Marekani na Uingereza wafanya mashambulizi dhidi ya Kikundi cha Houthi nchini Yemen

Marekani na Uingereza wafanya mashambulizi dhidi ya Kikundi cha Houthi nchini Yemen

Baab al mandib inapitisha 12% ya mizigo ya meli kidunia.
hiyo ni asilimia ndogo sana kuathiri uchumi wa dunia.
Inayoathirika ni Israel na Western nations labda pamoja na Misri.
Hivi unajua kwa kasi inayoenda nayo Yemen baada ya miaka miwili itaizidi Tanzania kiuchumi?
Wewe acha uongo bwana, Yemen ina kasi gani ya maendeleo na wana nini cha kusababisha hiyo kasi. Kweli dini ni mbaya kushinda bangi.
 
Yes should the end of the movie
nothing can be achieve by air campaign and they know that
And they know yemen is not a cake walk
have a nice day
god bless Mandela in heaven
Ungeandika kiswahili tu, ona ulivyojiaibisha! English is not for everyone.
 
Weka swali lako vizuri
Meli za kutoka United kingdom au United state kwenda Israel zinaweza pitia hapo Spain kuingia mediteranian sea karibu na kisiwa cha palma, sasa kwann zinazunguka kuja india ocean kuingilia Redsea ndo kufika israel?
 
Muda huu maslahi Yao yameguswa moja kwa moja bila meli kupita hapo uchumi wa hizo nchi utayumba hivyo yyte atakayetatiza shughuli zao maeneo hayo ataguswa pabaya.
Mwanzo hayakuguswa na muda huu yameguswaje?

Meli za kwenda na kutoka israhell hazitaenda yaani tupo hapa hapa

Ingawaje Americant amefanya tena shambulio yemen muda huu
 
Meli za kutoka United kingdom au United state kwenda Israel zinaweza pitia hapo Spain kuingia mediteranian sea karibu na kisiwa cha palma, sasa kwann zinazunguka kuja india ocean kuingilia Redsea ndo kufika israel?
Meli za biashara zinapita bandari tofauti tofauti kupakia na kupakua mizigo zipo meli za zinafanya safari hizo lakini wateja wengi wapo njia ya red sea.
 
Hawa wana akili sababu Yemen alikuwa anawachia kila nchi ipite isipokuwa zinazo enda Israel, sa ajabu America anajidai imewadhuri wengi hamna lolote kaona Israel kabanika vibaya ndio kaja na gear hio sa kaukalia yeye na nchi zote zilizo shiriki hilo shambulizi.

Baharain ana lalamika hana hata habari vipi jina lake limewekwa.

Saud Arabia analilia lia sababu inasemekana hizo ndege zingine zimetokea kwake na cruse missiles zimepita kwenye anga lake.


Yemen anasema vita si kurusha rusha maboom ndio unashinda vita lazima ushuke chini sa hao Red Sea wamekimbia watashinda vipi hi vita 😄
 
Wayemeni wahuni sana wanawayumi Drone za dollar 500 za kutumia mafuta ya taa ili zipigwe na missile za Kimarekani za Dollar million mpoja.

Hiyo imewatia sana hasira Wamerekani na Waingereza.

Maana kila wakiitunguwa moja wanaona nyingine inakuja, kumbe chambo kile makussudi kiwatie hasarara tu.

Hasira zao wakaenda kuwapiga Yemen.

Hii vita Wamarekani, Mazayuni na NATO wote wanachezewa kama watoto wadogo.
Drone za mafuta ya taa😂😂😂 hii ni zaidi ya unga
 
Back
Top Bottom