ngajapo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 1,782
- 3,525
Kiduku mwenyewe shida yake ni hela ko muda wote anawaza kudukua hela tu za mtandaoni.. mwenyewe rusia hana shida na hela mwenyewe anashida na miundombinu ya hawa jamaa wanaijiita mabeberu aka NATO... ila tukubali hawa jamaa Urusi vs North Korea wana akili ya kiwango cha juu sana..