SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

SI KWELI Marekani na DRC wakubaliana katika mikataba ya madini adimu na ulinzi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Serikali ya Marekani na DRC wamekubaliana kwamba marekani itaruhusiwa kuchimba madini adimu maeneo ya mashariki ya DRC wakati huo Marekani itatoa vifaa vya ulinzi, tekinolojia ya kijeshi kwa jeshi la DRC .

aidha pia kulinda maeneo ya kimkakati ndani ya DRC.

Hayo yamejiri baada ya Rais wa DRC Felix Etiene Tshisekedi wa Mulumba kukutana na maafisa wa Marekani na kuwekeana mikataba kadhaa ya ushirikiano sambamba na kuwaondoa waasi wote ndani ya DRC.

IMG-20250306-WA0008.jpg
 
Tunachokijua
Kwa sasa, Marekani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) bado hawajasaini makubaliano mapya rasmi kuhusu madini. Hata hivyo, kuna mazungumzo yanayoendelea kati ya pande hizo mbili kuhusu uwezekano wa mpango wa kubadilishana madini kwa msaada wa kiusalama.

Mpango huu uliopendekezwa unahusisha mashirika ya Marekani kupewa haki za uchimbaji na usafirishaji wa madini muhimu, huku Marekani ikitoa msaada wa kiusalama, mafunzo, na vifaa vya kijeshi kwa jeshi la DRC. Hata hivyo, mazungumzo haya bado yapo katika hatua za awali, na hakuna mkataba rasmi uliosainiwa.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imethibitisha kuwa wako wazi kwa kushirikiana na DRC ili kuhakikisha maendeleo ya rasilimali zake za madini kwa njia inayowajibika na yenye uwazi.

Kwa hivyo, ingawa mazungumzo yanaendelea, hakuna mkataba rasmi kati ya Marekani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhusu uchimbaji wa madini na msaada wa kiusalama kwa sasa.
Acha tu ndio maana yule wa BURKINABE hataki mazoea
Nakubaliana na wewe kwamba kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wetu watu weusi. Yule wa Bukinafaso was more worse, walau kajitambua but je ataishi muda mrefu yule kweli? I doubt, watu weusi wanaweza kumsariti afe kama walivo kufa wapigania uhuru kina Kwame Nkuruma, Patrice Lumumba, nk.
 
Ndo hitaji lake kwa sasa. Uwwzekano mkubwa kapunjwa.
Alternatively, aorganise achimbe mwenyewe awauzie faida aitumie kuimarisha usalama wake, na hii ndo best alternative but it needs brain to implement. Hiyo brain anayo?
ukiwa na shida chochote utakachoambiwa utafanya uhai ni bora kuliko mali mfano unamuona zelensky amekaza kusaini mikataba ya madini mwisho amekubali watu wachimbe madini yy anasaidiwa ulinzi
 
Serikali ya Marekani na DRC wamekubaliana kwamba marekani itaruhusiwa kuchimba madini adimu maeneo ya mashariki ya DRC wakati huo Marekani itatoa vifaa vya ulinzi, tekinolojia ya kijeshi kwa jeshi la DRC .

aidha pia kulinda maeneo ya kimkakati ndani ya DRC.

Hayo yamejiri baada ya Rais wa DRC Felix Etiene Tshisekedi wa Mulumba kukutana na maafisa wa Marekani na kuwekeana mikataba kadhaa ya ushirikiano sambamba na kuwaondoa waasi wote ndani ya DRC.
Hao jamaa Wakiingia basi Vita haitaisha. Huu ni Ushindi kwa M23
 
Serikali ya Marekani na DRC wamekubaliana kwamba marekani itaruhusiwa kuchimba madini adimu maeneo ya mashariki ya DRC wakati huo Marekani itatoa vifaa vya ulinzi, tekinolojia ya kijeshi kwa jeshi la DRC .

aidha pia kulinda maeneo ya kimkakati ndani ya DRC.

Hayo yamejiri baada ya Rais wa DRC Felix Etiene Tshisekedi wa Mulumba kukutana na maafisa wa Marekani na kuwekeana mikataba kadhaa ya ushirikiano sambamba na kuwaondoa waasi wote ndani ya DRC.
Kwahiyo slim ajiandae kwa lolote
 
Trump yupo kazini haswa, hapo DRC ameona Wafaransa wanavuna na wayahudi, wachina yaani ni shamba la kuokoteza tu

Sasa ameona na yeye aje wa mtindo mwingine
Waafrika kuja kujielewa ni ngumu sana
Unashangaa waliouza mababu kwa waarabu na wazungu
Ila bado akili zile zile tu
 
Niliwahi kuandika Uzi huu


Nafikiri majibu yamepatikana sasa.

Wanajeshi wa drc ndio walikua wanaua raia ili wazalendo ( wao wanawaita waasi) wa drc waliokua jeshini waliasi wanaotaka kulinda rasilimali za nchi waonekane wao ndio wabaya ...
 
Back
Top Bottom