Marekani: Uchunguzi wabaini kuwa George Floyd alikuwa na COVID-19

Ukishacontract COVID, "tatizo la upumuaji" linakuhusu. Hawa wanataka kuplant seed ambayo defense lawyers na/au jurors wanaweza kuja kuitumia dakika ya mwisho
Unachokisema inawezekana kabisa ndicho wanakiandaa kwa sababu ukiangalia timing ya kutoa autopsy report na cheos zilizopo ni kama vile kuwaambia 'relax guys, by the time of incedent your boy was half dead'.
 
Ni sawa kuwa na COVID-19 lakini hajafa kwa huo ugonjwa. Hapa tunachooangalia chanzo cha kifo.
Hilo limekwisha zungumzwa pia. Matokeo ya uchunguzi huu hayana mahusiano yoyote na kifo chake.
 
Kwani we akili unazo
 
Ila hakufa na Corona,aliuliwa na polisi.
Trump na yeye anakuwa kama muafrika TrumpAfro,
 
Ukikosa vichekesho Afrika utakutana navyo Amerika! Kwa hiyo wanataka kutuambia nini hasa, kwamba amefariki kwa kukosa pumzi ama!
Ni homicide. Amesababishiwa mauaji na mtu mwingine.
 
Ukiingia thehabibshow.com/bigfloyd utakuta jamaa alikuwa nacheza picha zetu zile.
 
Watu weusi wengi ni macarrier wa Corona. Ndo maana China walikasirika.Wengi waafrica hawana dalili ila wanaambukiza.
Who is to blame then?
A carrier or a manufacture of the disease?
So a carrier has right to be punished anyway?
 
Ila kifo kilisababishwa na kukosa hewa kwa kukabwa.

Corona hata waTZ tunatembea nayo na shughuli zinasonga
 
Mareakani Corona imeisha? Mbona huyu Balozi wao ana kimbelembele sana?
 
Kwa hiyo kafa kwa corona sio kuuawa na askari polisi Huo ushahidi utamsaidia Askari kutoka kuwa Hana kosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…