Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Sasa mbona unajifanya una uchungu sana kuliko hata wayahudi wenyewe? Huku Israeli kwenyewe wanaandamana ajabu wewe mgogo wa mpwapwa unapinga maandamano haujishangaiπ€£π€£Kwa nini utukane?
Hao waandamanaji mbona hawakuqndamana 07/10 kupinga yale mauaji ya watu wasiokuwa na hatia?
Mbona vyuo vikuu vya ulimwengu wa kiarabu hawaandamani?
Ni hayo tuu Maalim
Hahahha Waisrael weusi wa Ushirombo hawataki kabisa kusikia hizo habari wana uchungu kuzidi Waisrael wa Tel AvivπHuko Israeli kwenyewe raia wanataka kumla nyama Netanyahu. Wanaichoma nchi taratibu
Wahauni tu wanashambulia Noth Korea, Iran kuwa wanabinya demokrasia.Marekani imejivua nguo na haina credibility ya kukemea nchi yeyote ile kuhusu maandamano.
Hapo siyo Marekani kabisa hapo ni Iran. marekani Maandamano ni haki ya kila raia Marekani ni Baba wa Demokrasia hawezi kukataza Maandamano.
Hivyo vitoto vinafuata mkumbo tu. Havijui nini maana ya ugaidi?!
Tatizo Marekani iliwaachia muingie sana kule na kuzaliana, walipaswa kuzuia kama ilivyo Poland ambapo wanaishi kwa amani.
Niliona mnadiriki kubwatuka yale madude yenu "death to America" Mkiwa ndani ya Marekani yenyewe.
Wazungu wana demokrasia ya kijinga sana, mthubutu kuyafanya China.
π π πHapo siyo Marekani kabisa hapo ni Iran. marekani Maandamano ni haki ya kila raia Marekani ni Baba wa Demokrasia hawezi kukataza Maandamano.
Mwanafunzi wa chuo ni mtoto?Hivyo vitoto vinafuata mkumbo tu. Havijui nini maana ya ugaidi?!
Yes ni vitotoMwanafunzi wa chuo ni mtoto?
Kasome maana ya utoto ndio tuje tukae tudiscuss tenaYes ni vitoto
Haijalishi. Israeli lazima itimize lengo lake la kuutokomeza ugaidiKasome maana ya utoto ndio tuje tukae tudiscuss tena
Maandamano yameanza kusambaa hadi vyuo vya Ulaya
Unaelewa hao wanafunzi wanaandamana kupinga nini mkuu?Haijalishi. Israeli lazima itimize lengo lake la kuutokomeza ugaidi
Tulia wewe ndani ya israeli kwenyewe wayahudi orijino wanaandamana kupinga hiyo vita itakuwa wewe muyahudi wa mchongo wa mabwepande π€£Hivyo vitoto vinafuata mkumbo tu. Havijui nini maana ya ugaidi?!
Wanatetea ugaidiUnaelewa hao wanafunzi wanaandamana kupinga nini mkuu?
Hasira ya nini?! ππTulia wewe ndani ya israeli kwenyewe wayahudi orijino wanaandamana kupinga hiyo vita itakuwa wewe muyahudi wa mchongo wa mabwepande π€£