Wanajiamini na hawataki kuchukua ugonjwa kama sababu ya kutaka huruma toka kwa majirani zao!Yaani WAO kama huyu wa KWETU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajiamini na hawataki kuchukua ugonjwa kama sababu ya kutaka huruma toka kwa majirani zao!Yaani WAO kama huyu wa KWETU
And that's their fault?Watu weusi wengi ni macarrier wa Corona. Ndo maana China walikasirika.Wengi waafrica hawana dalili ila wanaambukiza.
Carriers wa ugonjwa uliokuwa manufactured na watu weupe...Watu weusi wengi ni macarrier wa Corona. Ndo maana China walikasirika.Wengi waafrica hawana dalili ila wanaambukiza.
Ndugu,soma uelewe,kuwa na corona hapo haikumaanisha hawajachangia kifo chake.Kwanza walianza na kusema alikuwa na "underlying health issues" ndio maana alifariki baada ya kuminywa kidogo tu. Baada ya independent report ya pili kupinga hilo, sasa wanakuja na hii kitu. The guy was brutally murdered on camera. Plain and simple.
Not true.They want us to believe or to feel like ,if he hadn't been murdered he would have died anyway, since he had Covid-19.
I am just thinking outside the box...Ndugu,soma uelewe,kuwa na corona hapo haikumaanisha hawajachangia kifo chake.
Sio kosa lakoMarekani kiushawishi kaporomoka vibaya mno Marekani hakuna demokrasia kwanza waachane na nchi zetu tujiamulie mambo wenyewe kama jambo dogo kama la kama hili wanaleta usanii
Katika watu wanaofariki kwa ajali tu na kesi hazifiki mahakani,ndipo autopsy inaweza isihitajike. Kwa ile shughuli pale lazima wapige autopsy...Vipi kama angekuwa na drug overdoseI am just thinking outside the box...
Ukishacontract COVID, "tatizo la upumuaji" linakuhusu. Hawa wanataka kuplant seed ambayo defense lawyers na/au jurors wanaweza kuja kuitumia dakika ya mwishoI see no connection btn his contraction of Covid-19 vs the murdered crime issue on the table.