Marekani kuzindua B-21, ndege yenye uwezo wa kushambulia kwa nyuklia tena bila rubani

Marekani kuzindua B-21, ndege yenye uwezo wa kushambulia kwa nyuklia tena bila rubani

Unajua maana ya unveiling? Ni kutangazia umma uwepo wa kitu kwa mara ya kwanza, uzinduzi. Zile ni pesa za walipakodi wa Marekani na wanatangaziwa mzigo mpya ulioundwa. Wewe ukiona ukakasirika ni kiherehere chako Marekani haijakutangazia wewe na kwa taarifa yako hizi ndege haziuzwi. Marekani huwa haiuzi bombers, haikuuza B-52 Stratofortress, haikuuza B1 Lancer, haikuuza B-2 Spirit na hii B-21 Raider haitouzwa.
Kwa hiyo silaha za Urusi zina tengenezwa kwa pesa za kuokota barabarani na sio kodi za wanachi?
 
Sipati picha ingekua ndo Urusi inazindua hii ndege Leo,Kwanza Putin angeitisha wanasiasa,viongozi wa dini, viongozi wote wa serikali,TV zote za ndani na Nje ya nchi huku michoro ya katuni kuelezea jinsi hiyo ndege itakavyokua inabomb miji ya Washington na Newyork city ikionyeshwa kwenye screen.
Baadae Putin mwenyewe angeshika kipaza sauti na kuanza kusifia jeshi lake, Makombora,nyuklia na kusifu uwezo wa Urusi kutengeneza ndege yenye Teknolojia ya Hali ya juu kupita zote duniani akiisifia kwamba hakuna nchi itakuja kua na ndege hiyo labda miaka kumi au ishirini ijayo,hapo anapigiwa vigeregere na makofi Wah! Wah! Wah!.

Baadae Putin angekata utepe na kuionyesha rasmi ndege kwa umma huku akiwa anaelezewa uwezo wake na mainjinia,yaaani Leo tusingelala tungeonyeshwa mapicha picha kama Yale ya CCM wakiwa wanapokea gawio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Urusi auze long range bomber gani. Ana Tu-160 hauzi, Tu-22 hauzi na Su-70 Okhotnik iko kwenye development
Mkuu hatijaongelea kuuza ww umesema Marekani ametangaza ili wamarekani waone kodi zao zinavyo tumika.
Ila Urusi akionesha mnasema anajionesha na kujitangaza.
 
Unajua maana ya unveiling? Ni kutangazia umma uwepo wa kitu kwa mara ya kwanza, uzinduzi. Zile ni pesa za walipakodi wa Marekani na wanatangaziwa mzigo mpya ulioundwa. Wewe ukiona ukakasirika ni kiherehere chako Marekani haijakutangazia wewe na kwa taarifa yako hizi ndege haziuzwi. Marekani huwa haiuzi bombers, haikuuza B-52 Stratofortress, haikuuza B1 Lancer, haikuuza B-2 Spirit na hii B-21 Raider haitouzwa.
Comment 48# Kutoka kwa ITR inajibu yote
 
Mkuu hatijaongelea kuuza ww umesema Marekani ametangaza ili wamarekani waone kodi zao zinavyo tumika.
Ila Urusi akionesha mnasema anajionesha na kujitangaza.
Urusi inabeba silaha inapeleka uwanjani kuonyesha na kupigisha gwaride. Silaha hata za 1970s wanabeba kila mwaka kuzionyesha, hiyo B-21 hutokaa uione tena mbele ya umati ikitangazwa
 
Back
Top Bottom