Sababu za vita hazijuii, Ila kaamua kusimamia na Ukraine, USA na NATO walivamia Libya wa Africa wote kimya, Russia anafanya yake, mtu yupo kibondo huko nasimama na Ukraine 😂😂😂😂
Wewe uko kwenu buchosa au kibondo huko unasimama na ukraine kwani wanakujua wewe kula ugali wako ulale