Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kila mmoja na mtizamo wake,wingi wa machapisho nayo ni sababu pia ya uhuru wa habariView attachment 1087147
Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema
"Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho yanayodai kuwa kuna Uhuru huo, bali ni kwa kutoa ripoti na Tafiti pamoja na habari za kuaminika.
Ikumbukwe kwamba wiki hii waziri kabudi alitembelewa na ujumbe wa marekani ofisini kwake na katika kuthibitisha kuwa kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini, alitoa rundo la magazeti (Kama inavyoonekana pichani ) na kuwaonyesha akidai vyombo hivyo vina uhuru.
Swali ni je walikusanya na magazeti waliyoyafungia kwa kuandika habari nyeti za kumkosoa jiwe na serikali yake?....Je walihusisha pia magazeti yenye ripoti za kutoweka kwa waandishi kama Azory Gwanda?!
View attachment 1087144
It seems that your paddling the wrong way a lot these days, hata Unguja you called a spade by its name leo hii your hanging by a thread.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]For the first time in the history of this country even the donor countries are staying away from this country also international corporations like WB and IMF are criticising this dictator but because you have ZERO IQ you won’t be able acknowledge that.
For the first time in the history of this country even the donor countries are staying away from this country also international corporations like WB and IMF are criticising this dictator but because you have ZERO IQ you won’t be able acknowledge that.
Ni sawa na ambavyo demokrasia haipimwi kwa idadi ya vyama vya siasa. Wakati wa Mobutu, kulikuwa na vyama zaidi ya 100 kule DRC. Ilikuja kubainika vikikuwa vyama vyake.View attachment 1087147
Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema
"Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho yanayodai kuwa kuna Uhuru huo, bali ni kwa kutoa ripoti na Tafiti pamoja na habari za kuaminika.
Ikumbukwe kwamba wiki hii waziri kabudi alitembelewa na ujumbe wa marekani ofisini kwake na katika kuthibitisha kuwa kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini, alitoa rundo la magazeti (Kama inavyoonekana pichani ) na kuwaonyesha akidai vyombo hivyo vina uhuru.
Swali ni je walikusanya na magazeti waliyoyafungia kwa kuandika habari nyeti za kumkosoa jiwe na serikali yake?....Je walihusisha pia magazeti yenye ripoti za kutoweka kwa waandishi kama Azory Gwanda?!
View attachment 1087144
Na yule fisadi aliyetafuna zile 1.5 T ameshanyooshwa akanyooka!Nchi mbona iko vizuri na Kuna uwazi wa kutosha serikalini na ndo maana tunsshuhudia mafisadi wakinyoshwa
View attachment 1087147
Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema
"Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho yanayodai kuwa kuna Uhuru huo, bali ni kwa kutoa ripoti na Tafiti pamoja na habari za kuaminika.
Ikumbukwe kwamba wiki hii waziri kabudi alitembelewa na ujumbe wa marekani ofisini kwake na katika kuthibitisha kuwa kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini, alitoa rundo la magazeti (Kama inavyoonekana pichani ) na kuwaonyesha akidai vyombo hivyo vina uhuru.
Swali ni je walikusanya na magazeti waliyoyafungia kwa kuandika habari nyeti za kumkosoa jiwe na serikali yake?....Je walihusisha pia magazeti yenye ripoti za kutoweka kwa waandishi kama Azory Gwanda?!
View attachment 1087144
Amempiga kijembe waziri au kawapiga vijembe waandishi makanjanja? Au ndiyo watu tunajaribu kutafsiri tunayoyapenda kwa tunavyotaka yawe? Kasema uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa machapisho mengi bali kwa tafiti na habari za uhakika. Someni tena na mrudie mara nyingi mtaelewa. Msiwe watu wa kupotosha Mungu hapendi.View attachment 1087147
Katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari leo jijini dodoma...Kaimu balozi wa Marekani ametoa tamko la Serikali ya Marekani juu ya Hali ilivyo kwa Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini kwa kumpiga kijembe waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi kwa kusema
"Uhuru wa vyombo vya habari haupimwi kwa idadi ya machapisho yanayodai kuwa kuna Uhuru huo, bali ni kwa kutoa ripoti na Tafiti pamoja na habari za kuaminika.
Ikumbukwe kwamba wiki hii waziri kabudi alitembelewa na ujumbe wa marekani ofisini kwake na katika kuthibitisha kuwa kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini, alitoa rundo la magazeti (Kama inavyoonekana pichani ) na kuwaonyesha akidai vyombo hivyo vina uhuru.
Swali ni je walikusanya na magazeti waliyoyafungia kwa kuandika habari nyeti za kumkosoa jiwe na serikali yake?....Je walihusisha pia magazeti yenye ripoti za kutoweka kwa waandishi kama Azory Gwanda?!
View attachment 1087144
I would write it like this; It seems that YOU ARE paddling.........leo hii YOU ARE hanging by.........."It seems that your paddling the wrong way a lot these days, hata Unguja you called a spade by its name leo hii your hanging by a thread.
Maskini Prof. wangu Kabudi, anapigwa za uso asubuhi mapema. Naamini sasa ukiwa kwenye siasa akili unashikiwa na wateule wako. Yaani Kabudi anafikiri ubalozi wa Marekani ni kama ukumbi wa pale Habari na Maelezo unapokusanya waandishi njaa na kuwagawia bahasha halafu wanakupigia makofi. Pole Profesa, soon utaitwa PropesaHa ha haaa, kwahiyo ukitaka kuthibitisha uhuru wa habari unatoa nakala za magazeti yaonekanayo.
Je, kama magazeti ni ya mlengo mmoja? Bado itakuwa uhuru wa habari?
Mi nadhani hatuangalii wingi wa vyombo vya habari lakini ni kwa wigo gani media zinapewa fursa sawa ya kuhoji, kuchunguza na kuhabarisha uma pasipo vikwazo au matishio kwa wanahabari na vyombo hivyo.
Hivi elimu ya maprof wetu wakishapata teuzi inayeyuka au inakuwaje!? Sasa kulikuwa na mantiki dani kwenda na lundo LA magazeti? Hivi mpaka sasa huyo wazir ambaye pia ni mwanasheria bado hajui dhana ya 'Uhuru wa habari' ni kitu gani! Waafrika tutakuwa tunakasoro fulani akilini.Mambo ni magumu
Hata kama hawana Uhuru (based on your argument) sisi tunapaswa kuwafundisha wawe na Uhuru wa habari. Siyo kwakuwa hawana na sisi tupite huko huko.Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha
Fisadi hawezi kunyoosha mafisadiNchi mbona iko vizuri na Kuna uwazi wa kutosha serikalini na ndo maana tunsshuhudia mafisadi wakinyoshwa
Ni sawa na ambavyo demokrasia haipimwi kwa idadi ya vyama vya siasa. Wakati wa Mobutu, kulikuwa na vyama zaidi ya 100 kule DRC. Ilikuja kubainika vikikuwa vyama vyake.
Kabudi anaangalia idadi ya magazeti yakiwemo ya akina Musiba.
Naye eti ni Profesa, tena wa sheria. Afadhali kuongozwa na akina Msukuma na Kibajaji.
Good for you..I would write it like this; It seems that YOU ARE paddling.........leo hii YOU ARE hanging by.........."
Popoma la mapopoma katika kilele chako cha upopoma, lile lundo la magazeti mlilipeka kwa beberu ili iweje? Why bother to go through all that shit? Mmemponza Kabudi, he has just proved his stupidness.Hivi unadhani US wao wanao uhuru?? Snowden, Asange wanawataka warudi US ili wawaue kwanini???? Pamoja na hiyo kauli kama haijafojiwa watanzania hatuwezi kutikisika na tutaendelea na kulinda uhuru wetu, US walikasirika tulipowanyima mikataba ma gas na mafuta, hivyo hasira zao tunazijua na hazitupi shida maana wamejitahidi sana kuingilia siasa zetu wameshindwa kabisa kabisa yaani wapo hoi hawajui system yetu ya nchi inafanyaje kazi maana wameangukia pua mambo kibao, na ndiyo maana mpaka sasa wamechanganyikiwa ile mbaya na bado. It's like China, US na mataifa ya mabeberu hawatokaa watuchonganishe au waingilie siasa zetu, na wala hawatakuwa sababu ya sisi kupigana vita kama ilivyo mataifa mengine, ila wanaoshirikiana na hao mabeberu Mungu atawaua mmoja mmoja na nchi itasonga mbele kwa mbele maana maombi ya wachungaji, mashekhe, maaskofu na watumishi wa Mungu kwa ujumla yapo juu ya nchi hii na hakuna mchawi yeyote anayejiita beberu ataweza kututeteresha