rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Hakuna asiyemjua kuwa ni mtu wa chokochoko ila mwisho wake umekaribia hakuna marefu yasiyo na nchaMarekani akimaliza huko aje atuvuruge na huku Tanganyika na Zanzibar kwa sababu ni mchokozi sana na anapenda kuona wenzake wanapigana. Kifupi Marekani ni kivuruge.