Izy_Name
JF-Expert Member
- Apr 9, 2020
- 772
- 1,733
siku hizi tunasamehewa bila kuomba msamaha, mbona maisha yamekuwa rahisi kiasi hikiUmesamehewa bure kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku hizi tunasamehewa bila kuomba msamaha, mbona maisha yamekuwa rahisi kiasi hikiUmesamehewa bure kabisa.
Wala usiwe na presha maana Rais wetu Mpendwa anakwenda kuzungumza mambo mbalimbali yanayogusa kila eneo.ndio maana ya kualikwa mtu aina yake mwenye akili kubwa na maono makubwa.Amealikwa kuongelea nishati ya kupikia tu ma sivinginevyo😀
Umesamehewa maana nimeona akili kichwani ni 0siku hizi tunasamehewa bila kuomba msamaha, mbona maisha yamekuwa rahisi kiasi hiki
Hapo kwenye Kula eneo sawaWala usiwe na presha maana Rais wetu Mpendwa anakwenda kuzungumza mambo mbalimbali yanayogusa kula eneo.ndio maana ya kualikwa mtu aina yake mwenye akili kubwa na maono makubwa.
Ongeza na mengine naona unatamani hata angekuwa na mavyeo 77...Chawa mna mambo!!Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Ndugu zangu Watanzania,
Taarifa zinazoendelea kusambaa Duniani kwote ni Kuwa Rais Samia Ambaye Ndiye Rais mwanamke Pekee Barani Afrika na ambaye ndiye Nembo ya Afrika. na Kiongozi Mwenye ushawishi Zaidi barani Afrika na miongoni mwa Wanawake mia moja wenye Ushawishi zaidi Duniani .anatarajiwa Usiku wa Leo kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake .
Ambapo taarifa zinaonyesha ya kuwa anasubiriwa kwa hamu kubwa sana kuzungumza ,akiwa ni mgeni mwalikwa kama mtu na kiongozi mashuhuri na Mwenye ushawishi kutoka Afrika. na ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kumuokoa mwanamke kiafya na kumuepusha na athari za kiafya.
Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20
zinazotokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kupikia ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni kwote huku wahanga wakubwa wakiwa ni akina mama au wanawake na watoto wa kike.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utakufa na wivu wako .Mama anakubalika sana na ndio maana ya kupata mualiko huo mzito katika mkutano mzito wenye kujadili maswala mazito wenye kutoa maamuzi na maazimio mazito.Habari zimesambaa kwamba hata serikali za mitaa uchanguzi umemshinda. Yaani anaonekana hawezi lolote huko. Vyotmbo vya usalama wao vimeshawaambia hao wakubwa
Wivu utakuuwa wewe mwaka huu.Ila UDSM mvueni degree huyu bwege Lucas Mwashambwa anaitia aibu chuo na taifa yaani udsm ilitengeneza think tanks sasa inazalisha sintanks
Point of correction : On behalf of tanzania si east africa wala africa.Powerful woman head of the state speaking before powerful heads of States and Governments, on behalf of Tanzanians, East Africans and good people of Africa Continent.
God bless you madam President Dr.Samia Suluhu Hassan 🌹
"kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake" .Ndugu zangu Watanzania,
Taarifa zinazoendelea kusambaa Duniani kwote ni Kuwa Rais Samia Ambaye Ndiye Rais mwanamke Pekee Barani Afrika na ambaye ndiye Nembo ya Afrika. na Kiongozi Mwenye ushawishi Zaidi barani Afrika na miongoni mwa Wanawake mia moja wenye Ushawishi zaidi Duniani .anatarajiwa Usiku wa Leo kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake .
Ambapo taarifa zinaonyesha ya kuwa anasubiriwa kwa hamu kubwa sana kuzungumza ,akiwa ni mgeni mwalikwa kama mtu na kiongozi mashuhuri na Mwenye ushawishi kutoka Afrika. na ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kumuokoa mwanamke kiafya na kumuepusha na athari za kiafya.
Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20
zinazotokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kupikia ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni kwote huku wahanga wakubwa wakiwa ni akina mama au wanawake na watoto wa kike.
Tuseme tu ukweli Kuwa Rais Samia anakubalika na kupendwa sana na watu na viongozi mbalimbali Duniani kwote .ndio sababu ya kuona akialikwa kwenye mkutano huu mzito wenye kushirikisha wajumbe wazito wenye kujadili maswala mazito na wenye kutoa maazimio na maamuzi mazito. Hamujiulizi kwanini aalikwe yeye tu? Kwanini kati ya makumi ya viongozi wameachwa lakini Mama huyu kapata fursa hiyo adimu na ya heshima ya juu? Wenye wivu na chuki binafsi kwa Rais Samia najua mtakuwa mnaumia sana huko mliko.
Usishindane na aliyepewa kibali na kuinuliwa na Mungu mwenyewe.usipigane na anayepiganiwa na kutetewa na Mungu.Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe na hawezi kushushwa na mkono wa Mwanadamu Mwenye chuki binafsi na dua za kuku.Mama ni chaguo la Mungu Mwenyewe.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhul wa pili.
Tena hotuba atasoma yaliyoandikwa. No imprpmtu speech hapo"kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake" .
Hii uliipata wapi? Weka hapa hotuba yake tuone atachosema ni nini kipya? Si kuomba mikopo tu na uwekezaji?
Wakati wa Berlin conference,Kuna mataifa ya Ulaya walialikwa kama watazamaji observer.Mojawapo Switzerland.Ndugu zangu Watanzania,
Taarifa zinazoendelea kusambaa Duniani kwote ni Kuwa Rais Samia Ambaye Ndiye Rais mwanamke Pekee Barani Afrika na ambaye ndiye Nembo ya Afrika. na Kiongozi Mwenye ushawishi Zaidi barani Afrika na miongoni mwa Wanawake mia moja wenye Ushawishi zaidi Duniani .anatarajiwa Usiku wa Leo kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake .
Ambapo taarifa zinaonyesha ya kuwa anasubiriwa kwa hamu kubwa sana kuzungumza ,akiwa ni mgeni mwalikwa kama mtu na kiongozi mashuhuri na Mwenye ushawishi kutoka Afrika. na ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kumuokoa mwanamke kiafya na kumuepusha na athari za kiafya.
Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20
zinazotokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kupikia ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni kwote huku wahanga wakubwa wakiwa ni akina mama au wanawake na watoto wa kike.
Tuseme tu ukweli Kuwa Rais Samia anakubalika na kupendwa sana na watu na viongozi mbalimbali Duniani kwote .ndio sababu ya kuona akialikwa kwenye mkutano huu mzito wenye kushirikisha wajumbe wazito wenye kujadili maswala mazito na wenye kutoa maazimio na maamuzi mazito. Hamujiulizi kwanini aalikwe yeye tu? Kwanini kati ya makumi ya viongozi wameachwa lakini Mama huyu kapata fursa hiyo adimu na ya heshima ya juu? Wenye wivu na chuki binafsi kwa Rais Samia najua mtakuwa mnaumia sana huko mliko.
Usishindane na aliyepewa kibali na kuinuliwa na Mungu mwenyewe.usipigane na anayepiganiwa na kutetewa na Mungu.Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe na hawezi kushushwa na mkono wa Mwanadamu Mwenye chuki binafsi na dua za kuku.Mama ni chaguo la Mungu Mwenyewe.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Speed kama hiyo ni kwa wale ambao upstairs wako vizuri,hata mama kama content ingekuwa mipashoo ohooooTena hotuba atasoma yaliyoandikwa. No imprpmtu speech hapo