Marekani wanasumbuliwa na Umasikini sio Ubaguzi

Marekani wanasumbuliwa na Umasikini sio Ubaguzi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Marekani ni taifa lenye watu wengi wenye hali mbaya kimaisha mfano 40% ya watu weupe wanaishi kwenye umasikini.

Pia watu wengi weusi wanaishi kwenye umasikini na msongo wa mawazo, yaani tuseme wanapata pesa ya kula na kulipia pango basi ili tatizo lipo pia South Africa na Kenya.

Mifumo ya Ubepari ni hatari sana duniani pamoja na mapungufu yake Baba wa taifa alifanya jambo kubwa sana kutoruhusu ubepari kuzagaa mapema Tanzania ukitoa mikoa ya Dar na Arusha mikoa mingine maisha ni rahisi kutoboa ila kwa wenzetu miji yao yote cost za maisha zipo juu sana.

Ndio maana ni vigumu sana kuona maandamano Tanzania lakini nchi kama South na Kenya pia Marekani jambo dogo tu unaweza kuta watu wanaandamana wanapiga police, wanapora mali huu ni umasikini wala sio ubaguzi, wanaficha matatitizo yao kwenye ubaguzi lakini ukweli ni hali mbaya ya uchumi mifukoni uku matajiri wakikusanya pesa yote.

Tanzania tuna umasikini lakini tuna low cost of living ndio maana Mashamba, Ng'ombe yanamilikiwa na masikini Tanzania.
 
Marekani ni taifa lenye watu wengi wenye hali mbaya kimaisha mfano 40% ya watu weupe wanaishi kwenye umasikini. pia watu wengi weusi wanaishi kwenye umasikini na msongo wa mawazo, yaani tuseme wanapata pesa ya kula na kulipia pango basi ili tatizo lipo pia South Africa na Kenya.


We ungekuwa umewahi fika USA ungeongea ukaeleweka Tz ndo kuna umaskini wakutupwa sio USA.

We jamaa sikutegemea kuwa kichwani ni empty.
 
Hata mimi nimeliona hilo, Wamerekani wako desperate sana hii lockdown plus recession ili wapiga basi wameona kichaka cha kutokea ni rioting na looting tu wanapunguza stress kwa hayo maandamano, US iko inagawanyika kwa records tu US mara ya mwisho kuwa unrest ivi ni miaka ya 1968 wakati wa Assasination ya Martin luther king Jr ndio ili spark maandamano makubwa kama haya, Kutokea hapo black waliuliwa sana tu ila hapakuwa ku spark demonstrations kama hizi.

Trump nae amekuja ku fuel zaidi na speech yake ya jana usiku afu nimeshangaa anakuja ku announce kuwa atachukua Millitary actions kwa hao alio wa term kama rioters, Arsoners, Thung mob bila hata kuwa na VP, Secretary of states wala Chief of staff kuna tetesi ya wazito hao kupingana na Approach ya Trump juu ya izo maandamano.

Ndo mana umeona kuna police wamekuwa fired kwa kutumia excessive force kuwazuia waandamanaji sasa mkuu wa nchi anasema polisi wame fail sana na wasiwachekee kabisa na wa dorminate states ile hali hao hao police waki take action wanakuwa fired ina maana kuna mis understanding mingi mana huyo anae fire police hakubaliani na approach ya Rais, Trump kasha place curfew na kasha mobilize military and Civilian agency fully to take actions for those who will go against
 
We ungekuwa umewahi fika USA ungeongeaa ukaeleweka Tz ndo kuna umaskini wakutupwa sio USA.

We jamaa sikutegemea kuwa kichwani ni empty.
Tanzania kuna umasikini sikatai ila usilinganishe umasikini na hali ngumu ya maisha Us kama ujatoka ujala, lakini tanzania mtu anaweza kuwa ana gunia zake 10 za mahindi ndani, mashamba makubwa, ng'ombe halafu mnamuita masikini Us kama huna, huna kweli unatafuta pesa ya kula na kulipia pango.
 
Marekani kipindi cha corona kila raia alipewa dollar 1200 na watoto wakapata $500 kila mmoja

Wale waliacha kazi kwa majanga ya corona wanalipwa kila wiki $ 700 na kuendelea.
Binafsi kazini kwangu naliowa $800 kazini kwangu na $ 700 kutoka serekalin kila wiki

Watu mwenye kipato cha chini walipewa bima na kadi ya chakula isitoshe wanapelekea chakula na bank food.

Tanzania...............?


Halafu tuulize nani mwenye njaaa?
 
Tanzania mlishazoea kuishi kama MAITI huku WANASIASA wakiishi kama wako PEPONI.

Mnaamini Mtaishi Vizuri Peponi hapa duniani mapito tu.

Ndio maana hata Corona, Utawala Katili, Umasikini, Magonjwa HAMJISHUGHULISHI KABISA kupindua MEZA au KUBADILISHA MFUMO, Mnachoambiwa Ni Kuzoea tu KUISHI NAVYO.

Yaani kama kuna KINYESI NDANI, hakuna JITIHADA zozote za kukitoa - Ni Kujitahidi Kuzoea kuishi nacho.

Ndio Wabongo.

Wakati Marekani Wanajua Maisha Ndio Haya Haya, Na Wako Tayari Kupambana Kubadilisha MIFUMO.

Na mifumo hiyo inabadilika ndio maana leo hakuna nchi Afrika Yenye UCHUMI Mkubwa Kuliko Hata:

- Alphabet
- Apple
- Amazon
 
Trump akivuka huu mtihani basi mkuu itakuwa yake tena mpaka 2024
 
Marekani kipindi cha corona kila raia alipewa dollar 1200 na watoto wakapata $500 kila mmoja

Wale waliacha kazi kwa majanga ya corona wanalipwa kila wiki $ 700 na kuendelea.
Binafsi kazini kwangu naliowa $800 kazini kwangu na $ 700 kutoka serekalin kila wiki

Watu mwenye kipato cha chini walipewa bima na kadi ya chakula istoshe wanapelekea chakula na bank food.

Tanzania...............?


Alafu tuulize nani mwenye njaaa?
Mkuu nirushie hata $1 nibetie leo
 
Tanzania kuna umasikini sikatai ila usilinganishe umasikini na hali ngumu ya maisha Us kama ujatoka ujala, lakini tanzania mtu anaweza kuwa ana gunia zake 10 za mahindi ndani, mashamba makubwa, ng'ombe halafu mnamuita masikini Us kama huna, huna kweli unatafuta pesa ya kula na kulipia pango.

Point yako nini mkuu.
Uliishi Marekani kwa muda gani?
 
We ungekuwa umewahi fika USA ungeongeaa ukaeleweka Tz ndo kuna umaskini wakutupwa sio USA.

We jamaa sikutegemea kuwa kichwani ni empty.
Halafu kipimo cha kufika US unakipimaje? "I know what I'm Talking" tatizo lenu mkisikia US mnafikiria kwamba kila kitu walishamaliza kumbe hakuna hali ngumu tu Marekani bila kutoka hujala unalazimika kufanya kazi masaa mengi lakini ukipata pesa cost of living zipo juu kila kitu unalipia, makodi kibao ku-save pesa utasave saa ngapi?
 
Tanzania kuna umasikini sikatai ila usilinganishe umasikini na hali ngumu ya maisha Us kama ujatoka ujala, lakini tanzania mtu anaweza kuwa ana gunia zake 10 za mahindi ndani, mashamba makubwa, ng'ombe halafu mnamuita masikini Us kama huna, huna kweli unatafuta pesa ya kula na kulipia pango.
Hivi unaujua umasikini wa watanzania kweli ?

Narudia tena unawajua wabongo walivyo choka mbaya ?

Hivi unajua mpaka sasa walimu wa shule ya msingi wanalipwa Tsh 340,000 ( USD 150 ) Gross kwa mwezi ?

Kukaa Kimya Mnadhani Wabongo Wanaishi PEPONI ?
 
We ungekuwa umewahi fika USA ungeongeaa ukaeleweka Tz ndo kuna umaskini wakutupwa sio USA.

We jamaa sikutegemea kuwa kichwani ni empty.
Masikini wa tz ni tofauti na masikini wa Ulaya ama Marekani masikini wa tz hawezi kulala njaa...
jamaa kaongea point ya msingi sana sema umeshindwa kumuelewa....

Masikini aliyepo kwenye mfumo wa kijamaa na masikini aliyepo kwenye mfumo wa kibepari hawa ni watu wawili tofauti
 
Point yako nini mkuu.
Uliishi marekani kwa muda gani?
Hivi US mtu wa kawaida anaweza miliki shamba angalau heka 5? au anaweza fuga ng'ombe? bongo mtu anaweza kuwa anaingiza 10,000 kwa siku anaenda sokoni ananunua kila kitu na anabaki na akiba ya 5000, US mtu analipwa dollar 75 Au 100 kwa siku akienda super market pesa yote anaacha kule nani mwenye maisha magumu?
 
Wadau wengi wameshindwa kumuelewa mtoa mada iko ivi masikini ya Jamii yenye mfumo wa partial capitalism na masikini wa kwenye mfumo wa full capatalism ni tofauti kabisa, Nikisema leo land ya Kenya iko owned na familia chache tu unafikri inaleta picha gani.
 
Halafu kipimo cha kufika Us unakipimaje? Kwa taarifa Nimefika Us, nimesoma South chuo pia nimeishi kenya kipindi fulani I know what I'm Talking tatizo lenu mkisikia Us mnafikiria kwamba kila kitu walishamaliza kumbe hakuna hali ngumu tu.

Kufika sehemu mkuu sio tatizo.nimeishi tanzania miaka 24 now niko marekani 3yrs

Kabla yakufika hapa.niliwah kutembelea dubai,london,australia,dubling na sehemu zingine lakini sio sababu ya mimi kusema nafahamu mifumo ya maisha ya watu inaendeshwa vipi.
 
Back
Top Bottom