hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nimecheka Sana AiseeMm chadema lakini nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nimecheka Sana AiseeMm chadema lakini nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Imagine !? Kuna watu uwezo wao wa kufikiri ni size ya kimo Cha zakayo [emoji16][emoji16]Mimi nilifikiria US na NATO wangekuwa wangetia mguu Ukraine kuipiga Russia sasa wameishia kubweka eti wanaiwekea vikwazo vikali Russia??
Wewe unafikiri Russia ameamua kuipiga Ukraine bila kujua itawekewa vikwazo??
[emoji16]Wewe uko kwenu buchosa au kibondo huko unasimama na ukraine kwani wanakujua wewe kula ugali wako ulale
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwahiyo wanadhani putin wakati anapanga mipango ya kuivamia Ukraine alikua hajui kuna vikwazo? Walipoamkia leo mwenzao alilala jana.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna jamaa anajiita US baby sijamuona siku nyingi humu [emoji1787][emoji1787]
Absolutely true [emoji457]Wapuuzi hawa wanajua kabisa vikwazo vinaathiri dunia nzima
Leo London mafuta ya gari yameishapanda na bahati jana nilijaza ila yataisha na hayo yanasubiri
Msifurahie sana Sanctions maana hata nyie nyumbani yanakuja lazima msifikiri mko mbali au mmejifungia na maisha yenu
Wote tutaimba wimbo mmoja tu awe mweupe, mweusi na hata njano
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Oyaaa, wa Kibondo tuna akili nyingi, hatuwezi kuwa kama huyo tengua kauli yako kwanza in the name of Putin
Na propaganda zao za kijingaView attachment 2130191hii picha 2014
For surePutin is unstoppable
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Usisahau nusu ya Ulaya gas inatoka Russia ambayo ni cheap ndio sababu kwa nini ujerumani haiingii kwa nguvu.
Ukiiwekea vikwazo Russia ni kama umeiipiga vikwazo Ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Croatia na Hungary zimeshasema vita haiwahusu wataendelea kushirikiana na Urusi kama kawaida.
Ufaransa anakumbuka maumivu ya kugeukwa na Marekani kwenye mradi wao wa submarine na Marekani na Uingereza kuhusu Australia yupo neutral.
Urusi awe Zimbabwe, hivi wewe una akili timamu kweli !? [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Kwa shabiki anaona kushangilia uvamizi wa urusi ni sahihi. Maneno kama hayo ya kishabiki huwezi kumwambia Monalisa akakuelewa. Urusi unakwenda kuwa Zimbambwe mapema tu. Wanaoshanikia hawakumbiki Urusi ilivyogeuka Taifa Machinga Kwa kuuza silaha za magendo Kwa Waasi na kuwaibua matajiri wa silaha kina Roman Ibrahimovic. Atarudi katika Hali yake na akimtegemea China huku uchumi wake ukitegemea gesi na Mafuta ambayo bomba linapita Ujerimani na US ameshampiga mkwara Ujerimani asipitishe kitu imemkata.
Absolutely true [emoji457]
Urusi awe Zimbabwe, hivi wewe una akili timamu kweli !? [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Unasimama nae ukiwa pande gani, inabid uje Kiev hapa tupambaneLimenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.
Tungekuwa tunaongea na kufanya hivi hivi kwa Iraq,Afghanistan, Libya dunia ingekuwa sehemu salama kweli tatizo unafiki mwingi, tunachagua wa kumwekea vikwazo.Saudi kampiga Yemen hajawekea vikwazo, US ndio anadunda pamoja na kuua mamilioni ya watu hajawekewa vikwazo.Kwa shabiki anaona kushangilia uvamizi wa urusi ni sahihi. Maneno kama hayo ya kishabiki huwezi kumwambia Monalisa akakuelewa. Urusi unakwenda kuwa Zimbambwe mapema tu. Wanaoshanikia hawakumbiki Urusi ilivyogeuka Taifa Machinga Kwa kuuza silaha za magendo Kwa Waasi na kuwaibua matajiri wa silaha kina Roman Ibrahimovic. Atarudi katika Hali yake na akimtegemea China huku uchumi wake ukitegemea gesi na Mafuta ambayo bomba linapita Ujerimani na US ameshampiga mkwara Ujerimani asipitishe kitu imemkata.
Ukraine wapumbavu sana acha wapigwe kwa ujinga wao.Acha kutoa hoja kama umeishia la 7B marekani anaweza kukubali urus kuweka kambi Cuba au Mexico au el Salvador ni ujinga kuiona urusi iko Sawa na nchi yako kwamba mmefanana marekani ndyo huleta ili chokochoko miaka yote urusi hajawai ivamia icholi yoyote bila chokochoko za marekani kuanzia Georgia Hadi Leo Ukrein yote sababu yake