Marekani, unachokifanya juu ya vita ya Russia na Ukraine si kuanzisha vita 3 ya dunia, uko tayari?

Marekani, unachokifanya juu ya vita ya Russia na Ukraine si kuanzisha vita 3 ya dunia, uko tayari?

unafikiri sijui? hahahaha .unachekesha sana .soma katika doti na sentensi we jina
Hapana ni kweli hujui kweli,hata kama tu unaweka alama ya fullstop na kisha unaanza na herufi ndogo sentensi inayofuatia utawezaje kuelewa ulichokosolewa?
 
Kama vita ya dunia, marekani alikuwa anaombea vita iendelee ili azidi kusupply silaha, unadhani hii operation ndo atatamani iishe angali ana supply silaha kwa Ukraine.

Kosa kubwa dunia ililolifanya ni kuruhusu marekani iwe sehemu yake ya dunia.
Unaonaje ukisaidia katika kurekebisha hilo kosa lililofanywa na Dunia Mkuu.Uingie front line uifutilie mbali US,Utakumbukwa na vizazi vyote [emoji3]
 
Acha kuropoka

nkorea hana uwezo hata wa kudondosha kitu pale Guam....
Acha kuwa mjinga kama asingekuwa na uwezo wamarekani wangeshaivamia tayari maana kila siku anatesti silaha ambazo zimekatazwa.
 
Nkorea kama wasingekuwa na makombora yanayofika marekani wangeshavamiwa siku nyingi na Marekani
 
Marekani ni
Taifa la hovyo sana. Yaani ndiyo chanzo cha maovu na fujo zote duniani! Ikiwemo hiyo vita ya Urusi vs Ukraine, nk.
Sheikh Maftah kawa mkali hata simba hafai na vile saumu ilivyo kali na vidonda vya tumbo siku hizi ilivyo hata malaria nafuu.
 
Marekani ni
Taifa la hovyo sana. Yaani ndiyo chanzo cha maovu na fujo zote duniani! Ikiwemo hiyo vita ya Urusi vs Ukraine, nk.

Screenshot_20220501-015953.png


Screenshot_20220501-020759.png


Screenshot_20220501-015518.png
 
Wazungu wa Magharibi wanaongeza uzalishaji wa magari ya umeme, kupunguza matumizi ya mafuta ili wasiitegemee sana Urusi.
Huo umeme wakuchaji hzo gari watakuwa wanazalisha kwa kutumia hydropower?maana umeme wengine wanazalisha kwa gesi au mafuta inakuwa ndio vile vile
 
Naona mujahidina wa chenchnia huko wanasambaza kichapo vby mnooo rais wao ramzan kadyoz amesema putin haina haja ya kukaa meza moja na hawa watu ni kupiga tu, jiran akikaribisha adui home karibu yako huyo sio jirani mwema
 
Soko lake la silaha limeisha ameona amuuzie the comedy indirectly
 
Back
Top Bottom