Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

[emoji632][emoji298]️No one in Europe and the US wants to go to war with Russia - French Defense Minister
 
Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi.

Nikianza na marekani:
Whitehouse
PRESIDENT BIDEN

IMPOSES SEVERE COSTS ON RUSSIA FOR ITS INVASION OF UKRAINE
FEBRUARY 22, 2022

Full blocking sanctions on two large Russian financial institutions with close links to the Kremlin

Cutting Russia off from U.S. dollar financing

Full blocking sanctions on five Russian elites and their family members

Worked with Germany to ensure Nord Stream 2 will not move forwarforward.
View attachment 2129973

Wingereza nayo:
The UK Prime Minister has announced sanctions
On:

The following Russian banks: Rossiya, IS Bank, General Bank, Promsvyazbank and the Black Sea Bank.

Three very high net worth individuals: Gennady Timchenko, Boris Rotenberg and Igor Rotenberg.

Any assets they hold in the UK will be frozen, the individuals concerned will be banned from travelling to the UK, and we will prohibit all UK individuals and entities from having any dealings with them.

View attachment 2129975
89A42B68-6469-4005-8865-AC765E743667.jpeg
 
Wapuuzi hawa wanajua kabisa vikwazo vinaathiri dunia nzima
Leo London mafuta ya gari yameishapanda na bahati jana nilijaza ila yataisha na hayo yanasubiri

Msifurahie sana Sanctions maana hata nyie nyumbani yanakuja lazima msifikiri mko mbali au mmejifungia na maisha yenu

Wote tutaimba wimbo mmoja tu awe mweupe, mweusi na hata njano
Mkuu Hakuna mafuta ya gari je kama gari zao zinatumia mafuta ya kula weka details ni aina gani ya mafuta na je ni crude oil, gasoline, diesel
 
Watanzania hasa wa mids 90+ wanachangia kwa ushabiki wa Simba na Yanga. Hizi sanction zinazowekwa na USA na Ueropean sio nzuri hata kidogo na impact yake inaenda kuwaumiza warusi hasa wafanyabiashara. Benki kubwa mbili ama tatu zimepigwa ban kampuni kubwa ya mafuta ya Gazpro imepigwa ban huyu mmiliki wa Chelsea tayari wanamtengenezea zengwe apigwe chini na kufungiwa akaunti zake. China haiwezi kuwa msaada wa kuendesha uchumi wa Mrussian hii inaenda kuleta damage kubwa sana kwa Puttin na utawala wake. Haya makelele yanaenda kuungusha utawala wake. Hii vita kaikosea sana.
 
Limenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Hataki Ukraine awe member wa NATO halafu kachukizwa na kitendo cha NATO kupeleka majeshi yake mpakani mwa Russia na Ukraine. Mpuuzi sana ila ndio anaizanisha hivyo Russia kiuchumi. Kashapigwa ban za nguvu sana yeye acha aue watu kwa mabomu lakini USA na EU na Britain wanamuua kiuchumi.
 
Watanzania hasa wa mids 90+ wanachangia kwa ushabiki wa Simba na Yanga. Hizi sanction zinazowekwa na USA na Ueropean sio nzuri hata kidogo na impact yake inaenda kuwaumiza warusi hasa wafanyabiashara. Benki kubwa mbili ama tatu zimepigwa ban kampuni kubwa ya mafuta ya Gazpro imepigwa ban huyu mmiliki wa Chelsea tayari wanamtengenezea zengwe apigwe chini na kufungiwa akaunti zake. China haiwezi kuwa msaada wa kuendesha uchumi wa Mrussian hii inaenda kuleta damage kubwa sana kwa Puttin na utawala wake. Haya makelele yanaenda kuungusha utawala wake. Hii vita kaikosea sana.
Hii inaitwa ngoja tuone mpaka puttin kaaamua kwenda front Kuna kitu anajiamini kwanini kila siku marekani bwana ngoja atishiwe na yeye "unaambiwa ukikutana mbwa anakukimbiza inama jifanye unaokota mchanga umwagie uenda akaogopa akaondoka"
 
Hii inaitwa ngoja tuone mpaka puttin kaaamua kwenda front Kuna kitu anajiamini kwaninikila siku marekani bwana koja atishiwe na yeye "unaambiwa ukikutana mbwa anakukimbiza inama jifanye unaokota mchanga umwagie uenda akaogopa akaondoka"
Angalia bajeti ya jeshi la Marekani na Russia. Unapozungumzia USA achana nao kbs hao watu siku wakisema kiive wote hatutokuwa salama. Kwenye suala la kijeshi Russia anasubiri tena sana kwa USA. Uzuri wa Marekani ukimchokoza anakutimbia karibu na kwako ndio anakupa dozi kwa ukubwa wa ugonjwa wako.
 
Angalia bajeti ya jeshi la Marekani na Russia. Unapozungumzia USA achana nao kbs hao watu siku wakisema kiive wote hatutokuwa salama. Kwenye suala la kijeshi Russia anasubiri tena sana kwa USA. Uzuri wa Marekani ukimchokoza anakutimbia karibu na kwako ndio anakupa dozi kwa ukubwa wa ugonjwa wako.
Tunafahamu Sana Kama USA wapo sawasawa "Ila ukipewa koti livae vizuri hata Kama linakupwaya usiligeshe begani" hicho ndicho anachojaribu kukifanya puttin ifike mahala Kama nawe unanguvu ionyeshe usihofie kuwa Fulani ananguvu kunizidi.
 
Angalia bajeti ya jeshi la Marekani na Russia. Unapozungumzia USA achana nao kbs hao watu siku wakisema kiive wote hatutokuwa salama. Kwenye suala la kijeshi Russia anasubiri tena sana kwa USA. Uzuri wa Marekani ukimchokoza anakutimbia karibu na kwako ndio anakupa dozi kwa ukubwa wa ugonjwa wako.
marekani gani hiyo iliyochapwa na iran ama?
 
Tunafahamu Sana Kama USA wapo sawasawa "Ila ukipewa koti livae vizuri hata Kama linakupwaya usiligeshe begani" hicho ndicho anachojaribu kukifanya puttin ifike mahala Kama nawe unanguvu ionyeshe usihofie kuwa Fulani ananguvu kunizidi.
Kwa hiyo unataka kujionyesha una nguvu huku unaangamiza familia yako. Hii vita italeta upinzani mkali sana ndani ya Russia. Unajua hizo benki kubwa zilizofungiwa zinapata loss kiasi gani?
 
Tunafahamu Sana Kama USA wapo sawasawa "Ila ukipewa koti livae vizuri hata Kama linakupwaya usiligeshe begani" hicho ndicho anachojaribu kukifanya puttin ifike mahala Kama nawe unanguvu ionyeshe usihofie kuwa Fulani ananguvu kunizidi.
Unaionyesha kwa kuua ndugu zako. Nadhani tunahitaji tishio la viumbe kutoka sayari nyingine ili tukumbuke kuwa sisi ni wana wa dunia.
 
Everyone is afraid of giving us guarantees to join NATO, and the truth is, no one wants us in the alliance

Ukrainian President
 
Usisahau nusu ya Ulaya gas inatoka Russia ambayo ni cheap ndio sababu kwa nini ujerumani haiingii kwa nguvu.

Ukiiwekea vikwazo Russia ni kama umeiipiga vikwazo Ulaya
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png


Croatia na Hungary zimeshasema vita haiwahusu wataendelea kushirikiana na Urusi kama kawaida.

Ufaransa anakumbuka maumivu ya kugeukwa na Marekani kwenye mradi wao wa submarine na Marekani na Uingereza kuhusu Australia yupo neutral.
Hizo croatia, na hungary na nchi nyingi
Usisahau nusu ya Ulaya gas inatoka Russia ambayo ni cheap ndio sababu kwa nini ujerumani haiingii kwa nguvu.

Ukiiwekea vikwazo Russia ni kama umeiipiga vikwazo Ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Croatia na Hungary zimeshasema vita haiwahusu wataendelea kushirikiana na Urusi kama kawaida.

Ufaransa anakumbuka maumivu ya kugeukwa na Marekani kwenye mradi wao wa submarine na Marekani na Uingereza kuhusu Australia yupo neutral.
nchi nyingi za iliyokuwa yugoslavia, zina muunga mkono putin, kwani zinamtegemea sana, tofauti na nchi za baltics ambazo ziko NATO!! Ni sawa ujerumani anategemea gesi kutoka Urusi, lakini lazima ipitie ukraine!!na ndio maana ujenzi wa NORDIC STREAM 2, mradi wenye thamani ya $ 11billions, ujerumani wameusitisha!!
Kuhusu hilo la ufaransa na US, siasa hazinaga uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu,
Na hata putin anaposema ole wake atakayeingilia hii vita atakiona!!anajua kabisa kwa haraka haraka NATO, hawana uwezo huo kutokana na utaratibu wa nchi zao kuingia vitani, ni mrefu kidogo, tofauti na putin akitamka tu tayari linafanyika.
Na asilimia kubwa vikwazo vinawaumiza wananchi, na ndio maana warusi wengi hawapendi vita.
 
Back
Top Bottom