Marekani: Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho

Jamani anayejua anapotupeleka huyu jiwe atuambie

Weweeee! Acha kuchekesha watu; kila mtu mwenye akili timamu anajua kuwa tunakoelekea ni kubaya. Jiwe pekee hajui ukweli huo, na wanaomshangilia wanajua ila hawawezi kusema kwetu achilia mbali kumwambia jiwe.
 
Hopeless Kabudi,hakijui hata akifanyacho.
 
Shiiiiiiiiit
 
Unajua shetani huwa yupo kama ulivyo wewe, yaani kazi yake kubwa huwa ni kutafuta makosa kwa kila jambo ili aweze kukuhukumu, kwa hiyo sishangai
 
Keshokutwa US wakitangaza kuipa serikali ya jiwe Shilingi 2B utakuja na post ya kuwashangilia.

Asante sana Bwana Yesu kwa kunipa akili na uwezo wa kuitumia; vinginevyo ningekuwa ccm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji109]
 
BICHWA KAMA TOFALI!!
 
Mungu akulaani kwa kumtumikia Mkuu wa Lumumba
 
Hukijui hata ukisemacho wewe bata.
 
Toa upumbavu wako hapa.

Mkisimama bungeni mpambane ndani ya misingi ya sheria na sio kupiga kelele na kuzomea. Mayowe hayatatuwi shida za Mtanzania.
 
Kamuulize Dr Mpango anayo majibu yako.
 
Labda ana maanisha yuko nje ya mji na anazungumzia kipindi kile sukari ilivyoadimika hadi waziri mkuu akaagiza sukari nje.

Hata kipindi hicho ndugu; kwa umri wangu nilishuhudia kipindi cha "Miezi 18 ya kuinua uchumi" na bado sijawahi kuhushudia sukari ikiuzwa Shilingi 5,000 kwa kilo hata kwa "mwendo wa kuruka". The bottom line?

MAGUFULI NI MUONGO, NA HAJUI ALIFANYALO. NYIE MNAOMSHANGILIA ACHENI UNAFIKI HATA KAMA BINAFSI MNANUFAIKA.
 
Kabudi ni kama comedian. Hivi alikumbuka kuchukua na lile la kitengo la Tanzanite?
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…