, ila jamaa wana akili nyingi mno, wakati ambao sisi tunawaza miaka 10 mpaka 20 au 30 mbelez wao wapo 50 na zaidi. Na wana confidence ya ajabu ktk kutimiza matakwa yao. Hawayumbishwi kirahisi au kukata tamaa kirahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeupenda mfano wa Rwanda!
 
Hiyo reserve ya US kwisha ni baada si chini ya Miaka 400 ijayo kwa kupiga current production ya sasa ikihusisha na hiyo wanayouzia Ulaya

Kwa hiyo waweza fidia hiyo gap ya Russia kwa Miaka 400 ijayo labda useme baada ya hiyo miaka 400
Russia anagesi mpaka ya kugawa bure
world-proven-reserves.jpg
 
Back
Top Bottom