Marekani: Uchunguzi wabaini kuwa George Floyd alikuwa na COVID-19

Marekani: Uchunguzi wabaini kuwa George Floyd alikuwa na COVID-19

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
5,500
Reaction score
8,060
George Floyd, ambaye kifo chake huko Minneapolis wiki iliyopita kilisababisha maandamano makubwa juu ya udhalilishwaji wa watu weusi unaofanywa na polisi, alipatikana na virusi vya Corona wiki chache kabla ya kifo chake, ripoti ya uchunguzi wa mwili ya siku ya Jumatano imeonesha.

Hati yenye kurasa 20 iliyotolewa na Ofisi ya Uchunguzi wa Kitabibu ya Kaunti ya Hennepin imesema kuwa, vipimo vya COVID-19 vya Floyd vya mnamo Aprili 3 vilionesha uwepo wa maambukizi ya virusi hivyo, ripoti iliyotolewa kwa umma kwa ruhusa kutoka kwa familia ya Floyd.

Kwa sababu RNA ya kirusi yaweza kubaki katika mwili wa binadamu kwa wiki kadhaa baada ya ugonjwa kutoweka, kulingana na uchunguzi, kipimo cha mara ya pili kilichoonesha uwepo wa maambukizi baada ya kifo chake kilimaanisha kuwa Floyd, 46, alikuwa na maambukizi ya awali yasiyo na dalili alipofariki dunia mnamo Mei 25.

====

George Floyd had coronavirus, autopsy says

The 20-page document released by the Hennepin County Medical Examiner's Office says an April 3 test on Floyd was positive for the virus’ genetic code, or RNA.

Because that RNA can remain in someone's body for weeks after the disease is gone, the autopsy says, a second positive test after his death likely meant that Floyd, 46, was asymptomatic from an earlier infection when he died May 25.

The Centers for Disease Control and Prevention has said a positive RNA test doesn't necessarily mean the person is infectious. It wasn't immediately clear whether Floyd developed symptoms earlier in the year or was an asymptomatic carrier.

Source: NBC News

====

George Floyd tested positive for coronavirus

The man who died while being restrained by police in Minneapolis, prompting widespread unrest across the US, tested positive for coronavirus, his full autopsy report reveals.

The findings from the Hennepin County Medical Examiner's Office say that it was known that George Floyd had previously tested positive on April 3, but the post-mortem swab collected on 26 May showed he was still positive for the virus.

“The autopsy result most likely reflects asymptomatic but persistent PCR positivity from previous infection,” the autopsy says, referring to the polymerase chain reaction tests that are used to detect presence of the virus.

The autopsy does not link the presence of coronavirus to Floyd’s death. A summary report issued on Monday concluded that Floyd had a heart attack while being restrained by officers and classified his May 25 death as a homicide.

Source: Financial Times
 
Kwanza walianza na kusema alikuwa na "underlying health issues" ndio maana alifariki baada ya kuminywa kidogo tu. Baada ya independent report ya pili kupinga hilo, sasa wanakuja na hii kitu. The guy was brutally murdered on camera. Plain and simple.
 
It doesn't change the fact that he was murdered. Period.
Hii ripoti sioni msingi wake na sijaelewa kwa nini hiyo autopsy itolewe kipindi hiki kuna ambacho dunia inataka kuona justice for Floyd.

I see no connection btn his contraction of Covid-19 vs the murdered crime issue on the table. Wangejikita kudeal na tuhuma za mauaji.
 
Kwanza walianza na kusema alikuwa na "underlying health issues" ndio maana alifariki baada ya kuminywa kidogo tu. Baada ya independent report ya pili kupinga hilo, sasa wanakuja na hii kitu. The guy was brutally murdered on camera. Plain and simple.
Kwa sasa majibu ya huu uchunguzi wa mwili hayahusiani kabisa na kifo chake.
 
Hii ripoti sioni msingi wake na sijaelewa kwa nini hiyo autopsy itolewe kipindi hiki kuna ambacho dunia inataka kuona justice for Floyd.

I see no connection btn his contraction of Covid-19 vs the murdered crime issue on the table. Wangejikita kudeal na tuhuma za mauaji.
They want us to believe or to feel like ,if he hadn't been murdered he would have died anyway, since he had Covid-19.
 
Missile of the Nation

Njoo uone wahuni wakizungu hapa wanavyotaka kutuona watu hatuna akili[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwan mwenye koronya anastahili kuuliwa ?!

watetezi wahaki za bina adamu kiukweli katika hili sijawaona ama miye tu ndio sijafuatilia ?!

Papa mwenyewe naona leo ndio kaongea eti baada ya week nzima


Hapa tuna lakujifunza.....
 
Kwanza walianza na kusema alikuwa na "underlying health issues" ndio maana alifariki baada ya kuminywa kidogo tu. Baada ya independent report ya pili kupinga hilo, sasa wanakuja na hii kitu. The guy was brutally murdered on camera. Plain and simple.

Absolutely he was murdered. They are trying to cover up. That COP should have been lynched.
 
Autopsy imeonyesha George Floyd alikuwa na virusi vya Corona, alikuwa na Corona, ...

1591257021523.jpeg
 
Back
Top Bottom