Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani akimaliza huko aje atuvuruge na huku Tanganyika na Zanzibar kwa sababu ni mchokozi sana na anapenda kuona wenzake wanapigana. Kifupi Marekani ni kivuruge.
Hakuna asiyemjua kuwa ni mtu wa chokochoko ila mwisho wake umekaribia hakuna marefu yasiyo na ncha
 
Mbona hata wa China umeyumba hadi wanazuia watu kutoa pesa benki kwa kutumia jeshi.
 
Marekani ndo nchi inayozalisha mafuta mengi duniani kwa sasa kuliko nchi yoyote ile,tatizo ni kwamba wana mahitaji makubwa Sana ndo maana inabidi kuagiza kidogo Nje kufidia gap
Wanazalisha au wanaiba nchi zenye vita
 
Umeona housing collapse ya China?
 
Ndio nasoma koment yako
 
Hasara tupuuu
 
Amani itawale tutafute ugali wa watoto wetu.
Mabeberu wakipigana nyasi ndo zinaumia.
All in all hako kabibi ni PISI ya kwenda huwezi linganisha na waliopo Tinde.
Waafrica hatuwezi kuwa na akili kwa kuwaza ugali. Inabidi tuache Kula vyakula vya kishenzi kama ugali. Ndio ubongo zetu zinalala badala ya Kula ngano tunakula ugali, ambao wenzetu wanalisha ng'ombe, kuku na nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…