Marekani: Migomo kwa Palestina yasambaa kama moto wa nyika!

Marekani: Migomo kwa Palestina yasambaa kama moto wa nyika!

Kwa nini utukane?
Hao waandamanaji mbona hawakuqndamana 07/10 kupinga yale mauaji ya watu wasiokuwa na hatia?
Mbona vyuo vikuu vya ulimwengu wa kiarabu hawaandamani?
Ni hayo tuu Maalim
Sasa mbona unajifanya una uchungu sana kuliko hata wayahudi wenyewe? Huku Israeli kwenyewe wanaandamana ajabu wewe mgogo wa mpwapwa unapinga maandamano haujishangai🤣🤣
 
Uhuru uko wapi?

20240427_105350.jpg
 
Tatizo Marekani iliwaachia muingie sana kule na kuzaliana, walipaswa kuzuia kama ilivyo Poland ambapo wanaishi kwa amani.
Niliona mnadiriki kubwatuka yale madude yenu "death to America" Mkiwa ndani ya Marekani yenyewe.
Wazungu wana demokrasia ya kijinga sana, mthubutu kuyafanya China.
FB_IMG_1714238905167.jpg
 
Back
Top Bottom