Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,683
- 3,349
Fisadi yupi anayenyoshwa mkuu?.Nchi mbona iko vizuri na Kuna uwazi wa kutosha serikalini na ndo maana tunsshuhudia mafisadi wakinyoshwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fisadi yupi anayenyoshwa mkuu?.Nchi mbona iko vizuri na Kuna uwazi wa kutosha serikalini na ndo maana tunsshuhudia mafisadi wakinyoshwa
Jamani anayejua anapotupeleka huyu jiwe atuambie
Hopeless Kabudi,hakijui hata akifanyacho.Ha ha haaa, kwahiyo ukitaka kuthibitisha uhuru wa habari unatoa nakala za magazeti yaonekanayo.
Je, kama magazeti ni ya mlengo mmoja? Bado itakuwa uhuru wa habari?
Mi nadhani hatuangalii wingi wa vyombo vya habari lakini ni kwa wigo gani media zinapewa fursa sawa ya kuhoji, kuchunguza na kuhabarisha uma pasipo vikwazo au matishio kwa wanahabari na vyombo hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tehe tehe tehe Bila shaka hapo alimtolea na nakala kibao za Gazeti la Tanza-Naiti
ShiiiiiiiiitHivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha
Unajua shetani huwa yupo kama ulivyo wewe, yaani kazi yake kubwa huwa ni kutafuta makosa kwa kila jambo ili aweze kukuhukumu, kwa hiyo sishangaiHata roho yako wewe mwenyewe inakushuhudia kuwa UMEANDIKA UONGO. Nijibu hili swali kwa uaminifu KABISA na Mungu Jehovah awe shahidi.
Rais Magufuli alisema hadharani kuwa alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000 kwa kilo ila yeye kaishusha na itaendelea kushuka. Alisema ukweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji109]Keshokutwa US wakitangaza kuipa serikali ya jiwe Shilingi 2B utakuja na post ya kuwashangilia.
Asante sana Bwana Yesu kwa kunipa akili na uwezo wa kuitumia; vinginevyo ningekuwa ccm.
BICHWA KAMA TOFALI!!Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha
Mungu akulaani kwa kumtumikia Mkuu wa LumumbaUhakika 100%. Mbona juzi kati umesikia sakata la Muller na mwenzake Barr?? Hahaha wajinga waliwao na hamjui wamarekani wana nia gani kwa nchi yetu. Kinachosiktisha zaidi mnapoona US ndiyo reflection ya demokrasia ya kweli badala ya kuangalia mazingira yetu mnashangaza sana. Mungu awalaani kabisa kwa kumtumikia ibilisi US
Hukijui hata ukisemacho wewe bata.Wewe Tz haiwezi kujipendekeza, hatuangalii uso wa mtu ukija tunakuchana tu. Ona US wanavyohangaika sasa hivi kuharibu amani yetu ili tuingie vita vya wenyewe kwa wenyewe. Ila hawawezi na walishashindwa maana hata kule Libya wamestukia pia baada ya yule balozi wao kuuliwa na waasi kama akina ZZK, sasa wanataka iron man ashike nchi, so watu wanaendelea kufa. Nyie mashabiki msiotumia akili fungeni midomo yenu acheni nchi isonge mbele wajukuu zenu watakuja kufaidi
Mkisimama bungeni mpambane ndani ya misingi ya sheria na sio kupiga kelele na kuzomea. Mayowe hayatatuwi shida za Mtanzania.
Kamuulize Dr Mpango anayo majibu yako.Wewe Tz haiwezi kujipendekeza, hatuangalii uso wa mtu ukija tunakuchana tu. Ona US wanavyohangaika sasa hivi kuharibu amani yetu ili tuingie vita vya wenyewe kwa wenyewe. Ila hawawezi na walishashindwa maana hata kule Libya wamestukia pia baada ya yule balozi wao kuuliwa na waasi kama akina ZZK, sasa wanataka iron man ashike nchi, so watu wanaendelea kufa. Nyie mashabiki msiotumia akili fungeni midomo yenu acheni nchi isonge mbele wajukuu zenu watakuja kufaidi
Labda ana maanisha yuko nje ya mji na anazungumzia kipindi kile sukari ilivyoadimika hadi waziri mkuu akaagiza sukari nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakuna waziri hapo.Hicho ni kiraka kuukuu kwenye nguo nzuri.Ninasikia huyu waziri anaaminiwa na bwana yule.
Kabudi ni kama comedian. Hivi alikumbuka kuchukua na lile la kitengo la Tanzanite?View attachment 1087147
Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema
"Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho yanayodai kuwa kuna Uhuru huo, bali ni kwa kutoa ripoti na Tafiti pamoja na habari za kuaminika.
Ikumbukwe kwamba wiki hii waziri kabudi alitembelewa na ujumbe wa marekani ofisini kwake na katika kuthibitisha kuwa kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini, alitoa rundo la magazeti (Kama inavyoonekana pichani ) na kuwaonyesha akidai vyombo hivyo vina uhuru.
Swali ni je walikusanya na magazeti waliyoyafungia kwa kuandika habari nyeti za kumkosoa jiwe na serikali yake?....Je walihusisha pia magazeti yenye ripoti za kutoweka kwa waandishi kama Azory Gwanda?!
View attachment 1087144
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hata roho yako wewe mwenyewe inakushuhudia kuwa UMEANDIKA UONGO. Nijibu hili swali kwa uaminifu KABISA na Mungu Jehovah awe shahidi.
Rais Magufuli alisema hadharani kuwa alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000 kwa kilo ila yeye kaishusha na itaendelea kushuka. Alisema ukweli?
Hakika mkuu [emoji120][emoji120]Hakuna kazi ngumu kama kumtetea jiwe unaweza jikuts unakusanya magazeti haya ya 2000