Sidhani kama taarifa ya Floyd kuwa na Coronavirus ina lengo la ku mitigate kesi inayowakabili hao mapolisi.
Mnaodhani hivyo mnajihisi tu.
Nadhani ukizingatia hii ‘[manufactured’ health crisis] iliyopo hivi sasa, ni muhimu pia kuzingatia namna ya ku handle maiti ili kuepusha maambukizi zaidi.
Y’all read too much into stuff...