Masikini wa tz ni tofauti na masikini wa Ulaya ama Marekani masikini wa tz hawezi kulala njaa...
jamaa kaongea point ya msingi sana sema umeshindwa kumuelewa....
Masikini aliyepo kwenye mfumo wa kijamaa na masikini aliyepo kwenye mfumo wa kibepari hawa ni watu wawili tofauti
Hivi US mtu wa kawaida anaweza miliki shamba angalau heka 5? au anaweza fuga ng'ombe? bongo mtu anaweza kuwa anaingiza 10,000 kwa siku anaenda sokoni ananunua kila kitu na anabaki na akiba ya 5000, US mtu analipwa dollar 75 Au 100 kwa siku akienda super market pesa yote anaacha kule nani mwenye maisha magumu?
Wadau wengi wameshindwa kumuelewa mtoa mada iko ivi masikini ya Jamii yenye mfumo wa partial capitalism na masikini wa kwenye mfumo wa full capatalism ni tofauti kabisa, Nikisema leo land ya Kenya iko owned na familia chache tu unafikri inaleta picha gani.
Masikini wa tz ni tofauti na masikini wa Ulaya ama Marekani masikini wa tz hawezi kulala njaa...
jamaa kaongea point ya msingi sana sema umeshindwa kumuelewa....
Masikini aliyepo kwenye mfumo wa kijamaa na masikini aliyepo kwenye mfumo wa kibepari hawa ni watu wawili tofauti
watu wamechoka tu ila kazi haikua official ama ulisikia kiongozi gani akiifungua nchi kama alivyo ifunga ?!
sio kwamba kazi haziendelei nop kwamba wanaendeleza bila ruhusa kama walivyo funga
Nakumbuka walianza kufungua nchi kwambwembwe kabisa social distance namengineyo yakizingatiwa
Mara kimenuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji3]
Hukufa lkn...tunaomba utufafanulie kivipi maskini wa TZ hawezi kulala na njaa.
Mimi binafsi nishalala na njaa mara nyingi tu
Swali ni wangapi wenye hicho kipato ni wachache sanaKumbe ukiwa bongo ukawa na kipato cha dollar 1000,uko vizuri eeh
Hukufa lkn...
au ulishakufa?
Kweli mkuu ujawah kufika marekani.
Marekani watu wanamiliku mashamba makubwa tu mkuu.
Hata ngoombe wanafugwa pia kuna viwanda vya kuchinja nyama ya ngonbe pia.
Chakula cha $ 100 unaweza kutumia hata wiki mbili,alafu wanakuambia hivi kama kipato chako hakitoshi unaruhusiwa kuomba kadi ya chakula watakupa unakuwa unatumia kadi hautolipa hela yako.
Kama huwezi kulipia nyumba kuna nyumba za serekali wanakupa unaweA kuwa unalipa $ 100 au 200 kila mwez
Hata kwenye swala la matibabu ni hivyo ,binafsi nilienda hospitali kufanyiwa upasua wa sikio nilitakiwa nilipe $elfu 17.
Lakin kuna mashirika ya kusaidia kama huna uwezo wa kulipa,pesa hiyo nililipiwa yote na wakaongeza nyingine.natiwaga bure tu.
Sasa hapo unataka nini?
Hayo mambo tanzania lini mkuu?
Look at another side of coin bro. Simu unayotumia USA unajua ni half of the price uliyonunua.
Nguo unazovaa mpaka usubir wazungu wavae wachoke ndyo uvae wewe alafu unasema wao maskini.
Magari mnayonunua wao wanatumia yakifikisha km za kuwa recycled mnaletewa huku bongo na mnalipia tax 100% ya bei uliyoagizia. Alafu unakuja unasema USA masikini sana.
ARVs mnasubiri msaidiwe na USA. Serikali zenu haziwezi kununua ARVS wala raia wenu hawawezi kununua ARVS.
Watanzania hamna hata uwezo wa kutarii mbuga zenu za wanyama mnalilia mabeberu ndyo waje kutalii alafu mnasema nyie matajiri.
Ukipita kila kona unakutana na Mabango ya " kwa msaada wa watu wa marekani" then bila aibu mnasema nyie matajiri kuliko USA? Nenda USA unitaftie bango linalosema " kwa msaada wa watu wa Tz", nitembee uchi mwaka mzima.
Wengi ni asilimia ngapi ya watu wote waliokufa?Wapi imeelezewa sababu ni lishe?
Italia,Ufaransa na Uingereza ambako maelfu ya wazungu wamefariki sababu nayo ilikuwa ni lishe?