Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi

Tanzania haijawahi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi. Ni makonda alizuia kuingia marekani. Fikiria hatuna vikwazo lakini tozo kwenda mbele, siku marekani pekee akituwekea vikwazo wewe mwenyewe utaona mabadiriko.
Achana nae mgonjwa wa akili huyo
 
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
 
Chelsea FC yangu ndiyo ileeee....daaah!

Abrahamovich ndiyo kwishne tena kuidhamini Chelsea [emoji849][emoji2960]
Abrahamovich ana passport ya Israel. Kwa hiyo akiwa UK anahesabika ni Mu-Israel na siyo Mrusi. Chelsea ipo na Abrahamovich yupo yupo sana mitaa ya Myfair
 
Ukrainian official says Friday will be "the worst day" of Russian attack, expects airstrikes, landings, penetrations, and encircling - BNO
 
Ujerumani kuna kitu anakiogopa hatujui ni nini [emoji23][emoji23]

The German Chancellor said that cutting off #Russia from the #SWIFT global interbank payment system should not be part of the second #EU sanctions package against Russia.

#Ukraine
#NATO https://t.co/Z45YfPi9Ju
 
Kwa hiyo tuwaache akati mnaleta uduwanzi? Unadhanj Putin hana akili? Labda hufuatiliagi haya mambo ngoja mtu atiwe makofi ili awe na adabu
... atatiwa adabu yeye.
 
Wewe uko kwenu buchosa au kibondo huko unasimama na ukraine kwani wanakujua wewe kula ugali wako ulale
... no matter how weak you are; hata kama huna uwezo wa kufanya chochote, simama pamoja na haki. Putin ni dikteta.
 
Kwa hili Putin na Eukraine hawajatumia akili. Mnapigana kwa ajili ya NATO wakati nyie ni jirani na kihistoria mlikuwa nchi moja?

Sasa hapo raia wa russia watalia maumivu ya sanction, raia wa Ukraine watalia maumivu ya mabomu halafu raia wa USA na washirika wake watalia nn?

Puttin ana option mbili tu, kumwita mwenzake wayamalize au kumpiga asifiwe na china na wa russia wenzake wa huku JF huku raia wa USA na washirika wakiangalia mnavyotinduana na kuumiza uchumi wenu.
Unadhani wewe unaakili sana kuliko russia?
 
Urusi soon anakuwa Zimbabwe
Kwa shabiki anaona kushangilia uvamizi wa urusi ni sahihi. Maneno kama hayo ya kishabiki huwezi kumwambia Monalisa akakuelewa. Urusi unakwenda kuwa Zimbambwe mapema tu. Wanaoshanikia hawakumbiki Urusi ilivyogeuka Taifa Machinga Kwa kuuza silaha za magendo Kwa Waasi na kuwaibua matajiri wa silaha kina Roman Ibrahimovic. Atarudi katika Hali yake na akimtegemea China huku uchumi wake ukitegemea gesi na Mafuta ambayo bomba linapita Ujerimani na US ameshampiga mkwara Ujerimani asipitishe kitu imemkata.
 
Kwa hili Putin na Eukraine hawajatumia akili. Mnapigana kwa ajili ya NATO wakati nyie ni jirani na kihistoria mlikuwa nchi moja?

Sasa hapo raia wa russia watalia maumivu ya sanction, raia wa Ukraine watalia maumivu ya mabomu halafu raia wa USA na washirika wake watalia nn?

Puttin ana option mbili tu, kumwita mwenzake wayamalize au kumpiga asifiwe na china na wa russia wenzake wa huku JF huku raia wa USA na washirika wakiangalia mnavyotinduana na kuumiza uchumi wenu.
Bado nchi za Ulaya magharibi zitaathirika kiuchumi sababu Ukraine analisha dunia karibu 28% ya ngano anayouza nnje ya nchi, pia Ulaya magharibi hutumia gesi zaidi ya 43% kwa Russia.

Hili janga haliwezi kutuacha salama Africa na nchi zingine duniani kiujumla tokana na hizo nchi magharibi kuathirika kiuchumi sababu ya hizo sanctions.
 
Yule user mwenye ID ya USSR sijamwona humu tangu mabomu yaanze. Ama ako vitani?
 
Limenikera sana hilo jamaa na vita isiyo na kichwa wala miguu. Sababu hasa za kuivamia Ukraine ni zipi? We stand with Ukraine.

Sababu ni Ukraine kutaka kujiunga na nato na hivyo kwa kuwa ni nchi jirani na Russia inaatalisha usalama wake kwa kuruhusu maadui wake kuweka kambi karibu
Huu ndio msingi wa mzozo
Nasikia hata Tanganyika kuungana na Zanzibar na kuendelea kushikilia ni jambo hilo hilo la usalama
 
Sababu ni Ukraine kutaka kujiunga na nato na hivyo kwa kuwa ni nchi jirani na Russia inaatalisha usalama wake kwa kuruhusu maadui wake kuweka kambi karibu
Huu ndio msingi wa mzozo
Nasikia hata Tanganyika kuungana na Zanzibar na kuendelea kushikilia ni jambo hilo hilo la usalama
... as a sovereign nation, Ukraine ana haki hiyo. Sababu ya kitoto sana ku-justify vita.
 
... as a sovereign nation, Ukraine ana haki hiyo. Sababu ya kitoto sana ku-justify vita.
Acha kutoa hoja kama umeishia la 7B marekani anaweza kukubali urus kuweka kambi Cuba au Mexico au el Salvador ni ujinga kuiona urusi iko Sawa na nchi yako kwamba mmefanana marekani ndyo huleta ili chokochoko miaka yote urusi hajawai ivamia icholi yoyote bila chokochoko za marekani kuanzia Georgia Hadi Leo Ukrein yote sababu yake
 
Bado nchi za Ulaya magharibi zitaathirika kiuchumi sababu Ukraine analisha dunia karibu 28% ya ngano anayouza nnje ya nchi, pia Ulaya magharibi hutumia gesi zaidi ya 43% kwa Russia.

Hili janga haliwezi kutuacha salama Africa na nchi zingine duniani kiujumla tokana na hizo nchi magharibi kuathirika kiuchumi sababu ya hizo sanctions.
Hakunaga mshindi kwenye vita interlacustrine R
 
Back
Top Bottom