Marekani: Migomo kwa Palestina yasambaa kama moto wa nyika!

Marekani: Migomo kwa Palestina yasambaa kama moto wa nyika!

Kama ushangai hizo nchi za Kiarabu Marekani ndiyo kazileta machafuko utakuwa punguani kama Libya, Iraq, Syria, zilkuwa zimetulia.
Sasa kwanini wasiwe wanakimbilia oman,iran,saudi arabia ila wao wanakimbilia kwa mabeberu,
 
Kama ushangai hizo nchi za Kiarabu Marekani ndiyo kazileta machafuko utakuwa punguani kama Libya, Iraq, Syria, zilkuwa zimetulia.
Watu wenye akili timamu hawawezi kukombanishwa waarabu hawana akili
 
Tusi liko wapi? Wewe hauna unachojua ndiyo maana nakuita punguani Palestina wameenza kuuliwa toka mwaka 1947 watu wanakuona mjinga wa kiwango cha mwisho unadhani vita vimeanza Oct 7 hata ufahamu kwa nini wanaandamana, labda nikusaidie wanapinga serikali zao kishirikiana na Israel kuwapa silaha na pesa wanafanya mauaji ya kimbari kuuwa watoto na raia wasiokuwa na hatia, unataka Waraabu waandamane kwa niini viongozi wao wanapawa silaha na pesa Israeli? Haujaona maandamano Jordan, Misri, Moroco?
Ndugu mjuaji bado unajiexpose kwa kuendelea kutukana.kutukana kunaonesha wazi kabisa umekosa hoja na pia chuki yako kwa Mayahudi uliyorithishwa na mtume wa allah ni kubwa sana.Yanayoendelea leo ni matokeo ya 07/10/2023.Hao akina mama na watoto (wanaouliwa ) siku hiyo walishangilia sana huku wakilitaja jina la mungu wao kwa bashasha kubwa aka Takbiiiiiir za kutosha.
Endelea kujiua kwa kuhifadhi chuki kwa wasio wa dini yako.
Takbiiiiiiiir
 
Ndugu mjuaji bado unajiexpose kwa kuendelea kutukana.kutukana kunaonesha wazi kabisa umekosa hoja na pia chuki yako kwa Mayahudi uliyorithishwa na mtume wa allah ni kubwa sana.Yanayoendelea leo ni matokeo ya 07/10/2023.Hao akina mama na watoto (wanaouliwa ) siku hiyo walishangilia sana huku wakilitaja jina la mungu wao kwa bashasha kubwa aka Takbiiiiiir za kutosha.
Endelea kujiua kwa kuhifadhi chuki kwa wasio wa dini yako.
Takbiiiiiiiir
Kwa uharo uliondika si unaonekana punguani wa mwisho mtume kangiaje hivi wewe mlolokole huoni maandamano kila kona ya dunia hawo wote wana chuki yaani wewe ni mjinga wa kiwango cha mwisho hao mabwana zako wauwa watoto zaidi 15,000 wewe unaona ni sawa? Watu wakiwapinga wanakuwa na chuki?

Hawa nao wana chuki?

View: https://x.com/sahouraxo/status/1784310669552005174?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hao wanaakila kule wew unaishindia mihogo na miguu ya kuku na makanda yaliyokosa virutubisho na kufanya upungukiwe akili .hiyo October 7 .haikohivyo kama mnavyohadithiwa kwenye CNN.
Mipasho kama yote.Ulipaswa kuimba taarab
Kweli umekulia uswahilini!
 
Ukiangalia video zenyewe ni za maarabu tu, humo utakuta mzungu mmoja mmoja ambaye wanamuokoteza majalalani kisha wanamremba halafu aljazeera wanaitwa kuangaza video kwake muda wote ili ionekane wazungu wanaunga huo uzombi wao.
Poland imekataa kabisa kukaribisha, yaani ukitaka kuhamia Poland lazima wahoji imani yako kwanza, hawataki kuharibu amani yao.
Israel iendelee kutembeza kichapo....
Wewe hii chuki yako kwa waarabu siyo bure inawezekana hapo mombasa washafanya yao maana una hasira balaa.🤣
 
Lakini kule Iran waandamanaji wananyongwa.Hata juzi kuna mwanamuziki kule kahukumiwa.kunyongwa kwa kuandamana na mko kimya hamsemi
Ndiyo maana tunawaita mapunguani JF siyo sehemu ya porojo Iran kila siku watu wanaopinga Serikali wanaandamana na wanalindwa na Polisi ushahidi huu hapa.

Weka huo ushahidi wako watu ambao wamenyongwa Iran kwa maandamno.
 
Tatizo nyie walokole wa JF Waisrael weusi habari za Gaza mmeanza kuzijua kupitia JF juzi humu, hizo nchi zote ulizaindika kuna wakimbizi wa Palestina ndiyo mqana nawaita mapunguani.
Shekhe hii Dunia inadini nyingi sio kila mtu ni muisilam au mkristo,

Ujinga na upunguani ndio vinavyofanya mpigwe kila siku
 
Wewe hii chuki yako kwa waarabu siyo bure inawezekana hapo mombasa washafanya yao maana una hasira balaa.🤣

Nyie mlishafanywa na waarabu kitambo tu, au umesahau namna huwa mnabinuka binuka.....
 
Tusi liko wapi? Wewe hauna unachojua ndiyo maana nakuita punguani Palestina wameenza kuuliwa toka mwaka 1947 watu wanakuona mjinga wa kiwango cha mwisho unadhani vita vimeanza Oct 7 hata ufahamu kwa nini wanaandamana, labda nikusaidie wanapinga serikali zao kishirikiana na Israel kuwapa silaha na pesa wanafanya mauaji ya kimbari kuuwa watoto na raia wasiokuwa na hatia, unataka Waraabu waandamane kwa niini viongozi wao wanapawa silaha na pesa Israeli? Haujaona maandamano Jordan, Misri, Moroco?
Huyo binti ni wa kumpuuza

Huyo amekaa kishabiki tena mjinga flani hivi,halafu anajifanya anakuja hapa JF kupotosha

Achana nae huyo,mjinga fulani hivi
 
JF siku hizi sijui watoto wamekua wengi humu, au jobless wengu humu, kila jambo watu wanaliweka ktk mlengo wa dini, watu wasio na hatia wanauawa alafu mtu anakazania mambo ya dini
 
Back
Top Bottom