Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Tuliwaambia Russia hajaamua hii operation kumaliza mapema ana target zake watu wanatuimbia wimbo wa HIMARS [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi bado utawaelewa.Hawa jamaa hata hawaeleweki wanachopigania
Mkiambiwa Putin Ni genius ,alishaplan hii move long time,alishajua yafuatayo kabla sisi wachambuzi wabongo hatujajua Vita utakuwepo
1.Aliplan hii Vita muda mrefu
2.Aliplan maeneo gani muhimu atayachukua na maeneo gani atawaachia ili mteseke nayo
3.mtakuja na vikwazo vitavyowaumiza nyinyi na dunia
4.alishajiandaa kwa pesa,mafuta,gesi,chakula,silaha,watu kwa muda mrefu
5.Alishajiandaa kwa gharama za Vita ili asifiliisike ie ameshachukua maeneo ya Ukraine yenye viwanda vikubwa, bandari,powerplants,nuclear plants,migodi kikubwa,food reserves etc
Kwa mbumbumbu wasiojua sasaivi sio gharama ya Vita tu anayogharamia Ukraine mwenyewe Bali mapato muhimu na resources anachukua Russia, pia silaha za misaada kwa Ukraine kutoka kwa mashoga ndio hizo hizo anazotumia kwa kuziteka na pia anatumia silaha za zamani USSR age kuclear mahhala ya silaha huku akijiandaa kwa Vita kubwa na ndefu na NATO na USA
6.Maeneo anayochukua Ni yake maeneo pia yaliyo karibu na Nate kiboundary,hivyo basi Kuna uwezekano mkubwa Eneo kubwa la Ukraine kuwa buffer. Zone ya Russia kwa kuwekewa silaha kubwa na nuclear na Ukraine kubaki na kupanda tu,
7.Muda huu wa Vita Russia anasambaza technology hatari Kama za ICBMs,S-400,500,550generation , nuclear ,hypersonic a etc kwani USA na NATO wameshavunja agreement ya usambazaji silaha,
8.Akimaliza hii show hakuna kima yoyote anayepakana nae atakayethubutu kudanganyika na mashoga Tena
Adios
hahahaha waukreni mpitie hapa wapate njia nyingne mkuu vipi uende ukraine ukauze sola nitakuwa bega kwa bega hahahahaUrusi wamechukua limtambo la kizamaaani eti ndo wanajivuna nalo hapa. Hawajui aboder na sunder ndo habari ya dunia iliyostaarabika. Nimesikia mumalekani wa bujashi akisema
Ni ya kuchinjwa na nyama yake kuigawa tu 🤣🤣Ona hii ng’ombe
Zelensky alishasema Mara nyingi tu kwamba, hii Vita wanatakiwa wapigane na waishinde kabla ya kipindi cha baridi. Hii ameirudia Sana.
Nadhani anaelewa vizuri kuhusu Nini Russia watakachomfanywa wakati wa baridi.
"Buroo" hebu waite wapo kwa mparange 😅😅😅😅kwani team rainbow wa huku buza madongo kuinama wanasamaje?.
Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo
Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Wakavikomboe na Himars kama wanaweza 🤣🤣🤣Hicho ndio kinu kikubwa Ulaya nzima na kingine cha pili kwa ukubwa Ukraine pia anakikalia kwaio kaa kwa kutulia
Jimbo lishachukuliwa kama cremeaMrusi bwege anabomoa halafu anapanga huo uchizi
Halafu anamjengea nano wakati wakazi wake asilimia kubwa wamekimbia nchi
Wakirudisha kakijiji njoo uniite Manunu nimekaa palee🤣🤣🤣🤣Wakavikomboe na Himars kama wanaweza 🤣🤣🤣
Urusi wamechukua limtambo la kizamaaani eti ndo wanajivuna nalo hapa. Hawajui aboder na sunder ndo habari ya dunia iliyostaarabika. Nimesikia mumalekani wa bujashi akisema
😃😃😃 labda kijiji cha konyoooWakirudisha kakijiji njoo uniite Manunu🤣🤣🤣🤣
mkuu una neno gani la kuwaambia wanayukreni usiwe mchoyo tafadhali
Mkuu ukisema Putin ndio tatizo utakuwa unakosea kidogo. Pale Russia kuna mijamaa mibabe yenye misimamo ya ajabu. Yaani huyo Putin ni kama anaelekezwa cha kufanya na hao inner circle wa Russia. Wakati Putin alipotaka kuwafanya mateka wa vita (prisoners of war) wale wanajeshi waliokamatwa kule Mariupol, hao wababe walimwambia hakuna inabidi hao mateka washitakiwe kama magaidi na kesi zao zirushwe live na wakipatikana na hatia wanyongwe live. Mojawapo ya hao wababe ni Spika wa Bunge la Urusi.Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo
Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Ngoja nisubirieKazi bado utawaelewa.
Silaha zinazopampiwa na mabeberu huko Ukraine ndio sababu ya mauaji yanayoendelea,la sivyo Sasa tungekuwa na amani huko kulipo na vita Leo🤔.Wanajeshi wanaokufa na kujeruiwa unawachukuliaje wewe mtoto wa binadamu
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Watajua Hawajui🤸Walimkadiria vibaya kumbe Put-in alishapiga hesabu kita_mbooo saaana
Watarudi,huyo chizi wao anawatisha na kuwahujumu akidhani anamkomoa mrusi,hivi Sasa ameanza kufanya vitendo ya kigaidi maeneo anayoshikilia mrusi na ndani ya Urusi🤔Mrusi bwege anabomoa halafu anapanga huo uchizi
Halafu anamjengea nano wakati wakazi wake asilimia kubwa wamekimbia nchi