Marekani wanasumbuliwa na Umasikini sio Ubaguzi

Marekani wanasumbuliwa na Umasikini sio Ubaguzi

Masikini wa tz ni tofauti na masikini wa Ulaya ama Marekani masikini wa tz hawezi kulala njaa...
jamaa kaongea point ya msingi sana sema umeshindwa kumuelewa....

Masikini aliyepo kwenye mfumo wa kijamaa na masikini aliyepo kwenye mfumo wa kibepari hawa ni watu wawili tofauti

tunaomba utufafanulie kivipi maskini wa TZ hawezi kulala na njaa.

Mimi binafsi nishalala na njaa mara nyingi tu
 
Hivi US mtu wa kawaida anaweza miliki shamba angalau heka 5? au anaweza fuga ng'ombe? bongo mtu anaweza kuwa anaingiza 10,000 kwa siku anaenda sokoni ananunua kila kitu na anabaki na akiba ya 5000, US mtu analipwa dollar 75 Au 100 kwa siku akienda super market pesa yote anaacha kule nani mwenye maisha magumu?
Wadau wengi wameshindwa kumuelewa mtoa mada iko ivi masikini ya Jamii yenye mfumo wa partial capitalism na masikini wa kwenye mfumo wa full capatalism ni tofauti kabisa, Nikisema leo land ya Kenya iko owned na familia chache tu unafikri inaleta picha gani.
Masikini wa tz ni tofauti na masikini wa Ulaya ama Marekani masikini wa tz hawezi kulala njaa...
jamaa kaongea point ya msingi sana sema umeshindwa kumuelewa....

Masikini aliyepo kwenye mfumo wa kijamaa na masikini aliyepo kwenye mfumo wa kibepari hawa ni watu wawili tofauti

hivi nyinyi muna akili timamu kweli?
 
yani munafananisha maskini wa U.S ambae per day anaweza tengeneza hata 100 - 150 USD na maskini wa Tz ambaye mwezi mzima hazidi 150 USD ? 😂😂😂😂
 
watu wamechoka tu ila kazi haikua official ama ulisikia kiongozi gani akiifungua nchi kama alivyo ifunga ?!

sio kwamba kazi haziendelei nop kwamba wanaendeleza bila ruhusa kama walivyo funga

Nakumbuka walianza kufungua nchi kwambwembwe kabisa social distance namengineyo yakizingatiwa

Mara kimenuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji3]

Trump mwenyewe alisema,ilibak kazi ya kila gavana na jimbo lake saiv watu wamerudi makazn.ni wachache tu ndo hawajafungua.

Hili ni agizo toka serekali na sio kwamba wanaiba iba
 
Kweli mkuu ujawah kufika marekani.

Marekani watu wanamiliku mashamba makubwa tu mkuu.
Hata ngoombe wanafugwa pia kuna viwanda vya kuchinja nyama ya ngonbe pia.

Chakula cha $ 100 unaweza kutumia hata wiki mbili,alafu wanakuambia hivi kama kipato chako hakitoshi unaruhusiwa kuomba kadi ya chakula watakupa unakuwa unatumia kadi hautolipa hela yako.

Kama huwezi kulipia nyumba kuna nyumba za serekali wanakupa unaweA kuwa unalipa $ 100 au 200 kila mwez

Hata kwenye swala la matibabu ni hivyo ,binafsi nilienda hospitali kufanyiwa upasua wa sikio nilitakiwa nilipe $elfu 17.
Lakin kuna mashirika ya kusaidia kama huna uwezo wa kulipa,pesa hiyo nililipiwa yote na wakaongeza nyingine.natiwaga bure tu.

Sasa hapo unataka nini?

Hayo mambo tanzania lini mkuu?

Hawezi kukuelewa huyo elfukumi ya tz ni sawa na elfu moja mkuu
Tena asijifananishe aisee mbele ni mbele tukubali wametuzidi
 
Look at another side of coin bro. Simu unayotumia USA unajua ni half of the price uliyonunua.

Nguo unazovaa mpaka usubir wazungu wavae wachoke ndyo uvae wewe alafu unasema wao maskini.

Magari mnayonunua wao wanatumia yakifikisha km za kuwa recycled mnaletewa huku bongo na mnalipia tax 100% ya bei uliyoagizia. Alafu unakuja unasema USA masikini sana.

ARVs mnasubiri msaidiwe na USA. Serikali zenu haziwezi kununua ARVS wala raia wenu hawawezi kununua ARVS.

Watanzania hamna hata uwezo wa kutarii mbuga zenu za wanyama mnalilia mabeberu ndyo waje kutalii alafu mnasema nyie matajiri.

Ukipita kila kona unakutana na Mabango ya " kwa msaada wa watu wa marekani" then bila aibu mnasema nyie matajiri kuliko USA? Nenda USA unitaftie bango linalosema " kwa msaada wa watu wa Tz", nitembee uchi mwaka mzima.

Hahahahahaha
 
Wengi ni asilimia ngapi ya watu wote waliokufa?Wapi imeelezewa sababu ni lishe?
Italia,Ufaransa na Uingereza ambako maelfu ya wazungu wamefariki sababu nayo ilikuwa ni lishe?

Kwenye vyakula mpo sahihi sosi tunakula vyakula vya lishe nzuri zaidi kuliko wao hapo mpo sawa
 
Back
Top Bottom