Marekani wateka meli ya Iran iliyokuwa inapeleka silaha hatari kwa magaidi wa Houthi

Marekani wateka meli ya Iran iliyokuwa inapeleka silaha hatari kwa magaidi wa Houthi

Huyu jamaa huwa habari zake si za kuaminika hata kidogo. Hii habari sijui kama ina ukweli. Unaweza kuta hii stori ni ya wakati ule wa vita kati ya wahutu na Saudia. Watu wa propaganda wanachofanya ni ku edit tu hapari ili kuwapata manyumbu
IDF wangempata angekula shavu la media propaganda za maghaibi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hata hivyo bado Houth wameendeleza mashambulizi ya Meli.
 
Us forces seized advanced conventional weapons and other lethal aid from Iran that were bound for Houthi-held areas of Yemen on a vessel in the Arabian Sea on Jan. 28, the US Central Command said in a statement on Thursday.

Over 200 packages containing medium-range ballistic missile components, explosives, unmanned underwater/surface vehicle (UUV/USV) components, military-grade communication and network equipment, anti-tank guided missile launcher assemblies, and other military components were discovered on board, it said.

Undermining international commerce and maritime safety​

"Iran's continued supply of advanced conventional weapons to the Houthis continues to undermine the safety of international shipping and the free flow of commerce," US Centcom commander Michael Erik Kurilla said.

Houthi militants in Yemen have repeatedly launched drones and missiles against international commercial shipping since mid-November, saying they are acting in solidarity with Palestinians against Israel's military actions in Gaza.

Jerusalem Post
We mwanamgambo ulivyokua muongo ni usikute ni jahazi la wavuvi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Us forces seized advanced conventional weapons and other lethal aid from Iran that were bound for Houthi-held areas of Yemen on a vessel in the Arabian Sea on Jan. 28, the US Central Command said in a statement on Thursday.

Over 200 packages containing medium-range ballistic missile components, explosives, unmanned underwater/surface vehicle (UUV/USV) components, military-grade communication and network equipment, anti-tank guided missile launcher assemblies, and other military components were discovered on board, it said.

Undermining international commerce and maritime safety​

"Iran's continued supply of advanced conventional weapons to the Houthis continues to undermine the safety of international shipping and the free flow of commerce," US Centcom commander Michael Erik Kurilla said.

Houthi militants in Yemen have repeatedly launched drones and missiles against international commercial shipping since mid-November, saying they are acting in solidarity with Palestinians against Israel's military actions in Gaza.

Jerusalem Post

Source Jerusalem 😁 na kuna watu wanachangia mada yako😁
 
Huyu jamaa huwa habari zake si za kuaminika hata kidogo. Hii habari sijui kama ina ukweli. Unaweza kuta hii stori ni ya wakati ule wa vita kati ya wahutu na Saudia. Watu wa propaganda wanachofanya ni ku edit tu hapari ili kuwapata manyumbu

Haziaminiki Kwa sababu hupendi kusikia magaidi yakishughulikiwa sio?!
 
Ningekuwa mimi hata sihangaiki kuiteka meli na lipua na kilichomo. Najua wenzetu wanapenda ushahidi, na kulemba saaana. Nikiona mimi inatosha lipua, Gaidi ni hatari kwa ulimwengu.
 
Back
Top Bottom