MAREKANI: Watanzania Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

MAREKANI: Watanzania Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

WCB ni JUMBA LA MAFANIKIO YA MUZIKI, hao wasanii wengine wapo kwa ajili ya kutibu njaa ya leo.Hongera Harmonize na DJ D ommy kwa mwanzo mzuri,ila kwa DIAMOND imeshakuwa ni kawaida ndio maana watu wanachonga sana akikosa,ila kupata imeshazoeleka.
 
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.

Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.

Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.

Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.


View attachment 418988

16a13f2065d207aa6f90d914faec2c9e.jpg
.
Hongera zake n yy kwa ushindi w tunzo y aina yake.
 
Mm nilivyo sikia ni Diamond na dj ommy tu ndio walio shinda hizo tuzo harmonize Sina uwakika
 
Nasubiri tamko toka kwa KING! Na hongera walioshinda
 
Hapo kwenye Dj D-ommy kidogo cjaelewa ila co case...Wametuwakilisha poa watz
 
Hizo tuzo za nani? Isije kuwa za wabeba boxes wakijichokea wanakumbuka bongo kwa kuwa jamii ya huko haiwatambui
 
Tuzo za waafrika zinaenda tolewa marekani kwanini? Hizi tuzo mi hata sijui wanaangalia vigezo gani.
 
Back
Top Bottom