Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Wapuuzi hawa wanajua kabisa vikwazo vinaathiri dunia nzima
Leo London mafuta ya gari yameishapanda na bahati jana nilijaza ila yataisha na hayo yanasubiri

Msifurahie sana Sanctions maana hata nyie nyumbani yanakuja lazima msifikiri mko mbali au mmejifungia na maisha yenu

Wote tutaimba wimbo mmoja tu awe mweupe, mweusi na hata njano
Suala la gesi,limekaaje kwa huko Ulaya,tofauti na Russia je kuna suppliers wengine wakubwa..?
 
Nakusistiza acha Mrusi afanye alichoamua anajua mwenyewe anachokikusudia kila mtu hapo anawashirika wake na ubaya was mataifa ya mbali unaweza jua puttin Yuko peke yake au wenzake ni wadhaifu kumbe Yuko mamba mmoja kageuka kenge.
Hivi kweli nao NATO, wawe na akili kama za putin, waamue liwalo na liwe, nini kitatokea duniani?hakuna anayedhania kuwa Russia yuko pekee yake, kwani washirika wake wanajulikana duniani, lakini hawana nguvu kama waliyonayo NATO, kina Iran, pakistan, N.korea, na China.
Na ndio maana hata Warusi wengi hawataki vita kwani vikwazo walivyowekewa 2014, bado vinawasumbua wananchi wa kawaida, tena vije vingine!!!
 
Suala la gesi,limekaaje kwa huko Ulaya,tofauti na Russia je kuna suppliers wengine wakubwa..?

Kuna nchi kama Norway,Netherlands na Belgium wana gas nyingi sana na wanatuuzia mpaka UK
Ila Russia anatuuzia asilimia zisizozidi 10

Ila tutapata shida kwa kila kitu kupanda kwa sababu za usafiri

Tuko 21st century vita kwa sasa dunia haiiwezi tena
 
Putin who don’t care about sanctions just got pissed and reacted to sanctions

Mwamba huyo
Ingawa Bojo ni Waziri wangu mkuu ila niko upande wa mbabe
6a257432-747c-4adb-9069-936beeaa2942.jpg
 
According to reports in response to yesterdays sanctions in the UK, Russia has reportedly closed its airspace to all UK affiliated aircraft.
 
Hivi kweli nao NATO, wawe na akili kama za putin, waamue liwalo na liwe, nini kitatokea duniani?hakuna anayedhania kuwa Russia yuko pekee yake, kwani washirika wake wanajulikana duniani, lakini hawana nguvu kama waliyonayo NATO, kina Iran, pakistan, N.korea, na China.
Na ndio maana hata Warusi wengi hawataki vita kwani vikwazo walivyowekewa 2014, bado vinawasumbua wananchi wa kawaida, tena vije vingine!!!

Iwapo kama NATO na USA wataamua kupigana na Russia akagusa button za nuclear [emoji3518]
Kwa siku tutakufa 24 millions hayo yamesemwa na wachambuzi wa vita

Sasa imagine kila nchi ikarusha nuclear zake nani atapona?

Target [emoji457] zikiwa kwenye sehemu walizoweka mabomu basi kila mahali yapo mengine yatapigwa kabla hayajarushwa na watu wao wote hapo watakufa mpaka paka na miti

Vita hii haitakuwepo hata kama Putin atavamia nchi moja ya NATO
Bado watajihami tu ila sio full force ya vita
 
Akitoka huko kwenye kuvamia alafu raia wake wakasota kulingana na vikwazo utashuhudia maandamano makali,
Wenzetu wanajua retaliation ya sanctions maana wamewekeza zaidi kwenye elimu na utaalam kuliko tumbo.

Kwani vikwazo vimeanza Leo kwa urusi?
Iran....
North Korea?
Tatizo sisi ngozi nyeusi ndio tunayumbishwa na vikwazo maana serikali zetu zimezoea kupakatwa.
 
Kama walimuwekea vikwazo Magufuli na Makonda alafu Tanzania ikaingia uchumi wa kati watamuweza Putin?
Kutu wewe lini muliekewa vikwazo? makonda yeye kama yeye tu ndio alipigwa marufuku kukanyaga marekani, vikwazo ndio hivi alivyoekewa russia sasa tone atatokea wapi
 
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
Yukreni kabaki mkiwa[emoji26]
 
Mkuu unaijua kweli historia ya Tanzania mpaka unasema hatujawahi kuwekewa vikwazo.
Unafikiri kufeli kwa ujamaa ulitokea kwa sababu ya mismanagement ya Watanganyika tu.
Walitupiga vikwazo vya kufa muda wa miaka kumi mpaka National team ya mpira ikawa inacheza kidali wazi
Tulikuwa dhoofu ilhal kiasi hicho hadi national team ikawa inacheza kidari wazi??..[emoji23][emoji23]
 
Vikwazo wakati wenzao wanachezea mboko ni upuuzi.

Waingie msituni tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sio kwa Yale madubwana missiles sijui aisee ni hatari sikia tu kwa jirani
 
Back
Top Bottom