Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Tunaweza wawekea vikwazo kwa kuzuia misaada yote na fedha za kuendesha miradi yao, si unajua sisi ni dona kantriiVipi Tanzania hatuna namna ya kuwawekea vikwazo Urusi zaidi ya kuwaunga mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaweza wawekea vikwazo kwa kuzuia misaada yote na fedha za kuendesha miradi yao, si unajua sisi ni dona kantriiVipi Tanzania hatuna namna ya kuwawekea vikwazo Urusi zaidi ya kuwaunga mkono
Kusota ni pande zote 2 acha mziki wa kukosa gesi waanze kuupata huko ulaya hasa ukija msimu wa baridi na kumbuka ukraine pia alikua anailisha ulaya magharibi kwa asilimia kubwa......hio inflation haitaiacha serikali yeyote salama hukoAkitoka huko kwenye kuvamia alafu raia wake wakasota kulingana na vikwazo utashuhudia maandamano makali,
Mm chadema lakini nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Kama walimuwekea vikwazo Magufuli na Makonda alafu Tanzania ikaingia uchumi wa kati watamuweza Putin?
Njooni Arsenal hatutaki mivitaChelsea FC yangu ndiyo ileeee....daaah!
Abrahamovich ndiyo kwishne tena kuidhamini Chelsea [emoji849][emoji2960]
Ekrain si ndugu na hao, ni ndugu na russia. Kupigwa au kutopigwa kwa ukrain hakuna madhara ya moja kwa moja kwa uingereza au usa ila na hivi vikwazo anayeumia ni russia maana anapigana na kuwapa sababu maadui zake wasiopigana naye sababu ya kumpa vikwazo.Sio waweke vikwazo waende kumsaidia ndugu yao Ukraine😀😀😀km namuona brother kiduku akipasha
Kama walimuwekea vikwazo Magufuli na Makonda alafu Tanzania ikaingia uchumi wa kati watamuweza Putin?
Limenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Vita Haina macho,Ukraine nayo wamo japo hawataweza kuishinda Urusi. Tayari wamedungua ndege 6 za kijeshi za Urusi na kuua wanajeshi 50 wa Urusi mpaka Sasa. Hii si haba.View attachment 2130083
we stand nanani acha kutu standisha kwamambo yakipuuziLimenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Unalaani Russia ukiwa Nyankumbu, MaraLimenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.