Una uhakika yeye Rais hajapigwa chanjo ya Covid-19 hadi sasa??..
Hajachoma chanjo, by simple thought process.
Mzungu (Mjerumani, USA, UK) asingekubali kumpa JPM chanzo moja kisiri siri.
Mtu ambae anawachana na kuwabeza na chanjo yao, na amewaambia wanafanya matendo ambayo wanyama hawafanyi, angeomba chanjo yao CIA/MI5/MOSAD wangejua na wangeshamuanika.
China on the other hand wametangaza, as of yesterday, marais waliochoma chanjo yao: Uturuki, UAE, Egypt, Shelisheli, Bahrain and Indonesia. JPM hayumo. Unaweza kusema amewaomba wamhifadhi. Sidhani.
National media ya China inamuuliza President Xi, kwa nini mnatupa chanjo ambayo nyinyi wenyewe viongozi hamjachoma? As of yesterday, Ikulu ya China kimya.
Magufuli, of all the people, hawezi kuchoma chanjo ya China ambayo President Xi wa China anaigopa kuchoma!
Sputnik vaccine from Russia? Russians wenyewe wamegoma kuinywa. You tell me if Magu is injecting himself with that jazz.
Wazungu walipokuja Afrika hatukuwa na chanjo, na ma pandemic yalikuwepo, mbona hatukuwa extinct kabla hawajaja ???? We good!