Marekani: Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho

Marekani: Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho

Unajua shetani huwa yupo kama ulivyo wewe, yaani kazi yake kubwa huwa ni kutafuta makosa kwa kila jambo ili aweze kukuhukumu, kwa hiyo sishangai

Jibu swali; Magufuli alisema ukweli alipotutangazia kuwa alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000 kwa kilo?
 
Ni mpumbavu tu ndiye anayeweza kuandika ujinga uliouandika. Mie sijui kuremba I call a spade by its original name.

Unaona udhaifu wako eh? ndio haya ninayo yasema, fateni sheria na sio kubwabwaja kama huku.
 
Nchi mbona iko vizuri na Kuna uwazi wa kutosha serikalini na ndo maana tunsshuhudia mafisadi wakinyoshwa

Ndio, tena wananyooshwa kwenye ile mahakama ya mafisadi Mwakyembe aliyosema haina wateja.
 
Ndio, tena wananyooshwa kwenye ile mahakama ya mafisadi Mwakyembe aliyosema haina wateja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji109]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakuna waziri hapo.Hicho ni kiraka kuukuu kwenye nguo nzuri.

Hata hivyo umempa sifa asiyostahili. Sio kiraka ila ni mkate uliotumika kama kizibo kwenye shimo la panya.
 
Hata hivyo umempa sifa asiyostahili. Sio kiraka ila ni mkate uliotumika kama kizibo kwenye shimo la panya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji109][emoji109] heshima yako mkuu [emoji120][emoji120]
 
Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha

Ww lazima utakuwa ni mzee, US atake kujua yanayoendelea hapa nchini ashindwe!? Ule upuuzi Kabudi aliokuwa anamuonyesha yule balozi wa Marekani wa lundo la magazeti ilikuwa kama anampotezea tu muda. Wazungu huwa hawapimi jambo kwa wingi bali kwa ubora.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kabudi amejikjuta ameingia cha kiume bila kupenda
 
Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha
Ni kweli kabisa mkuu akili huna? Unafananisha tukio la Snoden na uhuru wa vyombo vya habari? Hivi wewe jamaa unatumia kilevi au ni akili zako za kawaida?

Snoden anatafutwa kwa kuvujisha siri za nchi, hii adhabu yake ni kifo, haina tofauti na kesi inayo mkabidhi Assage wa wikleak...


Halafu mikataba ya madini na gas+ mafuta walio isaini ni Zitto, ni Chadema au ni viongozi wa serikali ya Ccm? Ambao ni mawakala wakuu wa mabeberu kama unavyo waita wewe?

Nadhani kuna wapuuzi wanatakiwa kupasuliwa ubongo zao kwa risasi
 
Ni mpumbavu tu ndiye anayeweza kuandika ujinga uliouandika. Mie sijui kuremba I call a spade by its original name.

It seems that your paddling the wrong way a lot these days, hata Unguja you called a spade by its name leo hii your hanging by a thread.
 
Back
Top Bottom