Marekani na Ulaya kumsikiliza Rais Samia akizungumza kwenye Mkutano wa G20 usiku huu

Marekani na Ulaya kumsikiliza Rais Samia akizungumza kwenye Mkutano wa G20 usiku huu

Ndugu zangu Watanzania,

Taarifa zinazoendelea kusambaa Duniani kwote ni Kuwa Rais Samia Ambaye Ndiye Rais mwanamke Pekee Barani Afrika na ambaye ndiye Nembo ya Afrika. na Kiongozi Mwenye ushawishi Zaidi barani Afrika na miongoni mwa Wanawake mia moja wenye Ushawishi zaidi Duniani .anatarajiwa Usiku wa Leo kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake .

Ambapo taarifa zinaonyesha ya kuwa anasubiriwa kwa hamu kubwa sana kuzungumza ,akiwa ni mgeni mwalikwa kama mtu na kiongozi mashuhuri na Mwenye ushawishi kutoka Afrika. na ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kumuokoa mwanamke kiafya na kumuepusha na athari za kiafya.

Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

zinazotokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kupikia ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni kwote huku wahanga wakubwa wakiwa ni akina mama au wanawake na watoto wa kike.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Habari zimesambaa kwamba hata serikali za mitaa uchanguzi umemshinda. Yaani anaonekana hawezi lolote huko. Vyombo vya usalama wao vimeshawaambia hao wakubwa
 
Habari zimesambaa kwamba hata serikali za mitaa uchanguzi umemshinda. Yaani anaonekana hawezi lolote huko. Vyotmbo vya usalama wao vimeshawaambia hao wakubwa
Utakufa na wivu wako .Mama anakubalika sana na ndio maana ya kupata mualiko huo mzito katika mkutano mzito wenye kujadili maswala mazito wenye kutoa maamuzi na maazimio mazito.
 
Nashauri tu ajielekeze ktk
  • Nishati jadilifu na mbadala
  • Vita ya mashariki ya kati
Vita ya Asia
* Uzalishaji chakula duniani
 
Mama ni msikilizaji tu aliyealikwa; hawezi kuhutubia kwa vile Tanzania siyo mwancahama wa G20. Anapata advantage ya kukutana na viongozi wa G20 na wasilizaji wengine walioalikwa pembeni mwa kikao.
 
Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa kweli.Daktari samia anachapa kazi kisawasawa..nasikia nae ameiga mfano wa mtangulizi wake wa kulala na mafaili kitandani
 
Powerful woman head of the state speaking before powerful heads of States and Governments, on behalf of Tanzanians, East Africans and good people of Africa Continent.

God bless you madam President Dr.Samia Suluhu Hassan 🌹
Point of correction : On behalf of tanzania si east africa wala africa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Taarifa zinazoendelea kusambaa Duniani kwote ni Kuwa Rais Samia Ambaye Ndiye Rais mwanamke Pekee Barani Afrika na ambaye ndiye Nembo ya Afrika. na Kiongozi Mwenye ushawishi Zaidi barani Afrika na miongoni mwa Wanawake mia moja wenye Ushawishi zaidi Duniani .anatarajiwa Usiku wa Leo kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake .

Ambapo taarifa zinaonyesha ya kuwa anasubiriwa kwa hamu kubwa sana kuzungumza ,akiwa ni mgeni mwalikwa kama mtu na kiongozi mashuhuri na Mwenye ushawishi kutoka Afrika. na ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kumuokoa mwanamke kiafya na kumuepusha na athari za kiafya.

Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

zinazotokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kupikia ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni kwote huku wahanga wakubwa wakiwa ni akina mama au wanawake na watoto wa kike.

Tuseme tu ukweli Kuwa Rais Samia anakubalika na kupendwa sana na watu na viongozi mbalimbali Duniani kwote .ndio sababu ya kuona akialikwa kwenye mkutano huu mzito wenye kushirikisha wajumbe wazito wenye kujadili maswala mazito na wenye kutoa maazimio na maamuzi mazito. Hamujiulizi kwanini aalikwe yeye tu? Kwanini kati ya makumi ya viongozi wameachwa lakini Mama huyu kapata fursa hiyo adimu na ya heshima ya juu? Wenye wivu na chuki binafsi kwa Rais Samia najua mtakuwa mnaumia sana huko mliko.

Usishindane na aliyepewa kibali na kuinuliwa na Mungu mwenyewe.usipigane na anayepiganiwa na kutetewa na Mungu.Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe na hawezi kushushwa na mkono wa Mwanadamu Mwenye chuki binafsi na dua za kuku.Mama ni chaguo la Mungu Mwenyewe.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhul wa pili.
"kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake" .
Hii uliipata wapi? Weka hapa hotuba yake tuone atachosema ni nini kipya? Si kuomba mikopo tu na uwekezaji?
 
20241013_092550.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Taarifa zinazoendelea kusambaa Duniani kwote ni Kuwa Rais Samia Ambaye Ndiye Rais mwanamke Pekee Barani Afrika na ambaye ndiye Nembo ya Afrika. na Kiongozi Mwenye ushawishi Zaidi barani Afrika na miongoni mwa Wanawake mia moja wenye Ushawishi zaidi Duniani .anatarajiwa Usiku wa Leo kuwaweka macho mamilioni ya watu Ulimwenguni kwote kwa ajili ya kufuatilia hotuba yake .

Ambapo taarifa zinaonyesha ya kuwa anasubiriwa kwa hamu kubwa sana kuzungumza ,akiwa ni mgeni mwalikwa kama mtu na kiongozi mashuhuri na Mwenye ushawishi kutoka Afrika. na ambaye amekuwa mstari wa mbele kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kumuokoa mwanamke kiafya na kumuepusha na athari za kiafya.

Soma Pia: Rais Samia aweka historia kwa Tanzania kualikwa kwa mara ya kwanza kuhudhuria Mkutano wa G20

zinazotokana na matumizi ya nishati ya kuni na mkaa kupikia ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu ulimwenguni kwote huku wahanga wakubwa wakiwa ni akina mama au wanawake na watoto wa kike.

Tuseme tu ukweli Kuwa Rais Samia anakubalika na kupendwa sana na watu na viongozi mbalimbali Duniani kwote .ndio sababu ya kuona akialikwa kwenye mkutano huu mzito wenye kushirikisha wajumbe wazito wenye kujadili maswala mazito na wenye kutoa maazimio na maamuzi mazito. Hamujiulizi kwanini aalikwe yeye tu? Kwanini kati ya makumi ya viongozi wameachwa lakini Mama huyu kapata fursa hiyo adimu na ya heshima ya juu? Wenye wivu na chuki binafsi kwa Rais Samia najua mtakuwa mnaumia sana huko mliko.

Usishindane na aliyepewa kibali na kuinuliwa na Mungu mwenyewe.usipigane na anayepiganiwa na kutetewa na Mungu.Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe na hawezi kushushwa na mkono wa Mwanadamu Mwenye chuki binafsi na dua za kuku.Mama ni chaguo la Mungu Mwenyewe.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wakati wa Berlin conference,Kuna mataifa ya Ulaya walialikwa kama watazamaji observer.Mojawapo Switzerland.

Hawakushiriki kwenye mamuzi ya kugawa bara la Africa, Hawakupewa koloni.

Ndiyo sawa na Samia ,sio sehemu ya maamuzi ya G 20 anapewa/Tanzania inapewa nafasi ya kuongea ,lakini haiamui chochote.

Tuache KUJIFARIJI kwa cheap politics.
 
Back
Top Bottom