Anasema Italy yupo na kapewa majukumu akati waliokuwepo ni. USA na UK tena wanaitumia bandari ya Djibout.Hahaha jamaa ana kamba huyo😂
Namwambia coalition imefeli UN wameamua kukaa kikao tena kilichoitishwa na USA anakimbilia kusema coalition haijaundwa na UN.
We huyo mtu unamuelewa!?