Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani na Italia zilitoa taarifa ya pamoja kuiangukia Iran irudi nyuma washambulie Israel

Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani na Italia zilitoa taarifa ya pamoja kuiangukia Iran irudi nyuma washambulie Israel

Humu vijana wakiambiwa Israel bila mataifa ya magharibi wakiongozwa na marekani ni mwepesi kwa Iran wanabishaa
Ushahidi kila siku unamwagika namna mkwara wa Iran unavyowangaisha magharibi nzima namna ya kumlinda Israel asichapike
Iran kadhalilishwa sana na Israel si ajibu mapigo yaishe. Anasubili afanyiwe nn ndo apate mzuka kafanyiwa kila kitu kinachoitwa an act of war lakini kazi kubwabwaja. Aliahidi Israel akivamia Gaza ataingilia lakini kimya tu hajawahi hata kuingilia kwa kuwapa manati hao Hamas
 
Hivi,tuseme ukweli. Kati ya Iran na Israel,nani tishio? Tuachane na kuungwa mkono. Wao wawili wakiingia vitani,nani ana nguvu zaidi?
 
Mashambulizi yakigaidi hua hayaangalii ulinzi mkali wala ulinzi dhaifu

Magaidi hua hawatangazi wakitangaza watu wanachukua tahadhari

Uliona trump alivyoshambuliwa je hakukua na ulinzi ila jamaa ilibakia sent afyekwe

Israhell ataadhibiwa kwa ugaidi aloufanya

Wewe uliliona shambulio la israhell dhidi ya iran

Israhell hii hii ishambulie halaf usione kwenye media inavyotaka sifa isokua nazo
Iran anaitwa gaidi na mfadhiri magaidi,Israel naye anaitwa gaidi,ni heri wazichape ijulikane moja.
 
Iran kadhalilishwa sana na Israel si ajibu mapigo yaishe. Anasubili afanyiwe nn ndo apate mzuka kafanyiwa kila kitu kinachoitwa an act of war lakini kazi kubwabwaja. Aliahidi Israel akivamia Gaza ataingilia lakini kimya tu hajawahi hata kuingilia kwa kuwapa manati hao Hamas
Wenzako hawapati usingizi kumlinda mwana mpendwa, anachokoza ugomvi kisha mbio kuomba kulindwa
 
Wanajipendekexa tu, Israel yeye hajali anapiga matukio tu
Sorry hivi hamna source nyingine zaidi ya hiyo?
Why is the west afraid of going to war with Iran , every simulation they did with Iran they ended up losing
 
Iran is the 14th strongest military power in the world. Israel is in 17th place. Iran will rise to 7th place in the next few months! The USA itself doesn't believe the simulations. Nobody messes with Iran anymore!
 
Mbona hayakuzuia kuuliwa kwa Haniyeh na mpenzi wake chumbani wakilala pamoja?
Iran ina programu kubwa zaidi ya ndege zisizo na rubani na makombora katika eneo zima na moja ya programu kubwa zaidi ulimwenguni. Iran ina mifumo yake mizuri ya ulinzi na ndiyo kwanza imepokea mifumo mipya ya S400 kutoka Urusi. Makombora ya Hypersonic na manowari na Navy.
 
Iran mwenyewe juzi kasema atawavizia viongozi mmoja mmoja wa Israel, anajua hawezi kuipiga Israel kwa ukubwa wake, ajabu wewe kilaza unaamini hiyo kauli ya kumtuliza bwege kisaikolojia .
 
Aaah wapi! Kidume huwa hasikilizi kelele za wapuuzi

Iran alipue tu, asipifanya hivyo huku akikiri kupoteza wanajeshi wake kwenye balozi zake huko Syilia, kamanda wa Hamas kuuwawa nchini kwako, hata rais wao, sisi tunamuina ni mchumba tu mwenye kelele nyingi huku nanilii yake ilisha punuliiiwa kama bwawa tu
Wewe Muisrael mweusi ya Nyashishi bakia kupiga kelele bashaa wako Israel anaomba msaada Ulaya na Marekani wamsaidie anataka kupigwa na Iran.


View: https://x.com/currentreport1/status/1823416372790952042?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hivi,tuseme ukweli. Kati ya Iran na Israel,nani tishio? Tuachane na kuungwa mkono. Wao wawili wakiingia vitani,nani ana nguvu zaidi?
Haiwezekani nahaitakuja kutokea israhell iingie vitani bila msaada wa mataifa ya ulaya haiwezekani

Kama hapo wanapigana na hamas tu wanapata sapot yamataifa karibu yote ya ulaya arabuni Americant nakeengineko

Israhell sio iran tu hata hawa hamas kama sio msaada wa mashoga zake muda huu hamas wangekua wanakunywa chai tel avivu na viunga vyake!
 
Why is the west afraid of going to war with Iran , every simulation they did with Iran they ended up

Iran ina programu kubwa zaidi ya ndege zisizo na rubani na makombora katika eneo zima na moja ya programu kubwa zaidi ulimwenguni. Iran ina mifumo yake mizuri ya ulinzi na ndiyo kwanza imepokea mifumo mipya ya S400 kutoka Urusi. Makombora ya Hypersonic na manowari na Navy.
Halafu rais anafia kwenye lihelikopta la miaka ya sitini huko made in USA Faida ya hiyo tech ni nini?
Hao wavaa kobazi hawana lolote zaidi ya kufadhili uhalifu tu duniani
 
Haiwezekani nahaitakuja kutokea israhell iingie vitani bila msaada wa mataifa ya ulaya haiwezekani

Kama hapo wanapigana na hamas tu wanapata sapot yamataifa karibu yote ya ulaya arabuni Americant nakeengineko

Israhell sio iran tu hata hawa hamas kama sio msaada wa mashoga zake muda huu hamas wangekua wanakunywa chai tel avivu na viunga vyake!
Ni kweli israhell siyo tishio ila Israel ni habari nyingine yule Ayatollah mwenyewe analitambua hilo kwamba Thai wake upo mikononi mwa Netanyahu.
 
Aaah wapi! Kidume huwa hasikilizi kelele za wapuuzi

Iran alipue tu, asipifanya hivyo huku akikiri kupoteza wanajeshi wake kwenye balozi zake huko Syilia, kamanda wa Hamas kuuwawa nchini kwako, hata rais wao, sisi tunamuina ni mchumba tu mwenye kelele nyingi huku nanilii yake ilisha punuliiiwa kama bwawa tu
⚡️🇮🇷BREAKING: Iran itajibu bila umuhimu wa mazungumzo ya kusitisha mapigano

Chanzo katika IRGC:

"Puuza kila kitu unachosikia kuhusu mikataba na Iran au majibu ya shinikizo la kuzuia kulipiza kisasi."

"Tehran inajiandaa kwa duru ya muda mrefu ya vita."

"Qatar iliarifiwa rasmi leo kwamba Kambi ya Anga ya Al Udeid na kambi zote za Marekani katika eneo hilo zitakuwa shabaha halali endapo itaingilia kati.”
 
⚡️🇮🇷BREAKING: Iran itajibu bila umuhimu wa mazungumzo ya kusitisha mapigano

Chanzo katika IRGC:

"Puuza kila kitu unachosikia kuhusu mikataba na Iran au majibu ya shinikizo la kuzuia kulipiza kisasi."

"Tehran inajiandaa kwa duru ya muda mrefu ya vita."

"Qatar iliarifiwa rasmi leo kwamba Kambi ya Anga ya Al Udeid na kambi zote za Marekani katika eneo hilo zitakuwa shabaha halali endapo itaingilia kati.”
Iran ni sawa na wanaume wa Dar!
 
Back
Top Bottom