Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Haifai kuwalaumu kitu ambacho naona hawajataka kuzipata lakin wanauwezo wa kuzipata hasa barnaba na mkubal sanaHongera zao vijana,Harmonize Kaanza juz tu kaibuka na tuzo kubwa wakina barnaba,benpol kwenye game kitambo lakini hata kuzinusa tu bado Bora tu wakaombe usajili Wasafi Kama mwenzao mavoko!
-nyerere-
[emoji35] [emoji15] [emoji15]Hongera kwao
Wanasitair
Kweli mkuu...ali kiba hongera pia kwakushiriki
Acha majungu aiseee kwani ungesema hongera ungekufa pigana upate nawe kesho yako hata kwa ku-cheatDJ dommy kweli tuzo ni za kifala siku izi huo ubora wake ni upi tena Africa? Cheated again lol
Licha ya ukweli kwamba hawa vijana wa "wasafi" wanajituma na kujitangaza sana na pia nawakubali sana, lakini hiyo hainizuii kuona na kutambua kwamba hao uliowataja hapo kwenye kuimba bado sijaona wa kuwafananisha nao hapa TanzaniaHongera zao vijana,Harmonize Kaanza juz tu kaibuka na tuzo kubwa wakina barnaba,benpol kwenye game kitambo lakini hata kuzinusa tu bado Bora tu wakaombe usajili Wasafi Kama mwenzao mavoko!
-nyerere-
Kasema adi waombe poo!Wamehonga