Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

Putin atawagandisha kama lambalamba🤣🤣🤣🤣
Nilitarajia wale wa ukraine wa buza wasema marekani itafilisika Kwa misaada ya silaha inayoipeleka Ukraine lakini wanang'ang'ania Urusi ndio itafilisika wakati,imeshajipatia Ardhi yenye rutuba ya kutosha,viwanda ,madini yachuma,makaa ya mawe na rasilimali nyingine kibao na Bado wanasonga mbele,SII ajabu hata Ile ngano na mazao mengine Mrusi anachukuwa 60 % na Bado anawalipisha kutumia bandari zao wenyewešŸƒ
 
Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo

Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi
Yaani strategists wa Kremlin wasione hayo makosa uliyo yaona wewe mtoto wa mzee jongo?
 
Himaaaaaaars🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna Cha Himars beberu mkuu anapiga biashara na Ulaya wamelala,mwisho wa siku ulaya watakuwa wanamlipa beberu mkuu Amerika mikopo aliyoitoa Kwa Ukraine.wakizinduka viuchumi vyao hoi,huku wana kubali kuendelea kuburuzwa na America Kwa kisingizio umoja wao.šŸ¤”
 
Mabeberu wakubali hawawezi Urusi, wanawatesa raia wao Bure, msimu wa baridi hawataamini macho yao,akili kubwa itawanyanyasa mbaya, Kwa kuwa saidia kidogo TU,Mzee Baba atakuwa anawaminya pumzi ana waachia,anawaminya anawaachia Hadi pale ubongo wao kama wa kenge ukielekea kukataa moto ndio watakubali mrusi hajatetereka na uwanja wa vita anaendelea kupata mafanikio na kiuchumi hajaumia ,na wanaoteswa niraia wa ulaya wasiona hatia Kwa Hali ngumu kiuchumi na baridi linalo sogea sogeašŸ¤”
Waafrika wakipigana huwa tunaambiwa ni wanyama watu wa giza na wajinga. Ukisema wanachonganishwa kwa sababu ya kuminywa utabishiwa japo sipingi upumbavu wao. Ila hapa Ukraine tunaoneshwa kwa vitendo kwanini afrika hutesekA na ni nani visababishi na sababu za kisayansi zisizo shaka. Mauzo ya silaha. NA AGENT MKUU HAJIFICHI TUFUMBUE MACHO JAMANI ILA WENYE AKILI WAMEJIFUNZA.
 
Mrusi hii vita itaigharimu sana mbeleni
Kuvamia Ukraine walikosea Urusi itaendelea kuwa vitani kwa Miaka mingi ijayo

Wangekuwa na akili wangeondoka Ukraine
Urusi ilitakiwa impindue Putin na kumuua kabisa sababu yeye ndie Tatizo Urusi

Pitia vizuri ulicho andika halafu uje tena.
Mimi nilifikiri mafuta na gesi tu ndiyo wanaitegemea urusi. kumbe hata umeme. kweli watakiona cha mtema kuni. Si umeona wanaanza kuomba po. Hawajui kwamba when you fight you can't choose a stick.
 
Mabeberu wakubali hawawezi Urusi, wanawatesa raia wao Bure, msimu wa baridi hawataamini macho yao,akili kubwa itawanyanyasa mbaya, Kwa kuwa saidia kidogo TU,Mzee Baba atakuwa anawaminya pumzi ana waachia,anawaminya anawaachia Hadi pale ubongo wao kama wa kenge ukielekea kukataa moto ndio watakubali mrusi hajatetereka na uwanja wa vita anaendelea kupata mafanikio na kiuchumi hajaumia ,na wanaoteswa niraia wa ulaya wasiona hatia Kwa Hali ngumu kiuchumi na baridi linalo sogea sogea[emoji848]
Mmarekani ni wa ovyo Sana, badala asaidie kuleta mazungumzo ya maridhiano vita iishe yee anaendelea kuwauzia masilaha wa Ukraine tu ili vita isiishe na jamaa wafilisike na marehemu waongezeke
 
Urusi wamechukua limtambo la kizamaaani eti ndo wanajivuna nalo hapa. Hawajui aboder na sunder ndo habari ya dunia iliyostaarabika. Nimesikia mumalekani wa bujashi akisema
Wana maneno ya kashfa eti mtambo wa zamani - ukiwahoji hivi nuclear power reactors zinazo zalisha umeme barani Ulaya zilijengwa tokea miaka gani? - hawana habari!! Wanacho jali wao ni kumzodoa Putin kwa maneno ya shombo tu - hawana habari za maana wanazo changia hapa - yaani jukwaa zima la JF limegeuzwa kijiwe cha mipasho ya taarabu za Khadija Kopa - sio tena JF ya zamani ambayo members walikuwa wanajifunza mambo mengi na kubadirishana mawazo - wanakubaliana kutokubaliana bila ya kumtukana members yoyote - not any more, I am afraid, nimeshuhudia some members wanafikia mpaka hatua kuwatusi members wenzao matusi ya nguoni, wakati mwingine eti wanavuta bangi, eti wana akili finyu eti vichaa - yaani wana andika chochote kinacho kinacho wajia kichwani bila ya kufikiria mara mbili mbili.

Niwaombe Mods warekebishe ujinga huu kabla haujavuka mipaka - otherwise members wenye morals zao wataacha kuchangia au wataondoka kabisa - social media za wenzetu uangalia contents za mchangiaji kama zinaonekana kuwakwaza member zinawekewa pini ie zinafutiliwa mbali bila ya kuonekana kwenye forum au muhusika anakuwa rebuked on the spot - bahati nzuri members wenye hulka/traits za kuwatukana members wenzao wanajulikana - sasa sijui tatizo ni ukosefu wa elimu ya kutosha, malezi au plain arrogance na bullying - in short ni deep seated pychological problem - Wakenya na Wazambia hawana tabia hizi za kwetu, binadamu kwa binadamu wanaheshimiana sana sana, sisi hapa kwetu everything goes!!
 
Kmmk [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkiambiwa Putin Ni genius ,alishaplan hii move long time,alishajua yafuatayo kabla sisi wachambuzi wabongo hatujajua Vita utakuwepo
1.Aliplan hii Vita muda mrefu
2.Aliplan maeneo gani muhimu atayachukua na maeneo gani atawaachia ili mteseke nayo
3.mtakuja na vikwazo vitavyowaumiza nyinyi na dunia
4.alishajiandaa kwa pesa,mafuta,gesi,chakula,silaha,watu kwa muda mrefu
5.Alishajiandaa kwa gharama za Vita ili asifiliisike ie ameshachukua maeneo ya Ukraine yenye viwanda vikubwa, bandari,powerplants,nuclear plants,migodi kikubwa,food reserves etc
Kwa mbumbumbu wasiojua sasaivi sio gharama ya Vita tu anayogharamia Ukraine mwenyewe Bali mapato muhimu na resources anachukua Russia, pia silaha za misaada kwa Ukraine kutoka kwa mashoga ndio hizo hizo anazotumia kwa kuziteka na pia anatumia silaha za zamani USSR age kuclear mahhala ya silaha huku akijiandaa kwa Vita kubwa na ndefu na NATO na USA
6.Maeneo anayochukua Ni yake maeneo pia yaliyo karibu na Nate kiboundary,hivyo basi Kuna uwezekano mkubwa Eneo kubwa la Ukraine kuwa buffer. Zone ya Russia kwa kuwekewa silaha kubwa na nuclear na Ukraine kubaki na kupanda tu,
7.Muda huu wa Vita Russia anasambaza technology hatari Kama za ICBMs,S-400,500,550generation , nuclear ,hypersonic a etc kwani USA na NATO wameshavunja agreement ya usambazaji silaha,
8.Akimaliza hii show hakuna kima yoyote anayepakana nae atakayethubutu kudanganyika na mashoga Tena
Adios
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Daahh kachukua nyukilia power plant then kama wanataka umeme waende. Wakauziwe na Russia
 
Back
Top Bottom